Kuna gari mbili zimepaki hapa masaa mawili bila watu kushuka

WameondoA gari kwa speed kali baada Ya kuona huu uzi na Watu kuanza kujikuzanya makundi
 
Kama ni Nissani Nyeupe na wewe ni Mpinzani Myfriend Save your Life.......You must Disappear.
 
Duh, naona hao wameondoka kwa spid kali sna
 
Which country is this?
 
Watu weusi tunapenda sana kuchukulia vitu poa, Gari imepakiwa kwa muda bila watu kushuka mtu ana-doubt mnakuja kukejeli watu wa hili taifa sijui tunakulaga nini aisee???
Hata ukienda nchi zilizostaarabika inapotokea situation kama hiyo lazima askari atakuja atauliza kinachoendelea, what if mtu aanakufa au ametekwa humo ndani ya gari ? Achilia mbali hatujui dhamira ya aliyepaki bila kushuka, tujifunze kubadilika wakati fulani
 
Wananchi waoga sana.
Wekeni kizuizi kisha waulizeni hao wanafanya nini hapo....

Waje wapaki eneo letu ndo watajua hawajui
 
Juzi nimekuta DFP imapack mtaani Kwangu.......nikageuza gari yangu. Nilirudi usiku baada ya kuambiwa ni Mkwe wa Mzee Fulani hapa mtaani alikuja kutembea na gari la kazini.
 
Afadhali mkuu Umeongea Hat hvyo jamaa ghafla wameondoka kwa spid kali mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…