Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Vijana wamepumbazwa na ulimwengu wa ufeminia, wanacheza ngoma ya wanawake mbaya zaidi ngoma iyo inapigwa na wanawake wasiokua na maadili, makahaba, malaya wastaafu na wenye past chafu.

Kila mdundo vijana wakiwekewa na hawa wanawake wanaucheza tu. Wakiambiwa bikira sio ishu wanakata viuno, kuoa single mother sio ishu wanamwaga mauno tu, past doesn't matter, kukubali kulea mtoto wa kubambikiwa ni baraka vijana wao ni viuno mbele mbele tu.

Vijana simp wanajikuta gentlemen. Hawajui tofauti ya simp na real man, hawajui kama hawa wanawake wa kisasa wanatumia advantage ya ujinga wao.

They can't ask themselves even simple questions. If past doesn't matter then why women often lie about their body count?, if she think it's ok to manipulate a man and take advantage of his loyalty, kindness and resources the why she cant tolerate it if another woman do that to her brother or son?

Vijana should know that they deserve same level of respect women demand for their fathers, brothers and sons.
"Mbaya zaidi Ngoma hiyo inapigwa na wanawake wasiokuwa na maadili"

Too sad na hao soiled women ndio walioshikilia hili gudumu la mabadiliko ya kijamii, yaani hao wanawake wasiokuwa na staha Wabishi,wataraka,makahaba wastaafu,wasimbe,wavaa nusu uchi,sijui malikia wa nguvu ndio wanaosikilizwa sana kwenye Jamii yetu na ndio maana hata vitu ambavyo vinakuwa normalized siku hizi ni vya ajabu ajabu tu.

Na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kubrainwash akili za vijana wa kiume, leo hii mtoto wa kiume anaona ni fahari kuishi kwa kutimiza matamanio ya Soiled woman..

Leo hii kijana anaona kuoa bikra ni jambo lililopitwa na wakati, ila akioa single mother wa watoto wawili Tena wa baba tofauti ni jambo linaloaishiria ukomavu wa fikra na ni kukaribisha baraka.... Upuuzi mtupu.

Leo hii kijana ameambiwa akimfumania mke wake anachepuka inapaswa akae chini ajiulize yeye mwenyewe amekosea wapi mpaka mkewe anachepuka, na yeye kweli amekubaliana na huu upumbavuu....na ndio maana tunaona siku hizi wanato.mbewa tu wake zao.

Leo hii kijana ameambiwa kufanya DNA test ya watoto wake ni aina Fulani ya ukatili kwa watoto na ni ishara ya kutokujiamini.....na yeye kweli ameingia mkenge ndio maana wanalea tu mabao ya wanaume wenzao huku wake zao wakiwadharau sana moyoni.

Vijana wamekuwa manipulated na Sasa hivi ni watumwa wa wake zao bila ya wao kujua. Kama Kuna generation ya ovyo ya wanaume tangu ulimwengu unaanzishwa basi ni hii ya Sasa, kwa sababu imefundishwa kuukumbatia ushenzi wa mwanamke ni ustarabu na kusimamia maadili ni ukandamizaji.
 
Sio kwamba hatutaki kuoa bikira, neno lenyewe bikira lina ukakasi na hata wanaolisema sana hilo neno hawataweza kulithibitisha katika uhalisia wa jamii tuliyo nayo sasa.

Neno virginity lina mitazamo tofauti, kuna ambao wana amini kuwa ni uwepo wa hymen at the opening of the vagina. Kwa huu mtazamo ina maana hata msichana akiwa amefanya anal intercourse ataonekana ni bikira tu ili mradi hymen ipo.

Na kuna watu wanao amini kuwa bikira ni msichana ambaye hajawahi kuingiliwa na mwanaume kwenye sehemu yeyote ile ya mwili wake na pia ni msichana ambaye hajawahi kujifanyia au kufanyiwa uchafu wowote ule na wasichana wenzake. Hii ni pamoja na kuji ingizia vitu kama matango,karoti,mihogo n.k

Pia kwa huu mtazamo ni msichana ambaye hajawahi kufanya ngono yeyote ile na wanyama au midoli.

Binafsi napinga uwepo wa mabikira kwenye jamii ya sasa kutokana na ukakasi wa neno lenyewe na pia siku hizi maadili yameshuka sana. Unakuta Mzee anafoka hapa kwamba vijana wa Sasa ni wajinga hawajielewi, wakati yeye mwenyewe ana mahusiano ya siri na wasichana wa shule za upili.
 
Sio kwamba hatutaki kuoa bikira, neno lenyewe bikira lina ukakasi na hata wanaolisema sana hilo neno hawataweza kulithibitisha katika uhalisia wa jamii tuliyo nayo sasa.

Neno virginity lina mitazamo tofauti, kuna ambao wana amini kuwa ni uwepo wa hymen at the opening of the vagina. Kwa huu mtazamo ina maana hata msichana akiwa amefanya anal intercourse ataonekana ni bikira tu ili mradi hymen ipo.

Na kuna watu wanao amini kuwa bikira ni msichana ambaye hajawahi kuingiliwa na mwanaume kwenye sehemu yeyote ile ya mwili wake na pia ni msichana ambaye hajawahi kujifanyia au kufanyiwa uchafu wowote ule na wasichana wenzake. Hii ni pamoja na kuji ingizia vitu kama matango,karoti,mihogo n.k

Pia kwa huu mtazamo ni msichana ambaye hajawahi kufanya ngono yeyote ile na wanyama au midoli.

Binafsi napinga uwepo wa mabikira kwenye jamii ya sasa kutokana na ukakasi wa neno lenyewe na pia siku hizi maadili yameshuka sana. Unakuta Mzee anafoka hapa kwamba vijana wa Sasa ni wajinga hawajielewi, wakati yeye mwenyewe ana mahusiano ya siri na wasichana wa shule za upili.
Tunarudi pale pale kwenye kutaka kufanya mambo rahisi kueleweka yaonekane magumu. Mzee mwenzangu ina maana wewe ukiambiwa mwanamke bikira haelewi au ni kutaka kuonekana upo tofauti? au ni kutaka kutetea uchaguzi wako?

Hivi kwa akili ya kawaida tu kweli unafikiri mwanaume anaweza kuweka kigezo cha bikira halafu akakubaliana na mwanamke ambae tayari anajihusisha na iyo michezo mingine mfano anal sex ambayo ni worst zaidi ya normal sexual?
 
Ni jambo la hatari Kwa ustawi wa Taifa letu, maana familia ndiyo msingi wa Kila kitu kwenye jamii zetu na Taifa Kwa Ujumla
well said...familia ndio msingi wa kila kitu kwenye jamii...waliotuletea mke moja na maisha ya kisasa kibepari uchwara...walishindwa kutuondolea desturi zetu za kale kuwa baba ndio main provider wakati mama ni wa kukaa kuhudumiwa...wangeleta mifumo kama ya kwao ukiolewa kwanza wanaoana 50/50 mezani kodi ya nyumba na mengineyo...hakuna mmoja kubeba majukumu yote na mwingine kusikilizia.. wanawake wenye ngozi ya mkaa nawaona wasivyoweza kutekeleza hilo..
 
well said...familia ndio msingi wa kila kitu kwenye jamii...waliotuletea mke moja na maisha ya kisasa kibepari uchwara...walishindwa kutuondolea desturi zetu za kale kuwa baba ndio main provider wakati mama ni wa kukaa kuhudumiwa...wangeleta mifumo kama ya kwao ukiolewa kwanza wanaoana 50/50 mezani kodi ya nyumba na mengineyo...hakuna mmoja kubeba majukumu yote na mwingine kusikilizia.. wanawake wenye ngozi ya mkaa nawaona wasivyoweza kutekeleza hilo..
Tulikosea kuipokea 50/50 wakati bado hatujafanya mapinduzi ya kiuchumi na kimtazamo kuhusu jinsia zote mbili.

Leo hii mwanamke anataka usawa wa ajira na kipato na mwanaume wakati huo huo anataka huyo mwanaume awe provider wa bill zote kwenye familia/mahusiano.

Jamii inampa mwanamke upendeleo na fursa zote wakati huo jamii iyo iyo inataka mwanaume abaki na lile jukumu la kumtunza mwanamke, wakati kiuhalisia ni mwanume ndie alitakiwa kupewa kipaumbele ili aweze kumudu ilo jukumu la kutoa matunzo.

Tumeshindwa kuchagua kimoja for once and for all kati ya ukale/partiarchy na usasa/equality matokeo yake ni mvulugano tu kwenye jamii.
 
Tulikosea kuipokea 50/50 wakati bado hatujafanya mapinduzi ya kiuchumi na kimtazamo kuhusu jinsia zote mbili.

Leo hii mwanamke anataka usawa wa ajira na kipato na mwanaume wakati huo huo anataka huyo mwanaume awe provider wa bill zote kwenye familia/mahusiano.

Jamii inampa mwanamke upendeleo na fursa zote wakati huo jamii iyo iyo inataka mwanaume abaki na lile jukumu la kumtunza mwanamke, wakati kiuhalisia ni mwanume ndie alitakiwa kupewa kipaumbele ili aweze kumudu ilo jukumu la kutoa matunzo.

Tumeshindwa kuchagua kimoja for once and for all kati ya ukale/partiarchy na usasa/equality matokeo yake ni mvulugano tu kwenye jamii.
wanarudi kusema vijana hawataki kuoa?....wangesema vijana hawataki kuoana maana kazi wamezigawana fursa wamezigawana.... ndoa zimebakiza faida kwa wanawake....
 
Ningumu kujua tabia zote za mtu, hasa kwa jamii ya sasa.Usinidanganye kwamba kwa sababu utamuoa fulani ndiyo ujue tabia zake zote. ingekuwa ivo baadhi ya watu wasingekuwa wanabadilika ndani ya ndoa.
Tunarudi pale pale kwenye kutaka kufanya mambo rahisi kueleweka yaonekane magumu. Mzee mwenzangu ina maana wewe ukiambiwa mwanamke bikira haelewi au ni kutaka kuonekana upo tofauti? au ni kutaka kutetea uchaguzi wako?

Hivi kwa akili ya kawaida tu kweli unafikiri mwanaume anaweza kuweka kigezo cha bikira halafu akakubaliana na mwanamke ambae tayari anajihusisha na iyo michezo mingine mfano anal sex ambayo ni worst zaidi ya normal sexual?
 
Ningumu kujua tabia zote za mtu, hasa kwa jamii ya sasa.Usinidanganye kwamba kwa sababu utamuoa fulani ndiyo ujue tabia zake zote. ingekuwa ivo baadhi ya watu wasingekuwa wanabadilika ndani ya ndoa.
Kutokojua tabia za mtu sio uhalali wa kujaribu kuoa mwanamke ambae unaoziona redflags kutoka kwake.

kwanini ufanye gamble kwa mwanamke mwenye past yenye ukakasi wakati wanawake wenye rekodi safi wapo?.

Mustakabali wa mahusiano/ndoa ni fumbo lakini iyo sio sababu ya wewe kuchagua mwanamke kiholela holela tu.
 
Wewe sema vijana wasioe prostitutes wanaojiuza kwenye madanguro na sio kutaja neno bikira.

Ni kazi pia kujua background yote ya mtu, kuna baadhi ya vitu unatakiwa kumuuliza muhusika mwenyewe na kwenye kuuliza kuna mawili, unaweza ukaambiwa ukweli au ukadanganywa.
 
Wewe sema vijana wasioe prostitutes wanaojiuza kwenye madanguro na sio kutaja neno bikira.

Ni kazi pia kujua background yote ya mtu, kuna baadhi ya vitu unatakiwa kumuuliza muhusika mwenyewe na kwenye kuuliza kuna mawili, unaweza ukaambiwa ukweli au ukadanganywa.
Anajieuza kwenye madanguro na anaejiuza indirect kupitia kudanga wana tofauti gani?

Mwanamke ambae anataka kuhudumiwa wakati anachotoa yeye in return ni sex tu huyu ana tofauti gani na anaejiuza?

Biashara inayofanyika ni ile ile moja usiwe mjinga wa kufikiri ni biashara tofauti kwa sababu tu umebadilishiwa jina.
 
Anajieuza kwenye madanguro na anaejiuza indirect kupitia kudanga wana tofauti gani?

Mwanamke ambae anataka kuhudumiwa wakati anachotoa yeye in return ni sex tu huyu ana tofauti gani na anaejiuza?

Biashara inayofanyika ni ile ile moja usiwe mjinga wa kufikiri ni biashara tofauti kwa sababu tu umebadilishiwa jina.
Sasa kwakuwa unajifanya mjuaji nipe maana yako ya neno bikira.
 
Anajieuza kwenye madanguro na anaejiuza indirect kupitia kudanga wana tofauti gani?

Mwanamke ambae anataka kuhudumiwa wakati anachotoa yeye in return ni sex tu huyu ana tofauti gani na anaejiuza?

Biashara inayofanyika ni ile ile moja usiwe mjinga wa kufikiri ni biashara tofauti kwa sababu tu umebadilishiwa jina.
Mwanamke ambae hajawahi kuingiliwa kijinsia na mwanaume
Usha chemsha tayari, bikira ni msichana.

Na mwanamke ni ambaye ameshazaa tayari.

Afu utajuaje kwamba hajaingiliwa na mwanaume ?
 
Usha chemsha tayari, bikira ni msichana.

Na mwanamke ni ambaye ameshazaa tayari.

Afu utajuaje kwamba hajaingiliwa na mwanaume ?
😀😀😀 we jamaa bhana unataka kufanya mambo rahisi yawe magumu kueleweka. Haya tuseme basi ni jinsia ya kike.


Kuhusu utambulisho wao, ambae bado hajaingiliwa kijinsia anakua na kizinda ambacho kinalinda tumbo la uzazi
 
😀😀😀 we jamaa bhana unataka kufanya mambo rahisi yawe magumu kueleweka. Haya tuseme basi ni jinsia ya kike.


Kuhusu utambulisho wao, ambae bado hajaingiliwa kijinsia anakua na kizinda ambacho kinalinda tumbo la uzazi
Kwenye nchi zilizoendelea msichana anaweza akaenda kwa Doctor na akawekewa artificial hymen.
Wanaume wengi wamekuwa wakidanganywa sana na haya mambo.
 
Back
Top Bottom