Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Hii nchi ina vijana wa ovyo sana!!Upo Mwanza sehemu gani mkuu. Kuna yale mabasi yanayozuungukia Kirumba nafikiri yanaweza kukushusha Ghana. Au panda ya Pansiasi kisha shuka pale kona usubirie hapo ya kukufikisha Ghana.
Unaweza ukachukua boda fasta tu ukafika Ghana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji3516]
Yale ambayo hayatumii mafuta ya EWURA yenye bei elekezi zinazotetemaKivp sijaweza naomba nieleweshe
Yes basi litakuwepo ila sio moja kwa moja. Lazima utapanda mabasi mbali mbali mpaka ufike. Kila la heri.Naomba kujua kuna bus Linalotoka Tanzania hadi Ghana
Hiyo route imekatishwa kwasababu za kiusalamaNchekie kilinge kinasemaje, usafiri wa kwenda Kihurio chap mkuu
Hii bangi ni Grade 1 πNaomba kujua kuna bus Linalotoka Tanzania hadi Ghana
Lakini mkuu, hiyo kitu inawezekana kweli na huwa mnatoka kwenye miili yenu kweli!!? [emoji848][emoji848]Hiyo ni fumba fumbua yuko Jijini Ancra Makola road au Lapaz
NimekuelewaKwanza si salama kwako kupanda usafiri wa bus kutoka TZ Hadi Ghana hapo kati nchi zimevurugwa Sana kiusalama unaweza vamiwa ,bus kutekwa,kuporwa na wenyeji ,Vita etc. .Pili utavuka nchi kadhaa hapo kati utapata tabu mipakani na unaweza ukazuiliwa, matatizo ya visa , kuhonga etc .Tatu ni gharama Sana maana hautajua mazingira ya nchi unazoenda kigharama na route na umbali pia dharura utakazokutana nazo zitakazojitokeza na kubadilisha fedha etc.Nne ni safari ndefu utachoka kukaa kwenye seat muda mrefu. SHORTLY AND CLEAR PANDA NDEGE
Apande ndege kwani ameshapata suruhisho la dada yake anaechakatwa mbususu na shemeji yake hadi sauti inapenya hadi chumbani kwake!!?Kwanza si salama kwako kupanda usafiri wa bus kutoka TZ Hadi Ghana hapo kati nchi zimevurugwa Sana kiusalama unaweza vamiwa ,bus kutekwa,kuporwa na wenyeji ,Vita etc. .Pili utavuka nchi kadhaa hapo kati utapata tabu mipakani na unaweza ukazuiliwa, matatizo ya visa , kuhonga etc .Tatu ni gharama Sana maana hautajua mazingira ya nchi unazoenda kigharama na route na umbali pia dharura utakazokutana nazo zitakazojitokeza na kubadilisha fedha etc.Nne ni safari ndefu utachoka kukaa kwenye seat muda mrefu. SHORTLY AND CLEAR PANDA NDEGE
πππ Sikuwahi kujiuliza kama kuna indivijo anaweza kuwaza hivi... Lakini ni umbali wa roughly 6,572kms. All the best Mesja.Naomba kujua kuna bus Linalotoka Tanzania hadi Ghana
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Ungekuwa umeikariri ramani ya Afrika tangu ukiwa shule ya msingi, naamini kabisa usingeuliza swali la aina hii.
Akina shingongo au mbunge wa nkasi wanasoma uzeeni sio kazi ndogoUngekuwa umeikariri ramani ya Afrika tangu ukiwa shule ya msingi, naamini kabisa usingeuliza swali la aina hii.
πππ Sikuwahi kujiuliza kama kuna indivijo anaweza kuwaza hivi... Lakini ni umbali wa roughly 6,572kms. All the best Mesja.
ππ€ππ·π·π·πππ Sikuwahi kujiuliza kama kuna indivijo anaweza kuwaza hivi... Lakini ni umbali wa roughly 6,572kms. All the best Mesja.
MtumeeeNi zaidi ya hizo, flight distance ya Ethiopia to Nigeria ni 4000
Chini ni zaidi ya km 15000
Khartoum-Abuja?Panda ya Kampala... tafuta ya Sudan πΈπ© kule yapo mkuu yanayoenda Abuja na Abuja huwez kosa ya ghana
Aseme tu konda nishushe rock city mallUpo Mwanza sehemu gani mkuu. Kuna yale mabasi yanayozuungukia Kirumba nafikiri yanaweza kukushusha Ghana. Au panda ya Pansiasi kisha shuka pale kona usubirie hapo ya kukufikisha Ghana.
Unaweza ukachukua boda fasta tu ukafika Ghana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji3516]