Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Let this sink in.

Wazazi tujitafakari wapi tumekosea katika malezi ya watoto wetu, kwa maana tunazalisha kizazi cha Wanaume waoga wa maisha hivyo kujikuta wao pia wanapenda kulelewa kama Dada zao

Wakati huo huo tunazalisha kizazi cha mabinti zetu ambao wanaona kawaida kuzaa na kulea mtoto/watoto bila Baba 🙌
 
Jacqueline aliongeza nini kwenye mafanikio ya Reginald Mengi?
Tatizo mnaweka thamani kwa mali anayoongeza, haina uwiano sawa. Alimzalia watoto na bwana Mengi alipata tulizo la roho kutoka kwa mmachame wake.
 
Hauwezi kuchagua mwenza kama simu. Huyo ni binadamu, na wanadamu tunabadilika. Anaweza kuwa mwema sana mwanzoni, halafu baadaye akawa mwema zaidi au mwovu.
Ndio maana ya ndoa, hutarajii abaki ulivyomuoa. Na ndio maana ni mkataba wa kukubaliana kubaki pamoja ktk hali zote, nzuri na mbaya
 
Nashukuru kwa uelewa wako, hali ni mbaya sana, ndo maana vijana smart swala la kuoa linatufikirisha sana, wengine tunafikria kuzalisha tuu na kubaki kama walezi
Poleni Wakuu, nyakati hubadirika lakini isiwe sababu ya ninyi Vijana wa kiume kukataa Kuoa hivyo kufikiria kuzalisha watoto kisha kuwalea peke yenu.

Suala la Malezi ya watoto ni jambo linalopaswa kufanywa na Wote;Baba na Mama

Bado mabinti wanaojielewa wapo, unaweza kupata mmoja wa kukufaa.

Kutokana na asili ya majukumu yetu kama Wanaume, possibilities ya kuishi miaka mingi hatuna

Kwahiyo Mama atakuwa Msaidizi wako pindi unapopatwa na Mauti

Huwezi kuzaa watoto kisha ukategemea ndugu zako wakulele.

Kwa maisha ya sasa, ndugu sio wa kuwategemea hata kidogo
 
Unfortunately, hata huyo feminist akiwa anaihitaji ndoa ata-act ni a traditional woman. Jichanganye uone kitakachokukuta.
Wanachotakiwa Kufahamu Vijana ni kuwa Feminist sio Lazima awe Muhitimu wa chuo au yule Mwanamke Muajiriwa.

Hata wale local women wa Vijijini wanaweza kuwa Mafeminist hata kama hajui neno linaitwa Feminism.


Pili Vijana Waache kufanya maamuzi kwa Hisia Wengi huwa Wanaona Red flags Mapema lakini Huwa wanajipa moyo Kutokana na Kuvutiwa na Hao wanawake aidha kwa sababu wanakipato ,,wanamaumbo mazuri au Wapo vizuri kitandani.

Feminist ni kama Simba Kuunguruma hata ajizuie vipi kuna Muda atajisahau ataunguruma.

Tatizo ni pale kijana Simp anapoona Redflags na akajidai yeye ni Gentleman anapuuzia.

Akiingia kwenye Ndoa hapo ndio Feminist anatoa makucha yake Yote kisha yeye anakuja kulalamika kuwa ali-pretend hapo Mwanzo.


KIJANA KUWA NA MSIMAMO WEKA VIGEZO VYAKO SIMAMIA HAPO USIFANYE MAAMUZI KWA HISIA AU USHAWISHI.
 
Ukiyachoka hayo mwanamke unadai talaka na mwanaume atawajibishwa kwa kupoteza sehemu ya mali zake ambapo unapewa wewe kama compensation ya muda na mchango wako kwenye iyo ndoa.

Sasa tubadilishe upande mwanamke ndie umechepuka, mlevi, unachelewa kurudi nyumbani, umebeba mimba nje ya ndoa na mwanaume anataka mtalakiane je sheria itakuwajibisha vipi wewe mwanamke?
Utapatiwa haki zako kisheria
 
Sikubaliani na kuchepuka awe mwanamke au mwanaume vile vile nakubaliana na ukweli kwamba wanaume na wanawake wote wanachepuka

Swali langu ni kwamba, mwanamke akichepuka au akifanya kosa lolote litakalopelekea ndoa kuvunjika, je sheria inamuwajibisha vipi huyu mwanamke?
Ataachwa bila kupewa chochote
 
Wazazi tujitafakari wapi tumekosea katika malezi ya watoto wetu, kwa maana tunazalisha kizazi cha Wanaume waoga wa maisha hivyo kujikuta wao pia wanapenda kulelewa kama Dada zao

Wakati huo huo tunazalisha kizazi cha mabinti zetu ambao wanaona kawaida kuzaa na kulea mtoto/watoto bila Baba 🙌
Suluhisho pekee ni jamii kurudi kwenye msingi wa tendo la ndoa ndani ya ndoa pekee.
 
Na, lengo kubwa la feminism ni kwamba mwanamke apate fursa sawa ya kielimu, kazi na usawa wa msharahara makazini ili kwamba in the absence of the provider (man) mwanamke na watoto wake wasife na umasikini. Ila kilichoendelea kutokea..... ni kuhasiwa kwa mwanamme. Mwisho wake siku nyuzi kama hizi zinatokea😃
Feminism huijui au unaficha mambo hilo la usawa katika elimu sijui nini ilikuwa nyuma huko 1848(first wave) hii Feminism ya Sasa haipo huko kabisa.

Pili Umezungumzia usawa katika Ajira mishahara alafu umemuita mwanaume Ndio Provider.

Sasa vipi Mishahara ni Sawa na Ajira ni Sawa alafu bado Mwanaume ndio awe Provider. Ana provide kwa nani?

Mwanamke anasubiri mwanaume Afe ndio na yeye awe Provider? Vipi Asipokufa??
 
Suluhisho pekee ni jamii kurudi kwenye msingi wa tendo la ndoa ndani ya ndoa pekee.
Of course hili litasaidia..

Bila kusahau kuwalea watoto wetu katika Hofu ya Mungu, watoto waambiwe kufanya ngono ni dhambi

Watoto wa kike kuwa na mahusiano ya jinsia moja pia ni dhambi

Watoto wa kiume kuingiliwa nyuma ni dhambi, watachomwa moto

Tukiwaanzia kuwapa hayo mafunzo katika Umri mdogo, watakuwa wakiogopa
 
Maisha yanahitaji juhudi sana, lakini pia kuna kitu kinaitwa bahati...kipo sana tu.

Kinachomuumiza kijana ambaye hajaoa ni uzembe na kutoona umuhimu wa kupambana as yupo peke yake, hana majukumu, kidogo anachopata anaona ni sawa tu.

Sisi wengine pamoja na kupambana ila baada ya kuoa bahati zikaja, how..we don't know!

Kuna movement inaendelea, sijui ina lengo gani hasa. Ila ndoa ni jambo jema sana, jamii haiwezi kuwa bora bila ndoa imara.
 
Back
Top Bottom