Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Damu ya uzazi ina maagano yake
Kuna jinsi ya kumzindika mtoto na kiasi kinachobaki Kuna jinsi ya kukitupa sio ovyo ovyo
Pia Kuna elimu ya kitovu
Hii ni elimu pana nikijaaliwa muda nitakuja nayo hapa jukwaani kuidadavua
Asante sana ngara! Usichelewe basi kupandisha huo uzi na usisahau kunitag.
 
Damu ya uzazi ina maagano yake
Kuna jinsi ya kumzindika mtoto na kiasi kinachobaki Kuna jinsi ya kukitupa sio ovyo ovyo
Pia Kuna elimu ya kitovu
Hii ni elimu pana nikijaaliwa muda nitakuja nayo hapa jukwaani kuidadavua
kitovu kikiangukia pens ya mtoto inabidi mama yake mzazi ajiwekee hiyo deliboz kwenye k yake
 
Itakuwa kweli maana mwenyewe nimefanyiwa nyota kali vibaya ovyo..
 
Achana na imani za kishirikina, kabidhi mtoto madhabahuni apakwe damu ya Yesu, hiyo nyingine ni uchafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…