Kenya wana umoja wa wanaomiliki Audi na wengine na umoja wao wa wanaomiliki Benzi. Utafurahi mwenyewe.Na hili chaka vipi la.. A4 B8 [emoji3][emoji3][emoji3].. au hawa ni comers RRONDO Extrovert Offshore Seamen View attachment 2110501
Ile gari imekaza mnoVipi kuhusu Suzuki Jimny toleo jipya (2018 - )?
Ningependa kufahamu maoni yenu nyie.
Sema "kale kagari"Ile gari imekaza mno
Hamna kagari kanakonunuliwa kwa zaidi ya 50M mzee hebu kuwa na adabuSema "kale kagari"
wanamiliki vitu latest sana wale jamaaaKenya wana umoja wa wanaomiliki Audi na wengine na umoja wao wa wanaomiliki Benzi. Utafurahi mwenyewe.
Kumbe ukubwa wa gari unapimwa kwa bei?π€£Hamna kagari kanakonunuliwa kwa zaidi ya 50M mzee hebu kuwa na adabu
Kagari mwisho ni milioni 12, zaidi ya hapo ni gari mseeSema "kale kagari"
Huyu Mnyama muache, Audi A1 ndio mlisema inafaa watoto wazuri na mafuta inanusa.Na hili chaka vipi la.. A4 B8 πππ.. au hawa ni comers RRONDO Extrovert Offshore Seamen View attachment 2110501
πππ mkuu vipi umewekeza hapo ππππ... ndio mkuuWhite A4?
Sawa.Punguzeni makeke!
ππππ.. kikao cha wahongaji mmepitisha A1 eeh πππHuyu Mnyama muache, Audi A1 ndio mlisema inafaa watoto wazuri na mafuta inanusa.
Bora sisi wenye Gx 100 tunaonekana maregend[emoji120][emoji16]Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW PoloView attachment 2110350
Ukiendesha Subaru tena yenye turbo automatically unakua resi ipo tu hivo naturally au altezzaView attachment 2110351
[emoji23][emoji23]
Halaf kweli mapoti wengi wanapenda gx100 na Carina TI zileGX100 wewe ni poti....magari ya polisi hayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Forester nayo ni Subaru mbonaπ€!Wivu tu...
Anayemiliki subaru ndo mwanaume sasa...lkn sio viforester vyenu.
Subaru ya maana wrx, sti ,gc8, n12 na makolokocho mengine ya maana.