Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Na pia kuhusu kitovu Cha mtoto unakichukua unakiweka katika kopo.

Yote hufanya Sana Wahaya , waganda na watusi Kwa lengo hasa la kuzuia watoto wao wasirogwe .

Ila Mara nyingi michipuko ndo hufanya hizi mambo au wale walioa wanawake wengi.

Nkmeona sehemu kama 03 Nyumbani Bukoba
 
Achana na imani za kishirikina, kabidhi mtoto madhabahuni apakwe damu ya Yesu, hiyo nyingine ni uchafu.
Usemayo ni kweli na mimi nikija kua na watoto kuwapeleka kanisani ni lazima.

Lakini mbona watoto wengi walipelekwa kanisani lakini bado matatizo yanawaandama wengine ndio wanaongoza kuchezewa na wachawi?
 
Walivyomfikisha mochwari ile wanataka kumchoma sindano marehemu akazinduka.
Sasa wakati anamsimulia mama yangu changamoto za kishirikina anazokutana nazo kwa mume wake akasema "Huyu mwanaume hawezi kunishinda, mimi ndiye mtutsi original labda kama nisingepakwa damu ya uzazi"
***** hiki kisiki cha Mpingo
 
Na pia kuhusu kitovu Cha mtoto unakichukua unakiweka katika kopo.

Yote hufanya Sana Wahaya , waganda na watusi Kwa lengo hasa la kuzuia watoto wao wasirogwe .

Ila Mara nyingi michipuko ndo hufanya hizi mambo au wale walioa wanawake wengi.

Nkmeona sehemu kama 03 Nyumbani Bukoba
Halafu hilo kopo linawekwa wapi na mpaka lini?
 
Halafu hilo kopo linawekwa wapi na mpaka lini?

Sehemu ambayo watu hawafiki kirahisi .

Kuhusu hii mira/tamaduni nimeona Kwa mtu Wangu wa karibu Ila yule mtoto amebarikiwa sana

Darasini
Akili za maisha
Ndo kwanza Ana 15 yrs Ila mwaka huu anamaliza form six , Ana run business ya mama yake na anaelewa mambo Kwa kina mpaka unashangaa.

Anajua mambo ambayo kwa umri wake anabidi kuyajua mtu wa age ya 35-40

So huyu hapo sijaelewa ni hiyo mila ,genetics au nini ? Ila kuhusu wazazi wake ni average kichwani.
 
Kuna dada ni rafiki wa mama yangu huwa analalamika mumewe anataka kumtoa kafara ili apate utajiri.
Juzi kati alipata ajali mbaya sana akapelekwa hospital madaktari wakadhibitisha amefariki hivyo apelekwe mochwari.

Walivyomfikisha mochwari ile wanataka kumchoma sindano marehemu akazinduka.
Sasa wakati anamsimulia mama yangu changamoto za kishirikina anazokutana nazo kwa mume wake akasema "Huyu mwanaume hawezi kunishinda, mimi ndiye mtutsi original labda kama nisingepakwa damu ya uzazi"

Mama yangu akamuuliza kuhusu damu ya uzazi ndio akaambiwa ila kwa ufupi.
IMani tu
 
Sehemu ambayo watu hawafiki kirahisi .

Kuhusu hii mira/tamaduni nimeona Kwa mtu Wangu wa karibu Ila yule mtoto amebarikiwa sana

Darasini
Akili za maisha
Ndo kwanza Ana 15 yrs Ila mwaka huu anamaliza form six , Ana run business ya mama yake na anaelewa mambo Kwa kina mpaka unashangaa.

Anajua mambo ambayo kwa umri wake anabidi kuyajua mtu wa age ya 35-40

So huyu hapo sijaelewa ni hiyo mila ,genetics au nini ? Ila kuhusu wazazi wake ni average kichwani.
Mmmh!
 
Usemayo ni kweli na mimi nikija kua na watoto kuwapeleka kanisani ni lazima.

Lakini mbona watoto wengi walipelekwa kanisani lakini bado matatizo yanawaandama wengine ndio wanaongoza kuchezewa na wachawi?
Ukishawapeleka madhabahuni siyo kuwaacha ukafikiri hiyo ni kama chanjo. Endelea kuutafuta uso wa bwana maisha yako yote watu wabaya wao hawaji siku moja wanakuja kila siku.
Hata hao waliopakwa huo uchafu wanaandamwa na mapepo kila siku hadi waende kwa Yesu.
 
Kuhusu madarasa kuwa na 15 yrs na kuwa form six unaweza ukaona chai

Ila huyo dg alikuwa anasoma Uganda alisoma mpaka darasa la nne kisha akaja huku Tanzania akingizwa form two

Amezaliwa mwaka 2009
Alikuwa anasoma uganda mwaka 2020 ilipotokea mripuko wa Corona Shule zilifungwa .

Hivyo akaamua kurudi Tanzania wakati Shule zinafungwa alikuwa Darasa la tano hivyo alipofika Tz kuna Mwalimu alimchukua akasema wamuingize form two

So amerukishwa madarasa na sasa yupo anamalizia form six
 
Back
Top Bottom