Mie napenda safari largerš¤£Hizi mada zinaleta kiu hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie napenda safari largerš¤£Hizi mada zinaleta kiu hatari
Eti kweli ephen_Hiyo ni mitazamo tu kwa sababu bia zote za light kwa sababu zina kilevi kidogo na laini zinachukuliwa ni za kike.
Na zile zenye kilevi kikubwa na nzito lagers zinachukuliwa ni za kiume .
Ila mtu yeyote anaweza tumia bia yoyote tu kulingana na matakwa yake.
Safari siku hizi ni kama Malta tu, mwanzoni ilikuwa inaitwa "nondo" nadhani walipunguza ukali wake.Safari lager beer ya kiume
Unakunywa soda GaniššSijui chochote kuhusu vinywaji hivyo.
hamna we bado ni kaliSafari siku hizi ni kama Malta tu, mwanzoni ilikuwa inaitwa "nondo" nadhani walipunguza ukali wake.
Situmii soda ni miaka karibia 3 sasa.Unakunywa soda Ganišš
Huwa nasikia mapigo ya pumbu yanadunda kwa kasi "putu putu" namimi naweka mkono stand by kwa ajili ya kupiga selfie na sixs gear nobIla wine inafanya clitoris kublink blink sa we ukiinywa unajisikiaje
YeahHii red label au?
Basi mimi mwanaume. Nakunywa safariSafari lager beer ya kiume
Ok nishajua unatumia NinišššššSitumii soda ni miaka karibia 3 sasa.
Nini?Ok nishajua unatumia Niniššššš
Madam wangu nasikia umenipiga ban why lakinššBasi mimi mwanaume. Nakunywa safari
Hapa wako wengi sisemi šNini?
Hadi Mimi mkuuUkiondoa bia jamii ya whisky na lager izo nyingine siwezi kunywa