Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Hakuna namna ferminism inaweza kuwa practicable bila kuiangamiza taasisi ya familia.
 
Hakuna namna ferminism inaweza kuwa practicable bila kuiangamiza taasisi ya familia.
Na ndio maana taasisi ya familia inahitaji utimamu wa akili kuingia. Kama mtu achaguavyo simu yakutumia au gari la kuendesha, unachukua muda wako kuangalia na kujiridhisha kwamba ni chaguo bora linalokufaa kwa matumizi ya muda mrefu...spare na maintenance yake unaimudu. Kwanini mtu akurupuke kwenye kuchagua mwenza wa maisha yaani mama wa watoto wako?
 
Uchaguzi umekua mgumu, mabinti wengi wameshindwa kutumia uhuru wanaopewa sasa hivi. Umalaya, kuzulula mitaani na kukesha viwanja hot vya mjini wao wanajua ndio uhuru.

Akimalizana na uchafu wote anaona kuna haja ya kutulia. Sasa hapo kijana wa kiume kwenye kuchagua kila ukizama deep unaona past yake ina redflags halafu miaka haikusubiri unaamua kufunika kombe mwana haramu apite, unaoa uyp uyo.

Sasa kutengeneza bond na mtu ambae ana trauma na flashback ya mahusiano yaliyopita ni ngumu sana halafu jasiri haachi asili, mwanamke anamiss maisha yake ya mitoko na party za usiku ndipo hapo wanakuja kushindwana.
 
Uchaguzi umekua mgumu, mabinti wengi wameshindwa kutumia uhuru wanaopewa sasa hivi. Umalaya, kuzulula mitaani na kukesha viwanja hot vya mjini wao wanajua ndio uhuru.

Akimalizana na uchafu wote anaona kuna haja ya kutulia. Sasa hapo kijana wa kiume kwenye kuchagua kila ukizama deep unaona past yake ina redflags halafu miaka haikusubiri unaamua kufunika kombe mwana haramu apite, unaoa uyp uyo.

Sasa kutengeneza bond na mtu ambae ana trauma na flashback ya mahusiano yaliyopita ni ngumu sana halafu jasiri haachi asili, mwanamke anamiss maisha yake ya mitoko na party za usiku ndipo hapo wanakuja kushindwana.
 
Sasa huyo mwanamke wa kuruka majoka anaruka peke yake huko? Atapata wa kufanana nae mruka majoka mwenzake, warukeruke wote maana wanawezana. Tatizo wanaume wengi wanategemea wachovyechovye weee halafu akitaka kuoa aoe mtu alietulia. Hapana, atapata mcharuko mwenzake maana ndio kitu pekee anachofahamu, atajuaje jambo zuri ilihali amezoea heka heka? Heka heka kwake ndio nyumabni, atapata hicho hicho
 
Past ya mwanaume huwa haizingatiwi muhimu awe anajimudu tu kiuchumi ila past ya mwanamke ikiwa mbovu hapo ni kipengere.
 
Ukimpata mwanamke smart,strategist and hard worker unaunganisha na jitihada zako inasaidia kufikia malengo kwa haraka zaidi...

"If u want to go fast,go alone. if u want to go far,go together"
Kizazi chetu hiki kumpata uyo mwanamke sio mchezo. Wanawake wengi wamefanya mapenzi kuwa ajira wanataka kulipwa ili wawe kwenye mahusiano.

Mwanamke ni mpaka akichezewa na kupoteza kabisa attentions za wanaume ndipo anarudi nyuma na ku-adopt izo characters ulizozitaja.

Ndio maana unakuta wanawake wengi ambao wana sense ya upambanaji ni single mothers na 30+ years
 
Wazungu baada ya kuona ndoa haina maana wameacha wake zao hivi sasa wanatinduana menyewe kwa menyewe je na wewe uko tayari kumiminwA?
 
Kwanza kama hujaoa hata uwe na miaka Mia bado we ni Mtoto Tu.
 
hakika yaan ukiwakuta wakiwa slay queen hawashikiki...
 
Past ya mwanaume huwa haizingatiwi muhimu awe anajimudu tu kiuchumi ila past ya mwanamke ikiwa mbovu hapo ni kipengere.
Hahahaaaa... unakaribia kujinyonga kwa uzi wako mwenyewe. Ndio maana wanawake wenye akili wakiona hii, anajua kabisa haiwezekani wanawake wote aliopita nao wana shida. Tatizo ni mwanamme mwenyewe. Mwanamme anayeweza kutawala tamaa zake ametatua 3/4 ya matatizo yaliopo ktk jamii. Usemacho ndio double standards zenyewe. Kijana wakiume aliyelelewa akiona baba yake ana wanawake kila mtaa, au kwenye msiba wa baba yake anatambulishwa ndugu zake wengine anaandaliwa kutengeneza ndoa mbaya na mfano mbaya wa baba wa familia. Anafeli kabla hata hajaingia.

Na, ndio maana pia wanaume wenye ndoa mbaya uzeeni wanazeeka peke yao vile vile hata kama alivuja jasho, damu na machozi kulea watoto wake. Msingi mzuri ni watu wawili wenye tabia njema
 
Mtu aliyeleta hii dhana ya kuwa akioa milango ya uchumi na mafanikio inafunguka ni mtu aa hovyo. Anafanya vijana wanaoa wakiwa hawako stable financially wakitegemea watatoboa ndoani. Ndo maana tunaenddlea kuwa katika minyororo ya umasikini for centuries.

Kijana stuka, ndoa siyo biashara ya kukufanya utoboe kimaisha...
 
Kwanza kama hujaoa hata uwe na miaka Mia bado we ni Mtoto Tu.

Watanzania mnafeli sana aisee wa papara na low IQ, ungesoma umalize halafu ucomment sio kukurukupuka, anyway kwa kukusaidia mimi ni mwalimu na walimu ni wavumilivu sana kuelewesha kondoo za hivi, ni kwamba nimeoa na nina mke miaka 21 sasa nina watoto wanne na ninaishi na mke wangu miaka hiyo yote kwa furaha na amani lakini hii hainipi kigugumizi cha kuzungumza ninachoamini kwa uzoefu wote huu wa ndoa. Huenda una umri wa mwanangu wewe, anyway hatujuani by the way wanangu wa kwanza na wa pili wapo Ivy league USA, km unaelewa kama hujui google.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…