min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Yeah una ambisheni moja ya ajabu sanaUkiondoa bia jamii ya whisky na lager izo nyingine siwezi kunywa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah una ambisheni moja ya ajabu sanaUkiondoa bia jamii ya whisky na lager izo nyingine siwezi kunywa
Hizi kwa Sasa hazipo TZ ilikuaga miaka ya 90'sHizi tunaita gums
Kwa juu hapo kwenye lebo wamekuandikia kabisa hii ni strong beer nitajie beer yenye alcohol nyingi kuizidi hii bingwa hapa tanzania
😆😆😆😆😆😆Mwanaume unakunywa Savannah ili ugundue Nini?
Sasa mkuu wengine vichwa vyeti vigumu kulewa sasa ninywe serengeti lite si mshahara wote utakata kwa usiku mmoja tu.Yeah una ambisheni moja ya ajabu sana
Hela ya kike ipo,ni elfu kumi ya noti wanaipenda hiyo.Chunguza wanavyoipokeaga fasta,tena zikiwa nyinginyingi ndiyo upendo unazidi.Watakuja kusema tena kuna ela ya kike na kiume kuna nyumba ya kike na kiume
Don't use that's mess at all.Siwezi kutumia hivyo vitu.
Jaribu SIB😊☺️ Mimi pia sipendelei mavitu machungu.
PowaJaribu SIB
Asante sana😀View attachment 3225057
kaRiBu Mkuu!
ebu nitajie manufacture mmoja walio sema kilevi vyani vi vya kike vingine vya kiumeni takwimu za drinkers society na manufactures, wala si ujinga, hata wauzaji (retailers) watakupa hiyo experience
Mimi nilikua nakupa taarifa wewe, niliisha chagua dhambi za kufanyaKumbe hatujaacha?
Haya tuendelee na wine mambo yetu yawe sweet sweet and soft 🥰
Njoo ujaze mdomo mate Depal wakupe na ubaloziReplace na Smirnoff Ice Black 🫡
😀😀 Akageuza maji kuwa divai.. mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lako,,Mimi nilikua nakupa taarifa wewe, niliisha chagua dhambi za kufanya
Happy new year dada😀😀 Akageuza maji kuwa divai.. mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lako,,
Umechelewa sanaMzigo mtamu sana huo.. un beaten inaitwa.. 😀😀
Ndio ni blackcurrent sio haya madude yenu ya sasa hivi, kama ile yetu wa T.A.G😀😀 Akageuza maji kuwa divai.. mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lako,,