Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

Mwamba usihangaike na viongozi wa mpito, SSH ni kiongozi wa mpito apende asipende ndiomana sasa hivi anafanya potelea mbali aendelee kula kwa urefu wa kamba yake kwa sasa hadi 2025
 
Hana uwezo
 

Viongozi gani? Wa kunadi sera za kulamba asali mbele ya mamilioni wasio na uhakika wa kesho yao? Maana ya maneno uongozi wa watu ilipotea katika akili za baadhi ya Watanzania.
 
Genge lenyewe hawa hawa waswaga ng'ombe wa Gamboshi!?
Au genge gani!?

Wape taarifa, wasubirie 2029-2030! Labda wanywe mabele ga nguruwe na matobolwa!

Walishachelewa. Huyo mama hata kutembea anamotembelea ni kuhakikishiwa support during her reign!
 
Ni
Kiongozi wa hilo genge tushamla kichwa sasa hivi anavuna korosho hapo kongwa. Wala hamtutishi.

Kiongozi wa hilo genge tushamla kichwa sasa hivi anavuna korosho hapo kongwa. Wala hamtutishi.
Ni kosa kubwa kuingia vitani ilkhal humjui adui ni nani, uwezo wake, nguvu alizonazo asili yake wapi nk, waeza jikuta unapambana na KIVULI chako mwenyewe.
 
Bwashee hii nchi ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko kuweza kumpiku Rais aliyeko madarakani kwamba ashindwe kugombea na kushinda
Ukumbuke sasa hivi wale mabingwa wa figisu za CCM ndio Watu wa karibu wa mama.

Ukitaka kuamini subiri kinana apange mkeka wa ndan ya CCM. Nguvu ya mamba iko kwenye maji, ukishatolewa kwenye mfumo unakuwa kama mlevi unayepayuka tu, na ukizidi kupayuka utashughulikiwa kidiplomasia eg Polepole au kibabe
 
Viongozi gani? Wa kunadi sera za kulamba asali mbele ya mamilioni wasio na uhakika wa kesho yao? Maana ya maneno uongozi wa watu ilipotea katika akili za baadhi ya Watanzania.

Magufuli alishashusha heshima ya box la kura, hakuna kiongozi wa ccm tena atategemea kushinda kwa ushawishi, wote watatumia vyombo vya dola na tume isiyo huru ya uchaguzi kukaa madarakani. Hao mamilioni hawana madhara yoyote maana hakuna kiongozi ww ccm anategemea kura zao kukaa madarakani.
 
Kama wananchi walikuwa na imani na Magufuli asingenajisi uchaguzi ili kukaa madarakani kwa shuruti. Hivi vitisho sijui wananchi walikuwa na imani na Magufuli kawaambie wajinga wasiojua lolote.
Kwa raisi msingetoboa hata zikirudiwa. Magufuli alikuwa anaaminiwa sana lbda vibunge uchwara vingne ndo vilipta kwa rafu za uchaguzi
 
Kwa raisi msingetoboa hata zikirudiwa. Magufuli alikuwa anaaminiwa sana lbda vibunge uchwara vingne ndo vilipta kwa rafu za uchaguzi

Magufuli angeweza kushinda bila hata kuiba kura, ila tofauti ya kura ndio alikuwa hataki kusikia. Hakupora uchaguzi kwa bahati mbaya maana ukweli alikuwa anaujua
 
Kama watanzania hatutaungana 2025 kuing'oa CCM hii ya WEZI titaishi kwa taabu sana,HAKUNA cha maana tena tunachoweza kutarajia kwa CCM HAKUNA hakuna HAKUNA.
 
Rubbish 🚮🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…