Kuna haja ya Umoja Party kubadili jina kwa manufaa mapana ya Taifa

Naona unataja watu ambao mioyoni mwa watanzania wanakubalika kinoma. Pole sana, maana mlivyo wachafu hata kuingia mitaani mnaogopa. Makamba alienda kule Stigler basi akafika akashusha vioo asalimie aisee watu walimkaushia yaani walimuona ni kituko.
Nchi iko salama, na haitaongozwa kutoka chini ya kaburi au kuzimu anakoishi mwendazake pamoja na yule aliyefukuzwa mbinguni
 

CUF ipi? Ya Lipumba? Mna haraka ya kusahau. Tanzania vyama Ni viwili tu CCM na CHADEMA. Ndio maana CCM abakihujumu Sana Chadema maana ndio tishio kwake.
 
Naona unataja watu ambao mioyoni mwa watanzania wanakubalika kinoma. Pole sana, maana mlivyo wachafu hata kuingia mitaani mnaogopa. Makamba alienda kule Stigler basi akafika akashusha vioo asalimie aisee watu walimkaushia yaani walimuona ni kituko.

Mpina mwenyewe wavuvi hawataki kumsikia.
 
Chama cha waumini wa Magufuli.
Habari njema sana hiyo sasa wale waliokuwa wanasema jpm kaiba kula wataumbuka baada ya kukiona hicho chama kimekuwa chama chenye nguvu kwa muda mfupi kuliko vyama vyote tz ,hapo tutakuwa tumelitakasa jina la JPM ,tutakuwa tuna shambulia kwa kutumia chama cha upinzani na ndani ya ccm tunajiimalisha pia
 
Kwa sasa hali ya kisiasa nchini ilivyo.

Kinahitajika chama cha UKWELI chenye nia thabiti ya kuwakomboa wananchi dhidi ya Wahuni na wanasiasa maslahi waliotapakaa kila chama kilichopo nchini.

Kikitokea kweli na kikaaminika.........
True chama kiitwe JPM AND NYERERE LEGACY kwa kifupi kiitwe JN-LEGACY
 
CHADEMA inatutosha
 
Hakuna Chama pale , ni kikundi cha ngoma
 
Kalemani na Polepole ndio wafadhili wa hiki chama, pamoja na Luhaga Mpina na Bashiru.

Nashauri kiitwe Chato Democratic Party -CDP
Hao watu waamue kuanzisha chama na kipate usajili smoothly? Ukiona hivi ujue hamna chama hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…