Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Umaskini wa kifikra
Kuna ile uchagani watoto wakiota meno ya juu kwanz ni laana na nuksi😂
Huu uzi hauwafahi..!
 
Alikuwa hajafa huyo.
 
Huu uzi hauwafahi..!
Ukishaweka uzi wako JF umeuweka public forum.

Kila mtu anaweza kuuona, kutoa maoni na kuchangia chochote kile kwa wakati wowote ule.

Huwezi kutaka privacy kwenye public forum.

Ungetaka privacy ungetafuta members wako wanaokufaa muende PM mkajadiliane huko.

Ukishaweka uzi wako public, Huo ni wa kila mtu.
 
Wanasema mtoto aliyepakwa damu ya uzazi hata lasna na mikosi ya ukoo inampitia mbali, ataishi duniani na nyota yake ya asili.
Wachawi watu wenye nia ovu juu yake wanagonga mwamba.
Faida hii mojawapo umeitaja.
 
Imani yako ndio itafanya kile unochoamini kitakuwa
 
Hiyo uliyotaja ndiyo faida kuu ya msingi-Kutoa ulinzi wa mtoto maisha yake yote na nyuma ya hili huwa kuna malaika mlinzi.

Faida nyingine ni kwamba ile hali ngumu ya uchungu aliyoipata mama huwa imebeba siri inayoonyesha utajiri wa mtoto.Kila mtoto huwa amebeba siri ya aina yake ambayo hata mama yake haijui.Wana mpaka damu ya placenta mtoto ili kumrahisishia katika njia zake huyo mtoto akikua siku moja aje kufunuliwa siri yake.Mtoto wa aina hiyo anapoijua siri yake,huwa anazidi kufurahi kuona hadithi yake ya mafanikio inadumu kuwapendeza wasomaji wengi.

Hiyo ndiyo faida nyingine ninayoijua.

Na wengine wataendelea kuongezea faida wanazozijua.
 
Mkuu,

Hivi kwanini wanawake wa Kihaya wakishika mimba lazima waende kwao kunywa dawa au la hutumiwa dawa hito toka kijijini?.

Ni dawa za uzazi tu au kuna mengine huchanganywa humo?
 
Nitarudi kesho kusoma hii comment tena, leo nimetoka kapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…