DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Na pia kuhusu kitovu Cha mtoto unakichukua unakiweka katika kopo.
Yote hufanya Sana Wahaya , waganda na watusi Kwa lengo hasa la kuzuia watoto wao wasirogwe .
Ila Mara nyingi michipuko ndo hufanya hizi mambo au wale walioa wanawake wengi.
Nkmeona sehemu kama 03 Nyumbani Bukoba
Yote hufanya Sana Wahaya , waganda na watusi Kwa lengo hasa la kuzuia watoto wao wasirogwe .
Ila Mara nyingi michipuko ndo hufanya hizi mambo au wale walioa wanawake wengi.
Nkmeona sehemu kama 03 Nyumbani Bukoba