Kuna clip inamuonesha jamaa anagalagala chini huku akilalamika kuachwa na Hamida

Kuna clip inamuonesha jamaa anagalagala chini huku akilalamika kuachwa na Hamida

 
Tunaingia kwenye kikao saiv tutakuja na maamuzi magumu Kuhusu Hamida
Ajiandae kuhama Nchi View attachment 1332259

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20200123_224145_181.JPG
 
Yani watu tunahangaika na usajili wa alama za vidole wengine wanalilia hamida!! Utafikiri wenyewe hawaishi Tanzania hii.. huyu jamaa sidhani hata Kama anahabari kuna kufungiwa laini kenge kabisa sijui hata yupo nchi gani duh!! Hamida turudishie ufahamu wa ndugu yetu tusijempoteza.
 
kuna jamaa hajibu sms za hamida wala hataki kumuona.! kwenye hii dunia, usawa uko mbinguni tuu.
 
Nimemuonea huruma tu ingawa ndio stage nzuri ya kutolewa uvulana... Akikaa fresh atarudi kwenye group la "wanaume ndivyo mlivyo"
 
Sijaelewa ilikuwaje unaandika kama wote tuna taarifa kamili za huko Instagram kwa sanchorutti...tupe habari kamili.
 
Najiuliza mshikaji alipewa nini mpaka akawa na ujasiri wa kuvua nguo na kulala kwenye sakafu yenye maji akimlilia Hamida

Ni mapenzi hayahaya au kuna kingine,

Kila siku kuna vitu vinasababisha nisahau kuhusu kuoa
IMG-20200123-WA0017.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom