Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,584
Duh we mzee upo vizuri kabisa upstair?Kwani uongo?
Huyu ni mchumiatumbo na msaliti kwa taifa Lake, hana uzalendo kabisa
Si ndo huyu alimzibia sadala BET?
Hafai kuigwa na jamii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh we mzee upo vizuri kabisa upstair?Kwani uongo?
Huyu ni mchumiatumbo na msaliti kwa taifa Lake, hana uzalendo kabisa
Si ndo huyu alimzibia sadala BET?
Hafai kuigwa na jamii
Ambao ndio 70% ya Wadanganyika.
mambo ya kina sadala tena humu.na unaambiwa sadala huko anachafua na wkongwe juu ya ulbum yake.misondo kama yoteDuh we mzee upo vizuri kabisa upstair?
Kamanda mfuata upepo tulia wakubwa zako tukutoe ujinga..Duh we mzee upo vizuri kabisa upstair?
Marehemu jingaman hakutaka mtu mwenye mawazo bora kuliko utopolo wake, alitaka jingamen wenzake ambao kila kitu ni kuitikia ndio!Nikiri kabisa Mimi si muumini wa siasa za upinzani lakini napenda haki na usawa udumishwe. Twende mbele turudi nyuma, hivi Kuna binadamu aliyefanyiwa ukatili kama Tundu Lissu. Naomba tuwe wa kweli jamani, tuwe wa kweli.
1. Kupigwa risasi, wahusika wasitafutwe.
2. Kuzuia fedha ya serikali iliyo stahiki yake asilate matibabu.
3. Kupiga waliokusanyana kumwombea.
4. Kukamata waliotaka kujitolea damu na kuwekwa ndani.
5. Kufutiwa posho zake zote kipindi yupo matibabu.
6. Kunyang'anywa ubunge.
7. Kuzuiliwa gari yake hadi leo isichukuliwe polisi.
8. Kuambiwa ni kibaraka wa mabeberu n.k.
Naomba tuwe wakweli hivi binadamu akifanyiwa haya yote anafanyaje jamani. Huyu mtu amekosa upendo kwa nchi yake. Yaani moyo wake umejeruhuwa sana.
Inahitaji kiongozi mwenye roho ya Mungu amrudishe huyu mtu kwa upendo afutwe machozi bado anaipenda Tanzania mno. Lakini kinyume chake wenye dola wanapiga kwenye mshono. Aiseee nimeamini duniani Ni mahali pabaya sana. Binadamu Ni mnyama mbaya mno Mungu atusaidie.
Ukae ukijua lisu alipigwa na chadema wenyeweMarehemu jingaman hakutaka mtu mwenye mawazo bora kuliko utopolo wake, alitaka jingamen wenzake ambao kila kitu ni kuitikia ndio!
Kumshabikia marehemu na chama chake cha majambazi kunahitaji kujitoa ufahamu na kujivika uchizi.
Hivi ni nani mwenye utimamu wa akili asiyetambua wizi uliofanywa na awamu ya5?
Utekaji na uuaji wa raia wasio hatia(mathalani Mheshimiwa Lissu aliokolewa na Mungu).
Uporaji wa fedha za wafanyabiashara,
Propaganda za kumsifia jingaman zilienda hadi kuanzishwa kwa somo jipya la kumsifia na kumtukuza kama muasisi wa mageuzi ya kiuchumi Tanzania na topics kadhaa za kuwasemea vibaya wapinzani wake.
Pamoja na kwamba huyu muharibifu hayupo lakini ameacha waharibifu waliorithi nyendo zake, yafaa kuwaondoa kabisa kwenye uso wa siasa
Chadema wana nguvu kwa kweli!Ukae ukijua lisu alipigwa na chadema wenyewe
Awamu ya5 tuliongozwa na zezeta la mirembe kulingana na viongozi wa ccm wanavyoshuhudiaLisu ni shujaa huko chadema walipojaa MATUTUSA wenzake,mtanzania mwenye akili timamu hawezi msikiliza LISU,lisu si tu ni adui wa taifa bali ndio IBILISI mwenyewe
Kwa akili yako kipi katika ulivyoviorodhesha ambacho hakiwezi fanywa na chadema?Chadema wana nguvu kwa kweli!
Wakaondoa ulinzi site I,II,III
Wakang'oa CCTV camera,
Wakaomba kuleta private investigators kutoka nje kuja kujichunguza na kujiumbua wenyewe, wakamnyima Lissu matibabu, wakazuia watu kumuombea, wakawaweka mahabusu waliovaa fulana zenye jina lake, wakamsimamishia mshahara, wakampora ubunge
Jitahidi mara mojamoja unajidai kama hauoni ulichojibiwa ili kujisitiri na uhayawani.Fumba macho nikuombee!Usidhani nakuombea la maana.Nakuombea uumwe hata na kunguni tu.Kwa akili yako kipi katika ulivyoviorodhesha ambacho hakiwezi fanywa na chadema?
Kwa kutokuwa na akili kwenu kuamini amini kila muambiwalo ndio maana mzee LOWASA aliwakomesha
Kwa akili na upeo wako ukaamini? daah!Awamu ya5 tuliongozwa na zezeta la mirembe kulingana na viongozi wa ccm wanavyoshuhudia
Jitahidi mara mojamoja unajidai kama hauoni ulichojibiwa ili kujisitiri na uhayawani.Fumba macho nikuombee!Usidhani nakuombea la maana.Nakuombea uumwe hata na kunguni tu.Kwa akili yako kipi katika ulivyoviorodhesha ambacho hakiwezi fanywa na chadema?
Kwa kutokuwa na akili kwenu kuamini amini kila muambiwalo ndio maana mzee LOWASA aliwakomesha
Hautaki kumuamini Diallo?😝😝😝😝Kwa akili na upeo wako ukaamini? daah!
Kwa akili hizi mh! wale wadada 19 kule bungeni wana akili kuliko chadema yoteJitahidi mara mojamoja unajidai kama hauoni ulichojibiwa ili kujisitiri na uhayawani.Fumba macho nikuombee!Usidhani nakuombea la maana.Nakuombea uumwe hata na kunguni tu.
Kwa hiyo weye "mtiwamchi" unakuwa wa 20?Bora niendelee kunywa gongo.😝😝😝😝Kwa akili hizi mh! wale wadada 19 kule bungeni wana akili kuliko chadema yote
Watu wajinga ndio wataweza kudanganywa.
Za kuambiwa.....Jitahidi mara mojamoja unajidai kama hauoni ulichojibiwa ili kujisitiri na uhayawani.Fumba macho nikuombee!Usidhani nakuombea la maana.Nakuombea uumwe hata na kunguni tu.
Hautaki kumuamini Diallo?😝😝😝😝