Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa ‘Mmarekani’ sana!Prof mjanja yule anazuga,uliza enzi zake
Vile vigari sivipend hata kidgzile Mini Copper unaonekana shoga [emoji2960]
Muwe mnaacha mmeandika wosia mnatusumbua mnaacha migogoro mkifa kwa ajali ya hizo alteza zenuTeam alteza kila desemba tunavurumisha dar dom mikelele ya kufa mtu na PONYAKU
Daaa noma sana unajinyima unanunua Ist New Model kwa 19.5M kumbe watu wanakuona muhuni. Basi itabidi kuendesha escudo (manka mushi)Yaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
Hizo gari zina fujo sana roadiniYaani kuna gari ukiendesha hata kama Una busara zako unaonekana muhuni tu,hasa zikiwa zenye tinted ukishuka ndio unaona aah kumbe blaza!
Gari ambazo watu huzichukulia vibaya ni kama
Altezza,Subaru hasa Impreza na Forrester,Crown,IST kwa wenzetu SA VW Polo
19m iko vizuri sana kutoka japan ingawa unaweza kupata ya 17m kutoka inch zingine.New model iko poa, zile za Uber ndio wanazichukulia poa. Hii new model bado imekomaa kwenye 19m?
Na nyingi zinaendeshwa na vijanaNa ndio sababu hata mtu na heshima zako wanakuweka kundi la wahuni 😀😀😀😀
Yaah pia kuna ka utofauti fulani ukiwa unaendesha (confortability) ukilinganisha na ist ya zamani. Ndhani pia hiyo inafanya bei ibaki kuwa juu.Imekaza sana bei.
Halafu wananing'iniza funguo kwenye ruksi, huku wamevaa visoksi na visendo.Unaendesha NOAH alaf full Tinted lazima watakuhisi ni "Watu wasiojulikana", IST, Alteza, Crown ni magari ya wanyoa Viduku na kuvaa Vibukta vifupi.