Kuna Genge ndani ya CCM linajiandaa kumuondoa Samia 2025 kwa Mlango wa Nyuma


Hapo kwenye dini,mmmmmh,hakuna udini,
Maana hata wakati wa maghu,makamu alikuwa Mangula!wote wakristo.
 
Bahati mbaya haya yanafanyika Wananchi wanajua kuwa kundi la JK lilimchukia Magufuli kwa msimamo wake wa kusimamia Maslahi ya Wanyonge na Nchi kwa ujumla, nasema Bahati mbaya kwasababu Visasi vinavyofanywa Wananchi wanajua.
Hapa wewe ni mwongo.
 
Kama wananchi walikuwa na imani na Magufuli asingenajisi uchaguzi ili kukaa madarakani kwa shuruti. Hivi vitisho sijui wananchi walikuwa na imani na Magufuli kawaambie wajinga wasiojua lolote.
Yeye alijua hawezi kushinda na asingemshinda Mwamba Tundu Lissu.
 
Then akapata 100% ya kura ya wajumbe??

Bahati mbaya sana una roho mbaya.
 
Hakuna mtu anayejitambua atashiriki huo ushenzi uitwao uchaguzi chini ya tume hii na katiba hii.
Kwani mama nae ni dhalimu?

Mbona hapo juu umesema mama hakuwa sehemu ya udhalimu wa Magufuli?

Mbona unajichanganya sana kamanda?
 
Bahati Mbaya sana tukikwambia umuhimu wa katiba mpya unakacha🤣🤣🤣
 
Kama Samia tu alikuwa hamuelewi Jiwe ....... Bado unaamini Samia hayupo mlengo mmoja na JK??. Magufuli kumchagua Samia ilikuwa si mpango wake...
 
Wewe ni Sukuma Gang ?
 
Tushawajua kenge nyie

Mnataka kumugombanisha mama na JK

Hamtoweza nyau nyie
Ila mpaka sasa mnufaika mkubwa wa "awamu ya sita uchwara" ni JK na genge lake (akina Makamba) na sio wananchi. Hilo genge sasa linahudumu muhula wa tatu wa JK kwa kutumia remote kuendesha kinyago chao pale Magogoni.
 
Unaota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…