Kama nyoka kamwagiwa mafuta ya taa isee malovee hatarikhatari sana sheikh! mtu anajigeuzageuza kama nyoka! kweli Hamida ni nyoko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau na HALIMA weeHamida
Farida
Habiba
Samira
Haya majina ngoja niyafanyie kazi Kama Kuna ukweli
Tunaingia kwenye kikao saiv tutakuja na maamuzi magumu Kuhusu Hamida
Ajiandae kuhama Nchi View attachment 1332259
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamida mzuriiiiKwa huyu mtoto mwamba ansatahili kulia????
Watu wameachwa na rihanna na wanatamba sembuse hamida[emoji28][emoji28]View attachment 1332494
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja aje Hamida au Kambale wa Hamida kujibu swali lako na kutoa muongozo.
Naomba namba ya simu ya hamida mkuu kama unayo mwambie kuna mtu anayemfaa kwa kila sekta anayejua jinsi ya kuapologize na sio na kubingirika kama tyre ya trekta