Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Kila mtu anaongea kwa mafumbo, jamani ebu fungukeni.
 
Dunia ina mambo ..
 
Haya mambo yapo sana yanatofautiana kati ya jamii Moja na nyingine, miaka flan Kuna kijana alikua mtumishi wa uma mwenyeji wa huko karibu na jamii hzo alifanya kosa wananchi walimpiga Sana jamaa alikaaa KCMC karibia wiki mbili kama "camatose" alivozinduka akasema yeye kufa ni either atake mwenyewe au zake zitimie ana bima ya asili
 
Haya mambo yapo! Ila watutsi wa jf wamegoma kumwaga mchele.
 
Heeee [emoji44]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…