Kuna hatari kizazi hiki kikaaminishwa kuwa Tundu Lissu ni moja ya Watu wabaya na sio wazalendo kwa Taifa

Kuna hatari kizazi hiki kikaaminishwa kuwa Tundu Lissu ni moja ya Watu wabaya na sio wazalendo kwa Taifa

..ccm wanatembelea V8 huku shule zetu hazina matundu ya vyoo, wananchi hawana maji safi na salama, na matatizo mengine lukuki.
Na wewe tuambie hiyo ruzuku Chadema ya bilioni tatu kila mwaka ilifanya kitu gani?
 
Hao watatu mmeshindwa kupambana nao mmewahifadhi kwenye chupi zenu hadi Lissu amefika akaongezeka.Chicken coops!😝😝😝😝
kwani akili yako ipo takoni mpaka ichokonolewe ndiyo ipande kwenye ubongo.

Huyo adui wa nne hana madhara kuna njia nyingi za kumwondoa nchi ibaki salama.
 
Hao watatu mmeshindwa kupambana nao mmewahifadhi kwenye chupi zenu hadi Lissu amefika akaongezeka.Chicken coops!😝😝😝😝
kwani akili yako ipo takoni mpaka ichokonolewe ndiyo ipande kwenye ubongo.

Kumwondoa huyo adui kuna njia nyingi ili nchi ibaki salama.

Mwehu pekee anamwona huyo mpumbavu anafa.
 
Tundu Lissu peke yake ni sawa na bunge lote la CCM lenye "waliopita bila kupingwa"
 
Nikiri kabisa Mimi si muumini wa siasa za upinzani lakini napenda haki na usawa udumishwe. Twende mbele turudi nyuma, hivi Kuna binadamu aliyefanyiwa ukatili kama Tundu Lissu. Naomba tuwe wa kweli jamani, tuwe wa kweli.

1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe.

2. Kuzuia fedha ya serikali iliyo stahiki yake asilate matibabu.

3. Kupiga waliokusanyana kumwombea.

4. Kukamata waliotaka kujitolea damu na kuwekwa ndani.

5. Kufutiwa posho zake zote kipindi yupo matibabu.

6. Kunyang'anywa ubunge.

7. Kuzuiliwa gari yake hadi leo isichukuliwe polisi.

8. Kuambiwa ni kibaraka wa mabeberu n.k.

Naomba tuwe wakweli hivi binadamu akifanyiwa haya yote anafanyaje jamani. Huyu mtu amekosa upendo kwa nchi yake. Yaani moyo wake umejeruhuwa sana.

Inahitaji kiongozi mwenye roho ya Mungu amrudishe huyu mtu kwa upendo afutwe machozi bado anaipenda Tanzania mno. Lakini kinyume chake wenye dola wanapiga kwenye mshono. Aiseee nimeamini duniani Ni mahali pabaya sana. Binadamu Ni mnyama mbaya mno Mungu atusaidie.
Upo sahihi kumbe Mtu mbaya anatakiwa Awekwe kwenye Hustoria ni Yule aliyeamuru TL APIGWE RISASI
 
Huyu niwakupiga mawe hadi afe.
Msaliti mkubwa!
 
1. Kuna watu, very reliable, wanadai aliyetafuta data kuhusu makinikia siyo Lissu, ni mwanasiasa mwingine wa upinzani.

2. Suala la makinikia halikuwa na data au information zozote ambazo ni sensitive. Zile ripoti hazikuwa za taarifa za kuaminika na ndio maana hatukuambulia chochote na sasa hivi huzisikii zikitajwa na mtu yeyote.

3. Serikali na Polisi kushindwa kutoa majibu ni nani aliondoa walinzi area D aliposhambuliwa Lissu kunawafanya wadadisi waamini kwamba wauwaji walikuwa na watu wazito nyuma yao.

4. Polisi hawaonyeshi kama wana nia ya kuchunguza. Ni jambo la ajabu Polisi kuonekana hawana hamasa ya kuchunguza na kukamata wahalifu.

5. Waliomshambulia Lissu wangekamatwa serikali na Magufuli wangejizolea sifa nyingi. Inashangaza jinsi ambavyo Magufuli hakutoa msukumo au msisitizo kwamba waliohusika wasakwe na kuchukuliwa hatua.

6. Pia inashangaza kwamba Magufuli hakuwa mstari wa mbele kumsaidia Lissu. Magufuli aliyesaidia matibabu ya Ruge Mtahaba, Mzee Majuto, Askofu Ruwaichi, Dr.Kigwangala, Jenerali Mritabu,...kwanini hakujitokeza kumsaidia Tundu Lissu?

7. Wito na ombi la Tundu Lissu kwamba vyombo vya uchunguzi vya kimataifa visaidie kuchunguza shambulizi dhidi yake lilikataliwa. Hakuna sababu za msingi kwa serikali kukataa ombi hilo kwani lina faida kwa serikali kuliko kwa Tundu Lissu.
Watu awaamki asubuhi moja na kuambizana tu jamani enhe twendeni tukamtwange Gaddafi, Saddam, tuiwekee vikwazo Venezeula, etc; bila ya kujiridhisha matendo yao yatakuwa na asilimia kubwa ya public support ndani ya nchi husika na viongozi wa nchi jirani.

Sasa unapokwenda kuchukua kampuni iliyosajiliwa uingereza halafu it’s parent company ipo Canada, it’s board members are the sort of people raisi wa marekani anaweza wateua kushika nafasi sentive mpaka kesho including secretariat post; sio kwa sababu ya kufanya kazi Barrick la hasha ni kwa sababu washashika nafasi sensitive ndani ya serikali ya marekani kabla ya kwenda private kwa hiari na wanajua kutoa pressure serikali yao iingilie kati mambo yao.

Unadhani watu kama hao ukichukua kampuni yao wakitaka kukuadhibu wataingia tu mahakamani au watatoa pressure serikali yao ifanye jambo bila ya kujua ndani ya Tanzania wana public support kwanza; maana ni kweli mkataba wao ni wa kinyonyaji kwa muda mrefu sana.

Hiyo ndio ilikuwa kazi ya Lissu from the outset kuonyesha matendo ya serikali yana makosa kuwatengezea ACCACIA public support ata huko kwao wangeamua kuchukua hatua za kujibu mashambulizi wana baraka za watanzania kadhaa.

Na Lissu alishaanza kuwabeba wafuasi wa CDM na upinzani kwa wingi kwa kuuamisha umma mabeberu yangechukua hatua; wakulaumiwa ni Magufuli. Kila akiombwa Lissu acha hiyo michezo hasikii zaidi ya kujitapa tu mimi nilikuwa sijui huku na kule kutetea wananchi kabla yenu etc with his narcissistic comments.

Ni hivi ili jambo you ppl are beating round the bush, kulimaliza Lissu aende polisi; akifika huko akitoa ushirikiano wanaoutaka. Polisi wasipofanya kitu anaweza kuwa na hoja.

As yet anatuachia maswali kwanini ataki kwenda polisi ni kitu gani hasa kinachomfanya kuogopa kuitikia wito.
 
Tangu aliposhadadia juu ya serkali kushitakiwa MIGA nili mu diss kabisa,
 
Nikiri kabisa Mimi si muumini wa siasa za upinzani lakini napenda haki na usawa udumishwe. Twende mbele turudi nyuma, hivi Kuna binadamu aliyefanyiwa ukatili kama Tundu Lissu. Naomba tuwe wa kweli jamani, tuwe wa kweli.

1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe.

2. Kuzuia fedha ya serikali iliyo stahiki yake asilate matibabu.

3. Kupiga waliokusanyana kumwombea.

4. Kukamata waliotaka kujitolea damu na kuwekwa ndani.

5. Kufutiwa posho zake zote kipindi yupo matibabu.

6. Kunyang'anywa ubunge.

7. Kuzuiliwa gari yake hadi leo isichukuliwe polisi.

8. Kuambiwa ni kibaraka wa mabeberu n.k.

Naomba tuwe wakweli hivi binadamu akifanyiwa haya yote anafanyaje jamani. Huyu mtu amekosa upendo kwa nchi yake. Yaani moyo wake umejeruhuwa sana.

Inahitaji kiongozi mwenye roho ya Mungu amrudishe huyu mtu kwa upendo afutwe machozi bado anaipenda Tanzania mno. Lakini kinyume chake wenye dola wanapiga kwenye mshono. Aiseee nimeamini duniani Ni mahali pabaya sana. Binadamu Ni mnyama mbaya mno Mungu atusaidie.
Kwa hiyo Lissu toka umsikie amekusaidia nn?Watanzania wanapenda sana kelele .Lissu msingi wake mkubwa ni kelele basi.Kwa hiyo hizo kelele ndio zinakusaidia?Mbowe pia msingi wake ni kelele.Je kelele za Mbowe zimekusaidia nn?Mara amechanjwa.Lakin bado anavaa barakoa.
 
Nikiri kabisa Mimi si muumini wa siasa za upinzani lakini napenda haki na usawa udumishwe. Twende mbele turudi nyuma, hivi Kuna binadamu aliyefanyiwa ukatili kama Tundu Lissu. Naomba tuwe wa kweli jamani, tuwe wa kweli.

1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe.

2. Kuzuia fedha ya serikali iliyo stahiki yake asilate matibabu.

3. Kupiga waliokusanyana kumwombea.

4. Kukamata waliotaka kujitolea damu na kuwekwa ndani.

5. Kufutiwa posho zake zote kipindi yupo matibabu.

6. Kunyang'anywa ubunge.

7. Kuzuiliwa gari yake hadi leo isichukuliwe polisi.

8. Kuambiwa ni kibaraka wa mabeberu n.k.

Naomba tuwe wakweli hivi binadamu akifanyiwa haya yote anafanyaje jamani. Huyu mtu amekosa upendo kwa nchi yake. Yaani moyo wake umejeruhuwa sana.

Inahitaji kiongozi mwenye roho ya Mungu amrudishe huyu mtu kwa upendo afutwe machozi bado anaipenda Tanzania mno. Lakini kinyume chake wenye dola wanapiga kwenye mshono. Aiseee nimeamini duniani Ni mahali pabaya sana. Binadamu Ni mnyama mbaya mno Mungu atusaidie.
Aliyeanzisha huo ujinga kafa kifo cha aibu kubwa
 
TL huwa simtofautishi na chifu Mangungo wa Musowero
 
kwani akili yako ipo takoni mpaka ichokonolewe ndiyo ipande kwenye ubongo.

Kumwondoa huyo adui kuna njia nyingi ili nchi ibaki salama.

Mwehu pekee anamwona huyo mpumbavu anafa.
Shangazi mbona umekuwa mkali?Kwani umeulizwa?
 
Back
Top Bottom