Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma

Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
CCM iondoke haraka tu tumechoka.
 
Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.

Samia 2025 kwa mfano kura anazipata wapi ? Ni akina nani watampatia kura?​

 
Nimeshangaa kuona hoja ya kuwa anamalizia awamu ya tano wameirudisha wenyewe. M/k anaenda kugeukwa bila kuamini
 
Rais SSH amekuwa rais wa viwango tangu aingie madarakani 2021, Bahati mbaya ameangukia kwenye kundi lenye uroho wa Madaraka na Wapiga dili wa tangu kale.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiamini ndio kundi lenye kumshauri vizuri,kumbe ni kundi lenye Maslahi binafsi haliamini Kama Samia anaweza akatekeleza matakwa yake yote.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua ama Mawaziri ama Makatibu Wakuu ama Wenyeviti na Wakurugenzi wa Bodi mbalimbali akiamini anafanya yeye kumbe Mtandao umemchomekea Majina.

Bahati mbaya kundi linaloongozwa na JK limekuwa likisherekea kila siku kuwa wameweza kuishika Ikulu na Chama kwa kila pembe ndio maana kila Weeknd kundi hili linakutana Msoga kukata Keki na kufungua Shampeni.

Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.

Bahati mbaya SSH ameshauriwa kumweka Makamu wa CCM Tanzania Bara Ndugu Kinana ambaye kwasasa Nguvu zake za ushawishi zikiwa zimepungua sana baada ya kumtukana Magufuli wakati ule na kuhusishwa hapo baadae na kifo chake, Baadhi ya Makada wa CCM hawakufurahishwa na Kinana kupewa nafasi kwasababu ya kasoro hizo.

Kinana anahusishwa kwenye kashfa nyingi za wizi, Magendo na Mitandao ya Rushwa ikiwemo Mipango ya upigaji ya Marafiki wa JK, Bahati mbaya Wananchi wanajua hili.

Bahati mbaya kwa SSH hajajua kuwa Hana Nguvu za ushawishi Ndani ya Chama na kwa Wananchi hasa Bara, na kwa Hali hiyo kundi hili limekuwa likijiandaa kumshauri asigombee Mwaka 2025 na hivyo kumshauri vibaya ili aendelee kukosea, mfano safari za Nje, Mfumko wa Bei Kama umeme na bidhaa za chakula na mikopo mingi kinyume na JPM alivyowaaminisha Wananchi.

Bahati mbaya SSH amekuwa akisifiwa na kundi hili kuwa 'Anaupiga mwingi' ili avimbe kichwa lakini uhalisia huku mitaani Hali ni mbaya sana na Kama Kura zingepigwa leo Samia hawezi kutoboa.

Bahati mbaya Wananchi wanajua kuwa SSH ana'limoti'wa na JK ndio maana kila teuzi karatasi inatoka Msoga, na hili hakuna atakae amini kuwa haya ni maamuzi huru ya Rais kwasababu wataeule wengi ni Wana Mtandao ama Wana nasaba na JK.

Bahati mbaya serikali ya SSH kwasasa imeanza kunukia " udini" hii imekwenda mpaka kwenye Chama, Samia Ni dini Moja na Makamu wake Kinana hii inanung'unikiwa sana kuwa miwani ya SSH haikuliona hilo vizuri.

Bahati mbaya SSH amekuwa akiteua watu toka Zanzibar kwenye mambo yasiyo kuwa ya Muungano, Kama Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Baadhi ya Taasis za kiserikali zisizohusu Muungano. Pamoja na hilo Baadhi ya Mikopo na Misaada ya Nje Zanzibar imekuwa wanufaika wakubwa huku gharama za ulipaji zikielemea bara, hii amekuwa akipigiwa makofi tu Lakini Ni kaa la Moto linaloshusha ushawishi wake upande wa Bara, Hivyo kundi hili analolibeba litatumia sababu hii kumshawishi asigombee 2025.

Bahati mbaya SSH hajui kuwa kundi hili analolibeba taswira yake inanuka ufisadi na kwa namna wanavyomshauri atadumbukia kwenye mtego wa kuachia ngazi ya kugombea urais 2025 nao wataweka mtu wao ili kuendeleza upigaji wa tangu enzi zile.

Bahati mbaya SSH hana washauri wazuri Ndani ya serikali na Chama ambao watamshauri kuchunga kauli zake zinazochochea kugawa watu ama kuwafanya wafanyabishara kupandisha bei kiholela, kundi lake linafurahi anapokosea ili iwe rahisi azma yao ya 2025.

Bahati mbaya mpaka 2025 sifa za SSH zitakuwa zimeshuka sana kwa kiwango cha kutisha hasa Bara na hapo kazi ya kundi hili itakuwa rahisi kumwambia arudi Kizimukazi kulea Wajukuu na kutunza Ndoa na wake wenzie.

Rai ya uzi huu ni kumushauri SSH kuwa Makini na kundi la JK na kuangalia upya uteuzi wa Kinana maana hauna Taswira nzuri KIDINI na kiutendaji na hasa kumbukumbu ya Kinana na kundi lake kutukana Wasukuma na JPM kuwa ni washamba, Asiposikia na kulijua hili zigo litamrudia 2025, ama Ndani ya Chama ama kwa Wananchi.

Rai kwa SSH awe makini na Mawaziri mizigo ambao wanafanya serikali yake kukosa mvuto na kuvunja Imani ya Wananchi, asiposikia 2025 zigo litamrudia.

Bahati mbaya kufa kwa Kenge mpaka damu itoke masikioni.

Bahati mbaya Wapambe watamwambia huu uzi ni upepo tu utapita.
Maggufuli Alikuwa fisadi mkuu
 
Mwamba usihangaike na viongozi wa mpito, SSH ni kiongozi wa mpito apende asipende ndiomana sasa hivi anafanya potelea mbali aendelee kula kwa urefu wa kamba yake kwa sasa hadi 2025
Sukuma gang nyie Ni matahila, sasaivi ndani ya chama mshapigwa chini, Sasa sijui nyie vichaa huyo mnaemtaka atasimamishwa na Chama gani,

Yaani nyie kkkkenge ndani ya chama hamna nguvu Tena nyie matahila wa maggufuli
 
Mama Samia Mungu amfungue macho na roho.

Yaani kosa lake la kwanza ni pale alipojitutumua kuanza kuonesha yeye ni rais baada ya kifo cha Dkt Magufuli. Hakuwa na strategists wa kumshauri cha kufanya. Hakupaswa kabisa kipindi hicho kutoa hotuba ndefu, alipaswa atulie kama mwezi mzima na kusema nchi iko salama kila kitu kipo sawa.

Baada ya hapo angeona wanao mdharau na angewajua wabaya wake kutokana na ukimya. Baada ya hapo angekunjua makucha kwa kuteua si sura toafuti kabisa ambazo hazijazooeleka. Hata watu wa Ikulu alipaswa kudeal nao makini. Ila sasa kafumua fumua utadhani mama hakuwa sehemu ya Dkt Magufuli.

Hivyo kwa sasa mpaka viongozi wanamdhihaki, tena hawana imani naye ila wanalinda vibarua vyao
Wewe na wapuuzi wenzio wote, hamna nguvu ndani ya chama chetu,Wala ndani ya serikali, na Hadi kufikia December masalia yote ya dikteta yanapigwa chini ndani ya chama, unafikiri magufuli alichomfanyia Kinana na wazee Wengine kuwazalilisha kitapita hivihivi, lazima mtiwe adabu nyie wahaini wakubwa
 
Mtajuana wenyewe, mtoane tu hata kwa milango yote.
 
Sukuma gang nyie Ni matahila, sasaivi ndani ya chama mshapigwa chini, Sasa sijui nyie vichaa huyo mnaemtaka atasimamishwa na Chama gani,

Yaani nyie kkkkenge ndani ya chama hamna nguvu Tena nyie matahila wa maggufuli
Na tutawabutua endeleeni kupanic na akili zenu za kipopoma. Mkia wenu tunaujua vizuri ngedere nyie kila upande upambane
 
Wewe na wapuuzi wenzio wote, hamna nguvu ndani ya chama chetu,Wala ndani ya serikali, na Hadi kufikia December masalia yote ya dikteta yanapigwa chini ndani ya chama, unafikiri magufuli alichomfanyia Kinana na wazee Wengine kuwazalilisha kitapita hivihivi, lazima mtiwe adabu nyie wahaini wakubwa
Pigeni kelele kama zumari tutawabutua tu
 
[emoji3] [emoji3] Mnahangaika tu, mama samia raisi mpaka 2030 hakuna kundi linalofanya hivo na wasio mkubali labda ni sukuma gang ila mama ikulu moja kwa moja... Unaonekana hujui lolote eti anateua wa Zanzibar kwene serikali ya muungano..... Umesahau muungano unaunganisha Zanzibar na tanganyika... Umesahau serikali ya muungano inawahusu Hao Zanzibar pia.. Na umesahau Kuw hakuna serikali ya Tanganyika
 
Toilet pepa watapinga..ila umesema ukweli mtupu..muda utaongea.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom