Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Kuna delutional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio

Nimeoa 2010..kabla ya hapo nilimiki nyumba na kigari limoja...then baada ya kuona Kwa Kasi pamoja na juhudi mambo yaakanza kubadilika sana...milango ya baraka kibao ikafunguka..kazi cheo kikapanda,biashara zikashamiri...tukaongea nyumba na magari..mtoto WA kwanza akazaliwa..
Mwaka 2014 nikapta pigo..baba yangu alikuja kututembelea....baada ya wiki mbili akaugua sana...nikaondoka nae kwenda India.. Huku nyuma nikamuacha wife pamoja na kazi yake lakini pia alisimamia biashara +kilimo .mzee amekaa India miezi mitano ... mzee akawa hajapona tukashauriwa twende. South Africa..mwez December mzee akafariki..nikasafirisha had mwanza home..usiku wife akanifata akaniembia twende kwenye gar Nina maongezi na wewe...akaniambia pole sana najua umeuguza baba mda mrefu pole sana...akaniambia alvyoambana na kilimo Cha vitunguu,viaz mviringo ..akaniambia Kuna Hela kidogo nimekuja nayo ya kisaidia msiban..akaenda ndani akaja na kibegi kidogo...kujifungua haloooo...kimenonanikamuilkza ni kias Gani hiki akasema niliona 60 hizi ni za vitunguu tu...za viazi ziko bank...nilichofanya nikambusu kwenye paji la uso na nikamfanyia Ishara ya msalaba pale kwenye paji la uso ..
Kuna kipindi nilichepukaga nikazaa nje..kipindi Niko nje Nauguza alienda akamchukua mtotokwa mama yake...korosho safi..amefanya mengi,mengi sana....mpaka leo tuko vyema na mambo yanenda kama kawa...Kwa kushirikiana nae tumeweza kufanya mengi...
Mtu kuleta mada sijui wanawake nyenyenyenye.....sijui ndoa hazifa..kataa ndoa..mara sijui nini..namwangalia huku jicho Moja nimefunga..
Mwanaume Baki kwenye nafasi yako..tengeneza misingi ambayo kwayo mkeo atatembelea na kuifata .simamia unachokiamini..zungumza na mke(sio kuongea..wanaondoa hawaongei)..mfanye mke awe rafiki yako WA kwanza lakini timiza wajibu wako vizuri...kumbuka Pia mwanaume ndie kiumbe pekee anayepokea LAWAMA nyingi Lakin LAWAMA hizo zote yeye huona ni Sifa....
Sasa wewe ukioa MKE MKE au mke mke wetu lazima utoe kilio Kikubwa inafaa uone MKE MKEO...
Ila haimanishii ma single boy hawako vizuri?
Kila mtu abaki na anacho amini.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kujishusha (ikizingatiwa mm ni msukuma ss wasukuma tuna hulka ya ubabe)
Aisee wewe mjomba yangu kabisa... Nakushauri hao achana nao Wana maudhi sana, na kwa jinsi navyowafahamu wajomba zangu hampendi dharau na ujuaji mwingi kutoka kwa mwanamke mtagawana nae majengo.

Hili uweze kuishi nao bila kelele itabidi ujifanye Falla sana, yaani ukubaliane na vitu vingi sana hata vile vya kuutweza uanaume wako kitu ambacho nyie wajomba zangu hamuwezi.
 
Kuna delusional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Ni delusional na sio delutional kama ulivoandika, shida yako una approach ndoa kama business partnership hapo ndo unapofeli. Mwanaume unatakiwa ujipange kuendesha maisha yako na familia yako bila kumtegemea mke wako. Mke anakuja kwenye ndoa kwa ajili ya mambo ya ndoa sio kukuongezea kipato.
 
Tatizo mnaweka thamani kwa mali anayoongeza, haina uwiano sawa. Alimzalia watoto na bwana Mengi alipata tulizo la roho kutoka kwa mmachame wake.
Kwani nyie wanawake huwa hamuweki thamani kwenye Mali?... Shubamit Tena nyie ndio mko too obsessed na Mali za mwanaume... kwanini waga hamuolewi na makapuku kama hamzipi kipaumbele Mali za mwanaume?? Wewe unafikiri mzee mengi angekuwa kama mzee Mpili yaani Hana hela Wala status yoyote ya maana yule Jackline Angeweza hata kukaa nae meza Moja wakaongea, achilia mbali kuoana nae??

Na pia unavyosema eti alimzalia watoto, kwanini hao watoto ni wa Mengi peke yake?? Kwanin huwa mnaona mkizaa na sisi ni kama mnatufanyia hisani?
 
Hapana, sio kweli. Post #239 nimeelezea vizuri. Hii ya kuonekana yupo juu ni kutokujiamini kwa mwanamme
Haaa wapi wewe nae unaonekana ukoo too detached na reality sijui ni kutokujua

Dhamira kuu ya feminism hasa hii ya Sasa third wave feminism ni kumnyong'onyeza kabisa mwanaume kwa kutumia sheria Kali wakati huo ikisimika female supremacy... Hii ni ajenda Pana sana ambayo yaonekana huna uelewa nayo.

Hizo kauli zenu za kwamba sijui wanaume hatujiamini ni kauli nyepesi ambazo hazina mkia wa kichwa....
 
Poleni Wakuu, nyakati hubadirika lakini isiwe sababu ya ninyi Vijana wa kiume kukataa Kuoa hivyo kufikiria kuzalisha watoto kisha kuwalea peke yenu.

Suala la Malezi ya watoto ni jambo linalopaswa kufanywa na Wote;Baba na Mama

Bado mabinti wanaojielewa wapo, unaweza kupata mmoja wa kukufaa.

Kutokana na asili ya majukumu yetu kama Wanaume, possibilities ya kuishi miaka mingi hatuna

Kwahiyo Mama atakuwa Msaidizi wako pindi unapopatwa na Mauti

Huwezi kuzaa watoto kisha ukategemea ndugu zako wakulele.

Kwa maisha ya sasa, ndugu sio wa kuwategemea hata kidogo
Hii comment umeandika madini kuliko zile zingine zote.

Ni kweli suala la kuoa Bado linawezekana kutegemeana na vipaumbele vyako na pia umakini wa Hali ya juu mno unahitajika.
 
Ataachwa bila kupewa chochote
Kwanin aachwe bila kutoa chochote?

Kwanin na yeye mwanamke asifirisiwe na Mali zake kupewa mwanaume Kama ambavyo wanaume huwa wanafirisiwa na kisha Mali zao kupewa wake zao pale wanapobainika wamechepuka???

Yaani kwamba mwanaume akichepuka adhabu yake ni kunyang'anywa nusu ya Mali zake na kupewa mkewe, ila mwanamke yeye akichepuka adhabu yake ni kuachwa tu bila kutoa kitu chochote??

Halafu bado Kuna mtu anabishs ndoa sio utapeli???
 
Poleni Wakuu, nyakati hubadirika lakini isiwe sababu ya ninyi Vijana wa kiume kukataa Kuoa hivyo kufikiria kuzalisha watoto kisha kuwalea peke yenu.

Suala la Malezi ya watoto ni jambo linalopaswa kufanywa na Wote;Baba na Mama

Bado mabinti wanaojielewa wapo, unaweza kupata mmoja wa kukufaa.

Kutokana na asili ya majukumu yetu kama Wanaume, possibilities ya kuishi miaka mingi hatuna

Kwahiyo Mama atakuwa Msaidizi wako pindi unapopatwa na Mauti

Huwezi kuzaa watoto kisha ukategemea ndugu zako wakulele.

Kwa maisha ya sasa, ndugu sio wa kuwategemea hata kidogo
Kama hawataki kuoa ujue tu wanajianda kuolewa.

Tumeona wale walio enda kwa Pididi walianza hivi hivi.
 
Kuna delusional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Kwamba hiyo "delusional theory " ungeandika kwa kiswahili usingeeleweka au unataka ukiandika kwa kiingereza ndo tukuone umesoma sana tukubaliane nawe?
Pumbav
 
Ktk watu 65M unatoa mfano mtu mmoja tu? USA watu 320M unatoa mfano wa mtu mmoja tu? It is pointless
Wewe nyau kweli... Halafu ndio mnajiona eti ndio wanaume mnaojielewa na akili zenu nyepesi hizi kama nyoya la mkia wa njiwa??

Wakati unauliza hili swali ulikuwa una maanisha nini? Au ujibiwe vipi?

"Ulishaona tajiri Hana mke?"
 
Kuna delusional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Huwezi kulala njaa hasa ukiwa na mtoto ama watoto
 
Hii tabia ya wanawake kujipachika kwa mwanaume ambae amesha-set streams za maokoto halafu baadae wanataka kuwa entitled kwenye mafanikio ya mwanaume uyo ni utapeli tu.
Halafu unakuta huyo Mwanamke anajigamba "yaani bila uwepo wangu kusimama kidete hizi biashara zote zingekuwa zimeshakufa, nimezikuta kwenye Hali mbaya sana kwanza alikuwa anataka kuzifunga"... Hapo anawaanda watu kisaikolojia siku ndoa ikifa aonekane na yeye ana mchango kwenye biashara hizo na hivyo iwe ni Haki yake kupata mgao, aisee kama Kuna mwanaume ambaye Bado hajashtukia Hawa matapeli nampa pole
 
Vijana wanafikiri u-simp ndio u-gentleman au u-real man
Kuna wanaume leo hii wanafikiri eti kuwa mpole na mnyenyekevu kwa mke wako wakati huo ukiprovide ndio njia ya busara Zaid kuishi nae....

Na Hawa wote wanaosemaga humu sijui ishi nae kwa akili ukichunguza ndio huwa wanaishi hivyo na wake zao... Yaani wamekuwa makondoo.
 
Kuna delusional theory imesambaa kwenye jamii zetu za kiafrika kwamba kuoa kunafungua milango ya mafanikio kwa mwanaume. Kwa kijana yoyote wa kiume kama wewe ni muumini wa iyo nadharia basi leo nakufungulia code kwamba umedanganywa.

Vijana wengi mmejazwa uongo vichwani mwenu kwa kuaminishwa kwamba mafanikio yenu yatapatikana kwenye ndoa. Sikiliza kijana, kabla ya kuoa ndio muda unaotakiwa kufungua milango ya mafanikio yako, huo ndio muda wa kufurahia maisha na uhuru wako kwa sababu ukioa hautapata iyo nafasi.

Kuoa ni kujivalisha minyororo ya utumwa, na katika kutimiza utumwa huo ipasavyo jamii na mamlaka za kiserikali zitakua macho kuakikisha hautoki nje ya mstari. Jaribio lolote la kujitoa kwenye utumwa huo matokeo yake ni jela au kufilisika.

Ndoa haimuongezei mwanaume chochote chenye thamani, tofauti na mwanamke ambae kwake ndoa ni ajira ya kudumu, ni mradi wa kibiashara na njia rahisi ya kuwa entitled kwenye mali za mwanaume bila kuchangia chochote kifedha au kitaaluma.

Takwimu zinaonesha 92% ya wanawake mabilionea wamepata utajiri wao kupitia talaka. Waliolewa na wanaume matajiri, wakadai talaka, wakapata mgao wa mali.

Hakuna mwanamke anaekuja kwenye maisha yako na solutions za changamoto zako au kukuwezesha kuyapata hayo mafanikio unayoambiwa utayapata ndoani. Siku zote mwanamke anakuja kwenye maisha yako ili wewe umpe suluhisho la matatizo yake na umfanyie kazi ili yeye aweze kuishi maisha rahisi kadiri iwezekanavyo.

Mwanamke hatafuti mpenzi, anatafuta mtumwa. Anataka mtumwa atakae gharamia lifestyle yake, atakaelipa bills zake na kusuluhisha matatizo yake yote hapa duniani.

Huyu mtumwa anapata nini in return? nothing beneficial, ni hasara, maangaiko, maumivu na majuto tu, kwa sababu huyu mwanamke hana chochote chenye thamani cha kuleta mezani. Mwanaume kataa kuwa mtumwa.

Mafanikio ya mwanaume ni mchakato wa nidhamu, jitihada, vikwazo na muda, sio ndoa. Mwanamke utakaemuoa hatokupa hela ya mtaji wa biashara au connection ya kazi nzuri zaidi ya uliyonayo, isipokua atakuongezea stress na gharama za maisha tu.
Kazi ipo
 
Back
Top Bottom