Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

Kuna faida gani kumpaka mtoto aliyezaliwa damu ya uzazi?

That’s nasty. Gross!

Imani potofu na ujinga wa kiwango cha juu.
 
Nasemaje tayari tunatoka na damu zanu kwa nini mtupakae tena... Kwa mujibu wa mleta mada...
Mi nadhani ni baadhi ya Mila za kabila na kabila....mfano kitovu chako sidhani kama ushawahi jua alipewa nani alikinenea Nini
Dunia Ina mambo mengi ya ajabu.IMANI
 
Dah!!! Inasaidia nini?
Placenta ipoje?
Hata najua basi.
Nurse alikuwa amelifunga kwenye mfuko, mzazi keshatoka hospital na kichanga chake ndio nurse kumkimbilia kasahau placenta lake.
Imagine movie ya wazungu 🤣🤣🤣
Ni km linasaidia kumpa nguvu ya kulea sijui. Ht sijafahamu
 
Hata najua basi.
Nurse alikuwa amelifunga kwenye mfuko, mzazi keshatoka hospital na kichanga chake ndio nurse kumkimbilia kasahau placenta lake.
Imagine movie ya wazungu 🤣🤣🤣
Ni km linasaidia kumpa nguvu ya kulea sijui. Ht sijafahamu
Dah! Eti kumpa nguvu ya kulea🤣
 
Kuna baadhi ya mama huwapaka watoto wao damu inayotoka ukeni punde baada ya kutoka kujifungua.

Kwa nilivyosikia hii kitu ipo sana kwenye jamii ya Watutsi.
Wanasema punde mama anavyokabidhiwa mtoto wake basi hufanya kitu hiki huku akinenea maneno.

Inasaidia mtoto asipate husda yoyote inayosababishwa na walimwengu.
Watu waliofanyiwa kitu hiki huwa hawarogeki, wengine wanakua na nyota kali sana.
Chochote kibaya kinachowapata labda akisababishe mwenyewe ila sio kwa kusababishiwa na watu.

Hii ishu nimeisikia mara mbili, na jamii hizo hufanya jambo hili kwa siri ndio maana sio kila mtu anajua kuhusu hii mila au desturi.

Nikaona nije kuuliza humu sababu kuna wajuzi wa mambo.
Naomba kujua ukweli wa jambo hili.
Mshana Jr LIKUD GENTAMYCINE mdukuzi ngara23 Kapeace
Dunia kwa ujumla wake ina tamaduni mbali mbali, na kila tamaduni ina negative na positive zake.
Hiko wanachofanya watust wengine hawafanyi na hakuna walicho pungukiwa, na wala hao Watusti hamna walichozidishawa kwa tamaduni yao hio.
 
Back
Top Bottom