kasanga70
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 222
- 515
Nikiri kabisa Mimi si muumini wa siasa za upinzani lakini napenda haki na usawa udumishwe. Twende mbele turudi nyuma, hivi Kuna binadamu aliyefanyiwa ukatili kama Tundu Lissu. Naomba tuwe wa kweli jamani, tuwe wa kweli.
1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe.
2. Kuzuia fedha ya serikali iliyo stahiki yake asilate matibabu.
3. Kupiga waliokusanyana kumwombea.
4. Kukamata waliotaka kujitolea damu na kuwekwa ndani.
5. Kufutiwa posho zake zote kipindi yupo matibabu.
6. Kunyang'anywa ubunge.
7. Kuzuiliwa gari yake hadi leo isichukuliwe polisi.
8. Kuambiwa ni kibaraka wa mabeberu n.k.
Naomba tuwe wakweli hivi binadamu akifanyiwa haya yote anafanyaje jamani. Huyu mtu amekosa upendo kwa nchi yake. Yaani moyo wake umejeruhuwa sana.
Inahitaji kiongozi mwenye roho ya Mungu amrudishe huyu mtu kwa upendo afutwe machozi bado anaipenda Tanzania mno. Lakini kinyume chake wenye dola wanapiga kwenye mshono. Aiseee nimeamini duniani Ni mahali pabaya sana. Binadamu Ni mnyama mbaya mno Mungu atusaidie.
1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe.
2. Kuzuia fedha ya serikali iliyo stahiki yake asilate matibabu.
3. Kupiga waliokusanyana kumwombea.
4. Kukamata waliotaka kujitolea damu na kuwekwa ndani.
5. Kufutiwa posho zake zote kipindi yupo matibabu.
6. Kunyang'anywa ubunge.
7. Kuzuiliwa gari yake hadi leo isichukuliwe polisi.
8. Kuambiwa ni kibaraka wa mabeberu n.k.
Naomba tuwe wakweli hivi binadamu akifanyiwa haya yote anafanyaje jamani. Huyu mtu amekosa upendo kwa nchi yake. Yaani moyo wake umejeruhuwa sana.
Inahitaji kiongozi mwenye roho ya Mungu amrudishe huyu mtu kwa upendo afutwe machozi bado anaipenda Tanzania mno. Lakini kinyume chake wenye dola wanapiga kwenye mshono. Aiseee nimeamini duniani Ni mahali pabaya sana. Binadamu Ni mnyama mbaya mno Mungu atusaidie.