Tetesi: Kuna Fununu kuwa Serikali inadoctor Taarifa za makusanyo ya kodi

Good Try Mimi sina Jirani zaidi ya yule Mama mzee Mjane, Kulia kwa nyumba yangu kuna Bababara, Kushoto Kuna Kituo cha zimamoto, Mashariki kuna Kanisa, Magharibi Kuna retreat ya Sheriff department. So good try! Nimependa ubunifu wako hata hivyo! Nimekupa like!
 
Jina Langu Ni Mokili Fumulauhi, kwani nani Kakuambia sio Jina langu, Ulitaka liwe nini jina Langu ndio uamini? kama Mtu anaitwa Pombe au Maufuunguo na huhoji jina lake kama ni la kweli langu kwanini unahoji Ulitaka Niitwe Juma au John ndio uamini?
 
Akili mali hujui umuhimu wa takwimu ktk maisha yako,kweli tz tumebalikiwa kuwa na vilaza wa kila aina hata jpm ni product ya wa tanzania walio wengi kama ww
Brother Unaweza kuwa na hasira na serikali Hii,unao Uhuru wa kujieleza hapa JF ila chunga lugha unayoitumia,Uhuru ulionao chumbani kwako na simu yako au laptop yako usikufanye uhisi Upo huru kupitiliza,. Chunga sana lugha unayoitumia.Ni muhimu kuzingatia hilo.Serikali ipo na ipo makini.Ni hayo tu kwa sasa.
 
Huyu mleta mada ni wale wale wanajiamini kuwa nje ya nchi,IP address yako inaonyesha ulipo mpaka location coordinates,nyumba na chumba ulipo,aliyewadanganya kuwa ukiwa nje ya nchi Upo huru kulaghai na kuongea ovyo kuhusu serikali muulizeni vizuri amewapotosha sana.Muda utaongea,endelea na ulaghai wenu,ila jua yana mwisho,na ni mbaya sana.
 

Umeandika udaku ambao ulikuwa unauwaza wakati unakata gogo toilet...
Unaandika uongo, uzandiki Na unafiki kwa makusudi ili Waziri aje kukanusha? Poor you ... Weka ushahidi wa ndoto zako hizo unazoota
 
Yaani hii ni sawa na mtu unaweka hela kwa dro baadae unaenda kwa mbinu za kiwizi unaiba ilihali unaishi mwenyewe. Afu kichwani unakuwa unaamini kuwa zile hela bado zipo kwa dro.
Tatizo la Nchi yetu ni ukubwa wa serikali kwahiyo wajikusanya trilioni moja plus bado fedha hizo hazikidhi mahitaji.Kwa muda mrefu serikali za mitaa hazija pelekewa fedha zozote za matumizi ya Kawaida!

Halafu watu wengi wamefunga biashara kwahiyo kwa vyovyote serikali mapato take lazima yashuke. Mauzo ya Petrol na diesel yameshuka sana kwahiyo yameathiri kodi.
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda
Kichwa chako ndio sio kizuri iweje ulipe kidi alafu usitake kujua kodi imetumika vipi
 
Acha ujinga kijana. Wanao kutuma wanamaisha mazuri wewe unakuja jiumuza huku na tetesi uchwara
 
Acha ujinga kijana. Wanao kutuma wanamaisha mazuri wewe unakuja jiumuza huku na tetesi uchwara
Mjinga kweli umejuaje mimi Kijana? Na pili kama unayumwa mimi situmwagi na Kiumbe yeyote. Am nobody's bafoon or stooge.
 
Very true
 
Hata kama wana fake mwisho wa siku tatizo ni lako au lao. Kwani linakuhususu. Au unategemea mgao wowote kutoka katika trilioni hizo mzee. Vichwa vyetu vina mambo mengi ya kufanya. Usijaze brain zetu na junks kamanda

Hawana sababu ya kututangazia kwamba wana pesa wakati hizo pesa hazi reflect maisha yetu ya kawaida kwenye huduma za kijamii
 
Umeandika udaku ambao ulikuwa unauwaza wakati unakata gogo toilet...
Unaandika uongo, uzandiki Na unafiki kwa makusudi ili Waziri aje kukanusha? Poor you ... Weka ushahidi wa ndoto zako hizo unazoota
Sina tatizo na utumbo ulioandika ila nakuongezea na hili ambalo nina uhakika nalo tena sio kwa kuambiwa mapato ya mwezi julai yalikuwa bilioni 700 lakini yaliyotangazwa ni tril.1.050. Lifanyie kazi hili ukishindwa njo kwenye PM nikuonyeshe kitu
 
Mapato hayawezi kufikia ya Serikali ya awamu ya nne kwasababu Magufuli anawapendelea sana Wanajeshi na kuwaahidi mishahara na malupulupu mengi wakati hawakusanyi kodi na kila siku anawakatisha tamaa, vitisho na kuwanyanayasa wakusanyaji wa mapato ndio maana watu maofisi wameamua kirelax ili kuona hao anaowaahidi atawalipi nini na mpaka lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…