Richmoto Kushmoto
JF-Expert Member
- Jan 18, 2021
- 549
- 560
sport car mnaita uhuni JF RAHA SANAOngeza na Lamborghini na Mustang GT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sport car mnaita uhuni JF RAHA SANAOngeza na Lamborghini na Mustang GT
Hapana bhachu Crown ni tamu na nyepesi. Hivi unataka Mzee wa miaka 65+ asukumane na LC au Hilux kweli. Kuna Mzee wa busara Namfahamu anaendesha zake Crown.Unaendesha NOAH alaf full Tinted lazima watakuhisi ni "Watu wasiojulikana", IST, Alteza, Crown ni magari ya wanyoa Viduku na kuvaa Vibukta vifupi.
Wahuni sio watu 😄😄😄😄Ikiwa DV, DX, DY ndo mpyaaa🤣🤣
Ukiwa na gari namba A iliyotunzwa, ikianza kuchoka choka unachomoa injini, gearbox na takataka zingine halafu unaagiza gari kama hilo hilo let say M18 used from Japan unahamisha madude mapya mule kwenye namba A halafu unatangaza kuziuza zote.
Namba A bei M15 Namba Dz sijui EA bei M13 najua tu wapenda namba mtainunua namba D na kuiacha namba A mtakuwa mmemnunulia namba A injini na geabox na makorokoro kwa M5.
😂😂😂Wahuni sio watu 😄😄😄😄
😄😄😄 madere wa crown na subie.. ni kama wale madere wa boda boda wanao vaa vi ndala, na tu rasta, kaptula chafu na chupo nje na boda haida hata side mirror 😄😄
Hawa wanajiona wanaishi Mars!Na hili chaka vipi la.. A4 B8 😀😀😀.. au hawa ni comers RRONDO Extrovert Offshore Seamen View attachment 2110501
A4 unyama tuNa hili chaka vipi la.. A4 B8 😀😀😀.. au hawa ni comers RRONDO Extrovert Offshore Seamen View attachment 2110501
sema ni za kidemu hizi 😄😄😄A4 unyama tu
Hahaha ya kidem kwannsema ni za kidemu hizi 😄😄😄
😄😄😄 zinawapendeza sana wadada wazuri wazuri wenye miili flani hivi wasiwe na misambwandaHawa wanajiona wanaishi Mars!
huoni mtoto wa kike anapendezea zaidi humo 😄😄😄😄.. juzi nilikuwa natoka posta.. mitaa flani nikakutana vitoto vizuri vinayo kama hiyo.. vimependeza kishenzi.. alafu havijapiga tintedHahaha ya kidem kwann
Watu wanaita za kihuni kutokana na dereva anayekaa humo...sport car mnaita uhuni JF RAHA SANA
Kama ile ya RAMBO full mirangi ya ajabu na vitv kwenye vioo
Team alteza kila desemba tunavurumisha dar dom mikelele ya kufa mtu na PONYAKU
Kuna Mzee mmoja very smart always anavaa pama yeye gari yake ni Subaru tu. Sasa hivi ana XT moja kali sana.
Vipi kuhusu Suzuki Jimny toleo jipya (2018 - )?A4 unyama tu