Kuna hatari kizazi hiki kikaaminishwa kuwa Tundu Lissu ni moja ya Watu wabaya na sio wazalendo kwa Taifa

Kuna hatari kizazi hiki kikaaminishwa kuwa Tundu Lissu ni moja ya Watu wabaya na sio wazalendo kwa Taifa

kasanga70

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2015
Posts
222
Reaction score
515
Nikiri kabisa Mimi si muumini wa siasa za upinzani lakini napenda haki na usawa udumishwe. Twende mbele turudi nyuma, hivi Kuna binadamu aliyefanyiwa ukatili kama Tundu Lissu. Naomba tuwe wa kweli jamani, tuwe wa kweli.

1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe.

2. Kuzuia fedha ya serikali iliyo stahiki yake asilate matibabu.

3. Kupiga waliokusanyana kumwombea.

4. Kukamata waliotaka kujitolea damu na kuwekwa ndani.

5. Kufutiwa posho zake zote kipindi yupo matibabu.

6. Kunyang'anywa ubunge.

7. Kuzuiliwa gari yake hadi leo isichukuliwe polisi.

8. Kuambiwa ni kibaraka wa mabeberu n.k.

Naomba tuwe wakweli hivi binadamu akifanyiwa haya yote anafanyaje jamani. Huyu mtu amekosa upendo kwa nchi yake. Yaani moyo wake umejeruhuwa sana.

Inahitaji kiongozi mwenye roho ya Mungu amrudishe huyu mtu kwa upendo afutwe machozi bado anaipenda Tanzania mno. Lakini kinyume chake wenye dola wanapiga kwenye mshono. Aiseee nimeamini duniani Ni mahali pabaya sana. Binadamu Ni mnyama mbaya mno Mungu atusaidie.
 
Kizazi cha sasa taarifa zinatafutwa/zinapatikana kwa njia nyingi tofauti tofauti. Watu hawawezi kusikiliza propaganda za mashetani/ccm wakaziamini.

Na hivi wameanza kupoteana huyu Mungu aliye mkuu kuliko ufalme mwingine wowote, aliymponya mja wake, kuna siku atawaaibisha waliotenda uovu ule. Walaaniwe wao na kizazi chao.
 
Nikiri kabisa Mimi si muumini wa siasa za upinzani lkn napenda haki na usawa udumishwe.
Twende mbele turudi nyuma, hivi Kuna binadamu aliefanyiwa ukatiri kama TL. Naomba tuwe wa kweli jamani, tuwe wa kweli.
1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe
2.Kuzuia fedha ya serikali iliyo stahuki yake asilate matibabu
3.Kupiga waliokusanyana kumwombea
4.Kukamata waliotaka kujitolea damu na kuwekwa ndani
5. Kufutiwa posho zake zote kipindi yupo matibabu
6.Kunyang'anywa ubunge
7. Kuzuiliwa gari yake hadi leo isichukuliwe polisi
8.Kuambiwa Ni kibaraka wa mabeberu n.k
Naomba tuwe wakweli hivi binadamu akifanyiwa haya yote anafanyaje jamani.
Huyu mtu amekosa upendo kwa nchi yake. Yaani moyo wake umejeruhuwa sana. Inahitaji kiongozi mwenye roho ya Mungu amrudishe huyu mtu kwa upendo afutwe machozi bado anaipenda Tanzania mno. Lkn kinyume chake wenye dola wanapiga kwenye mshono. Aiseee nimeamini duniani Ni mahali pabaya sana. Binadamu Ni mnyama mbaya mno Mungu atusaidie.

..Hilo halitawezekana.

..Walituma watu wamuue kwasababu ilishindikana kumchafua mbele za wananchi.
 
Kwani uongo?
Huyu ni mchumiatumbo na msaliti kwa taifa Lake, hana uzalendo kabisa
Si ndo huyu alimzibia sadala BET?

Hafai kuigwa na jamii
 
Nikiri kabisa Mimi si muumini wa siasa za upinzani lkn napenda haki na usawa udumishwe.
Twende mbele turudi nyuma, hivi Kuna binadamu aliefanyiwa ukatiri kama TL. Naomba tuwe wa kweli jamani, tuwe wa kweli.
1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe
2.Kuzuia fedha ya serikali iliyo stahuki yake asilate matibabu
3.Kupiga waliokusanyana kumwombea
4.Kukamata waliotaka kujitolea damu na kuwekwa ndani
5. Kufutiwa posho zake zote kipindi yupo matibabu
6.Kunyang'anywa ubunge
7. Kuzuiliwa gari yake hadi leo isichukuliwe polisi
8.Kuambiwa Ni kibaraka wa mabeberu n.k
Naomba tuwe wakweli hivi binadamu akifanyiwa haya yote anafanyaje jamani.
Huyu mtu amekosa upendo kwa nchi yake. Yaani moyo wake umejeruhuwa sana. Inahitaji kiongozi mwenye roho ya Mungu amrudishe huyu mtu kwa upendo afutwe machozi bado anaipenda Tanzania mno. Lkn kinyume chake wenye dola wanapiga kwenye mshono. Aiseee nimeamini duniani Ni mahali pabaya sana. Binadamu Ni mnyama mbaya mno Mungu atusaidie.
Wewe ndo lisu mwenyewe nini unajipigia promo.
Tulikuwa na maadui wa tatu katika taifa letu sasa tunao wa nne baada ya lisu kuongezeka.
Popoma pekee ndio wanaomwelewa huyo mchumia tumbo.
 
K lako linanuka...
mkuu ni ukweli mtupu.mana washajazwa uana ccmavi huukoo.utadhani hii nchi ni ya ccm.afu kinacholetaa hasira zaidi pale ambapo tunawashuhudia wanavyoapa.na tena wanavyoipa imani katiba.lazima usizi na kinachoendelea huko kwenye mjengo wa upwani
 
Wewe ndo lisu mwenyewe nini unajipigia promo.
Tulikuwa na maadui wa tatu katika taifa letu sasa tunao wa nne baada ya lisu kuongezeka.
Popoma pekee ndio wanaomwelewa huyo mchumia tumbo.
Hao watatu mmeshindwa kupambana nao mmewahifadhi kwenye chupi zenu hadi Lissu amefika akaongezeka.Chicken coops!😝😝😝😝
 
Back
Top Bottom