cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF bana[emoji1], kila mtu ana gari la milioni 200
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF bana[emoji1], kila mtu ana gari la milioni 200
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na nchi ambayo magari yana jinsia! Yaani ya kike na ya kiume!
Naona wanachama wa “NAZI” wamejipangaNaona wahuni wamepangana watakuwa na vi boksa vilivyo changamka
View attachment 2110165
.. 😄😄😄
RRONDO Offshore Seamen miss pablo blackcornshman Extrovert
wazee wa vibukta na funguo kiunoni 😄😄😄Naona wanachama wa “NAZI” wamejipanga
Hahahahah ukishaona gari inapigwa moshi 3 jua mnyoa kiduku atatoka ndani ya hio gariwazee wa vibukta na funguo kiunoni 😄😄😄
Tanzania kuna matatizo makubwa magari yanaonyesha tabia za mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli kazi ipo katika kupambana na ujingazile Mini Copper unaonekana shoga [emoji2960]
Vijana wenye pesa haoNaona wahuni wamepangana watakuwa na vi boksa vilivyo changamka
View attachment 2110165
.. 😄😄😄
RRONDO Offshore Seamen miss pablo blackcornshman Extrovert
Vijana wenye pesa hao
Iondoe crown na ist hapo.Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Unyama mwingi hapaa[emoji16][emoji16]
Ama kweli ushamba mzigo kwa hiyo foresta sio subaru [emoji846] ndio tatizo la kujifanya mjuzi kumbe hujui kituWivu tu...
Anayemiliki subaru ndo mwanaume sasa...lkn sio viforester vyenu.
Subaru ya maana wrx, sti ,gc8, n12 na makolokocho mengine ya maana.
Ameshindwa kuelewa jina la Subaru, ni kama ilivyo kwa Toyota ambako ndani yake kuna kizazi kama IST Land cruser, GX 110 na zingine.Ama kweli ushamba mzigo kwa hiyo foresta sio subaru [emoji846] ndio tatizo la kujifanya mjuzi kumbe hujui kitu
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]KARIBU TANZANIA NCHI AMBAYO UKIMILIKI GARI LA KITOFAUTI UNAITWA MUHUNI
aha ***** nazikibali hizo unazivunjia heshima kabisazile Mini Copper unaonekana shoga [emoji2960]