Kuna gari ukiendesha unaonekana 'muhuni', inasikitisha sana

Kuna gari ukiendesha unaonekana 'muhuni', inasikitisha sana

Unaendesha NOAH alaf full Tinted lazima watakuhisi ni "Watu wasiojulikana", IST, Alteza, Crown ni magari ya wanyoa Viduku na kuvaa Vibukta vifupi.
Hapana bhachu Crown ni tamu na nyepesi. Hivi unataka Mzee wa miaka 65+ asukumane na LC au Hilux kweli. Kuna Mzee wa busara Namfahamu anaendesha zake Crown.
 
Ikiwa DV, DX, DY ndo mpyaaa🤣🤣

Ukiwa na gari namba A iliyotunzwa, ikianza kuchoka choka unachomoa injini, gearbox na takataka zingine halafu unaagiza gari kama hilo hilo let say M18 used from Japan unahamisha madude mapya mule kwenye namba A halafu unatangaza kuziuza zote.

Namba A bei M15 Namba Dz sijui EA bei M13 najua tu wapenda namba mtainunua namba D na kuiacha namba A mtakuwa mmemnunulia namba A injini na geabox na makorokoro kwa M5.
Wahuni sio watu 😄😄😄😄
 
Na hili chaka vipi la.. A4 B8 😀😀😀.. au hawa ni comers RRONDO Extrovert Offshore Seamen
Screenshot_20220206_211409.jpg
 
Hapana bhachu Crown ni tamu na nyepesi. Hivi unataka Mzee wa miaka 65+ asukumane na LC au Hilux kweli. Kuna Mzee wa busara Namfahamu anaendesha zake Crown.
Kuna Mzee mmoja very smart always anavaa pama yeye gari yake ni Subaru tu. Sasa hivi ana XT moja kali sana.
 
sport car mnaita uhuni JF RAHA SANA
Watu wanaita za kihuni kutokana na dereva anayekaa humo...
Dereva anashuka mfano kwenye Altezza au Subie, ananuka K vant, shavu limevimba mirungi...
.sijui kichwani ana vidredi vichafuuu, au kiduku..
Kikaptula,
Chini yeboyebo na visoksi....
Mfukoni ana kiberiti,
Pakiti ya sigara...
Akiinama unaona elastic ya boxer paana kiuno sijui saizi 68. [emoji35][emoji35]...na limfereji la makalio, limepauka kama limepakwa poda..

Sasa huyo ni binadamu...? Si muhuni tu huyo..
 
Back
Top Bottom