Positivist
New Member
- Jan 23, 2020
- 3
- 2
Kumekuwa na video ya huyu ndugu asiyefahamika jina akigala gala, binafsi nimempa jina la 'Mwana kambale' akionekana anamlilia Hamida kwa kumuacha ni dhahiri walikuwa ktk mahusiano ya kimapenzi.
Ijapokuwa hatumfahamu Hamida kwa sura ama huyo 'Mwana Kambale' kwa jina halisi ama hatuna maelezo ya uhakika kwamba kilichotokea ni uhalisia ama maigizo tu ila tunaamini tu vyovyote iwavyo.
Tukio hilo si la kwanza ktk ulimwengu wa matukio yanayofanana na hilo kwenye mtandao wa kijamii ila limekuwa kubwa mnoo kupita matukio mengine ya namna hiyo.
Mara kadhaa, tumeshuhudia aliyekuwa mpenzi na mzazi mwenza wa Mbunge Sugu akijirekodi video na kuzungumza maneno yanayo staajabisha, huku akilia na amewahi kukiri wazi na inafahamika sababu haswaa ni Sugu kuanza maisha mapya ya kimahusiano. Watu humchukulia serious Faiza na kumpa pole na matukio yake hayana ukubwa kama wa 'Mwana kambale' au hayachukuliwi ktk mtazamo huu wa story ya Hamida ilihali kimsingi wote ni wahanga.
Je? tofauti ni kugala gala tu kama kambale matopeni au tofauti ni mwanaume kawa mhanga wa mapenzi hivyo ni ushindi kwa wanawake?
Ijapokuwa hatumfahamu Hamida kwa sura ama huyo 'Mwana Kambale' kwa jina halisi ama hatuna maelezo ya uhakika kwamba kilichotokea ni uhalisia ama maigizo tu ila tunaamini tu vyovyote iwavyo.
Tukio hilo si la kwanza ktk ulimwengu wa matukio yanayofanana na hilo kwenye mtandao wa kijamii ila limekuwa kubwa mnoo kupita matukio mengine ya namna hiyo.
Mara kadhaa, tumeshuhudia aliyekuwa mpenzi na mzazi mwenza wa Mbunge Sugu akijirekodi video na kuzungumza maneno yanayo staajabisha, huku akilia na amewahi kukiri wazi na inafahamika sababu haswaa ni Sugu kuanza maisha mapya ya kimahusiano. Watu humchukulia serious Faiza na kumpa pole na matukio yake hayana ukubwa kama wa 'Mwana kambale' au hayachukuliwi ktk mtazamo huu wa story ya Hamida ilihali kimsingi wote ni wahanga.
Je? tofauti ni kugala gala tu kama kambale matopeni au tofauti ni mwanaume kawa mhanga wa mapenzi hivyo ni ushindi kwa wanawake?