Kuna Jamaa anamla Shemeji yangu

Yaani huyu bro wako ana ndugu mjinga sana. Yaani shemeji anagegedwa wee unawaza eti nimwambie au nisimwambie bro...acha undezi wewe hapo ni kumwambia bro huyu mwanamke hafai acha nae. Bora mtu umwambie nilikwambia kuliko mie nilijua yatatokea haya....huo unafiki.
 
Ntawabadilisha jinsia afu vikojoleo vyenu navihamishia usoni.

Siwezi kuruhu mumtese dogo namna hii. Ila ukija wewe kwanza, yanazugumzika.
Basi tutafanya ya kuagana kisha tunaachana ili dogo asije kufa kwa msongo.[emoji23]
 
Mkuu wajulishe wahisika waache huo ujinga,,, mpigie simu shemeji,, weka recording ili ije kuwa ushahidi kuwa ulimuonya.... Na huyo mshikaji nae mchane...

Baada ya hapo wakiendelea rudi kwa kaka ako umchane...

Angalizo: Mapenzi ni vitu vya hovyo sana... Hakikisha unatoa taarifa tu... Mengine muachie kaka yako...

Asante.
 
Sasa undugu unamaanagani kama hawezi kusitiri na aibu ndugu yake

Kwa hiyo jamaa anaona kama anapaswa kulipa fadhila kwa bro wake?

Binafsi kama anataka kumsaidia kaka yake, basi asihusike moja kwa moja, atafute hata rafiki wa bro wake ndiye amtumie kumuonya kakaye...
 
Kwenye maisha ya wapenzi au wanandoa kuna mambo mengi sana......inatakiwa busara na hekima za hali ya juu sana kuyaingilia mambo yao.........

Umenikumbusha kisa hiki Cha aliyewahi kuwa rafiki yangu......

Huyu ndugu alikuwa ni mtu mwenye uwezo kifedha......kwa kifupi nilikuwa nashuhudia uhusiano wa ajabu baina ya shemeji yangu( mke wa huyo rafiki) na kijana mmoja wa pale mtaani kwetu ambapo kwa akili ya kiutu uzima utakuwa unaelewa nini kinaendelea baina yao...........

Kwa upendo na uchungu dhidi ya rafiki yangu kipenzi nikajitahidi kukusanya ushahidi usio na shaka........nikaandaa mazingira ya kiutu uzima mpaka nikajiridhisha kuwa sasa naweza kumpa habari hii chungu rafiki yangu.......

Kinyume Cha matatajio yangu na mshangao mkubwa yule rafiki yangu hakuonyesha kushangazwa na habari Ile kabisa...lakini ikabidi aniambie jambo ambalo lilinifanya mpaka leo nisiingilie kabisa mambo ya ndoa za watu........kwa kifupi yule ndugu hana uwezo wa kumpa mkewe haki yake ya ndoa na wana mwaka wa tano hajui tupu ya mkewe inafananaje ndio maana anakosa mamlaka ya kukemea matendo ya mkewe hali ya kuwa anayajua.........Ile taarifa ilinishtua sana lakini pia nilimhurumia rafiki yangu kama mwanaume najua ndugu yangu anapitia Hali ngumu kias gani.......

Niliondoka kwa huzuni lakini nilikuwa najua kuwa ndugu yangu hana muda mrefu wa kuishi hapa duniani.........baada ya miezi saba baada ya kikao kile yule rafiki alianza kuugua presha na sukari na mawiki kadhaa akaaga Dunia...............

.........NDOA ZINA MAMBO MENGI SANA......
 
Mwaka wa nne huu mbususu inapigwa ila kaka yako hajagundua ila wewe umeweza kugundua? Umegunduaje?

Mbinu ulizotumia kugundua mpenyezee kaka yako bila kureveal info zaidi ili na yeye akajiridhishe mwenyewe. Unaweza kukuta ni hisia zako tu na hakuna concrete evidence
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…