Wilderness Voice
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 921
- 1,649
Mie nimeandika mwenye kuelewa aelewe, uelewi waachie wenye akili ya kuelewa.Huenda wewe ni polisi, maana unashida sana ya kujieleza na kueleweka kimaandishi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nimeandika mwenye kuelewa aelewe, uelewi waachie wenye akili ya kuelewa.Huenda wewe ni polisi, maana unashida sana ya kujieleza na kueleweka kimaandishi.
Akina Shaka Ssali....Ni kweli keshajichanganya sana ila siku alikutana na wauliza maswali ya kukera huko nje atakuja kusema mambo ambayo yatamgharimu sana
Hangaya she's misfit to the position.Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.
Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.
Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.
Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.
Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.
Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.
Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.
Kwa kweli Mukandala ame prove failure kabisa... Ushauri wake umeshtua watu wengi.Hayo ni mafunzo ya Mjomba wa Msoga a.k.a Vasco Dagama!! Watu wanataka Katiba Mpya ili kuwe na level PLAYING FIELD wakati wa Uchaguzi wa 2025. Halafu anaingia Mkandala [ read Kikwete] na genge lake eti wanapendekeza mchakato uanze baada ya Uchaguzi wa 2025 !!!! Hawa wana itakia mema Tanzania Kweli? Inaelekea hawajui kwanini watu wanataka Katiba waipendayo au wanajifanya HAMNAZO makusudi ili kufanikisha uporaji wao wa mali za nchi!!
Kwa kweli Mukandala ame prove failure kabisa... Ushauri wake umeshtua watu wengi.
Kwa kweli nimeamini.....Mmeshituka msiomfahamu, Mukandala throughout his life ni mtu wa kujipendekeza; Kikwete has been using him kwa kazi zake zote chafu!! He is not only an opportunist but also a political fraud!!
Hapana sio kawaida kwa Rais kupanic kwenye issues ndogo ndogo kama hizo.
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.
Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.
Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.
Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.
Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.
Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.
Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.
Training ni muhimu, tupunguze lawama. Wanawake wengi wana hisia na huwa wanazionyesha. Hii ni structural difference kati ya mtu me na ke...Tuwe tunaelewa hizi tofauti.Uko sahihi, Siku akikutana na wanaojua maswali ya kukera atakuja kujichanganya na kuongea ambayo hakupaswa kuongea
Siyo kosa lake, kosa la wanaoandaa viongozi. Mtu mpaka kufikia level hiyo, kwanini asiwe exposed kwenye such trainings za leadership na emotional intelligence?Hana skills za ku-navigate difficult conversations
Kwakweli hata mimi nasikitika sana kuona state apparatus zinashindwa kumanage state issues na hata image ya mkuu wa nchi...Ilianza tangu kwa mwenda zake. Lazima waone hii siyo sawa hata kwa sisi ambao tunatumia common sense wala siyo experts kwenye mambo kama hayoSio yeye kufundishwa...
Mwanamke ni mwanmke tu bila kujali wadhfa wake.. lawama zangu mimi ni kwa tiss badala ya kushauri vitu vya msingi wao wanaishi kwa raisi kama chawa kutafuta teuzi..
Unamuachaje raisi anaongea ongea anahojiwa hojiwa bila taratibu... Raisi akitoa kauli yoyote yeh ni public icon inasikilizwa kila sehemu hata akiongea kiutani...
Kabla ya kufanya chochote lazima apate ABC na aelekezwe impact katika jamii kutokana na iyo kitu...
Sasa mara kaenda ongea na mange kimambi leo kanya mnahangaika, kaenda kwa lisu na akina mbowe leo ndio wanatishia amani ya nchi.
Mbona mandate mnayo... Demokrasia sio kulea uovu.
Battle ni muhimu saana wakati w kitafuta amani
Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.
Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.
Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.
Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.
Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.
Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.
Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.
Ningekuwa Mimi Kikeke ningeomba kuondoka.Hivi ni lazima kuhojiwa kama unagadhabu kwa maswali tata.Amekosa presidential traits.
Amezingua sana. Sijui hawaandaliwi!?
Usiwe mnafiki, angechomoa sawa lakini in the assertive way siyo hivyo akionyesha aggressiveness ya hali ya juu...Hiyo ime provoke watu wengi sana na kumwona kama vile yeye ndiye king'ang'anizi kumbe masikini hata pengine hana hiyo nia. Tusimpotoshe Rais, yeye ni symbol ya nchi yetu. Haiba yake ni muhimu sana katika kila neno au tendo analolifanya public.Ni dhahiri Rais amekomaa kuongea na Press. Nampongeza sana kwa alivyochomoa kuingia kwenye mtego wa ahadi hewa. Naye Kikeke alijipanga kufanya interview ambayo ingemfagilia sana kama Tim Sebastian alivyomhoji Benjamin Mkapa enzi zile za Tim Sebastian.
Ni wazi Rais ameonyesha kuwa yeye ndiye Rais na Kikeke ni Mwandishi tu wa habari.
Big Up Rais SSH
Labda ndio changamoto ya kuwa mwanamke. Amekuwa emotional na kukasirika katika situation ambayo angekuwa mwanasiasa kidogo na kukwepa swaliNimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.
Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.
Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.
Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.
Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.
Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.
Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.
Atakuwa kawa influenced na background stories...Inategemea anakuwa fed na information gani.Mama anakuwa mtulivu kwa mambo yoote ila swala la Lissu na Katiba Mpya huwa vinamtoa kwenye line kabisa.
Sijajua shida ni nini
Aliepita hamkumsema alipokua anakosea..wa sasa kila mtu anamkosoa. Hatuongozwi na malaika kutoka mbinguni bali hao wote ni binadamu.Nimeangalia clip kadhaa Mama akiwa aidha anaongea ama anahojiwa, kuna hali anakuwa nayo anapojibu maswali ya kuonyesha kutoweza kudhibiti hisia zake.
Kama kiongozi anapaswa kuwa na busara ya kujua 'tone' ya sauti yake tu inaweza leta tafsiri tofauti.
Huwa anatoa majibu kama vile ana ugomvi binafsi na anaemuuliza.
Kuna zile kauli kama vile "anasutana na mtu", kitu ambacho hakileti tafsiri nzuri.
Kuwa kwake raisi sio siri tena, wote tunajua hivyo hana sababu ya kutumia kila nafasi kuonyesha kuwa yeye ni raisi, hii inaleta tafsiri moja tu; kuwa hajiamini.
Wale watu wa Political Manners and Etiquettes wanapaswa wamuweke chini na kumfundisha jinsi ya kujiconduct in public.
Inapaswa ajue kuwa kama Raisi, hisia zake binafsi sio hisia za kila mtu.