Yaani huyu bro wako ana ndugu mjinga sana. Yaani shemeji anagegedwa wee unawaza eti nimwambie au nisimwambie bro...acha undezi wewe hapo ni kumwambia bro huyu mwanamke hafai acha nae. Bora mtu umwambie nilikwambia kuliko mie nilijua yatatokea haya....huo unafiki.Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu.
Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
Basi tutafanya ya kuagana kisha tunaachana ili dogo asije kufa kwa msongo.[emoji23]Ntawabadilisha jinsia afu vikojoleo vyenu navihamishia usoni.
Siwezi kuruhu mumtese dogo namna hii. Ila ukija wewe kwanza, yanazugumzika.
Kama amekubaliana hauwezi umbuka maana sii anamwambiantuu kuwa dogo usijali...ndio tunavyoishi so kuwa na amaniJe kama wamekubaliana na Brother wako? Si utaumbuka???
Pamoja na sura yake ya kutisha lakini bado tunalipenda kuliko wanaolimiliki.... Imefikia kipindi tunalimung'unya kama embe dodo mpaka wenyewe wanatushangaaWw sema lina sura mbaya wakati minyororo yetu ndio inapumzika mule kwa raha mustarehe mpaka inatoa udenda
[emoji14][emoji14][emoji14]Basi tutafanya ya kuagana kisha tunaachana ili dogo asije kufa kwa msongo.[emoji23]
Afu kwenye chuo changu usije tena au?Basi tutafanya ya kuagana kisha tunaachana ili dogo asije kufa kwa msongo.[emoji23]
Bro bro nakuomba inbox tafadhariKwahiyo umeamua kuja kuniandika hapa eeehhh...
Sasa ngoja nikamkule tena sasahivi...
Atajuaje bila taalifa sio kila mchepukaji anajiachia.Braza wako ana pepo LA uzuzu, miaka minne hajashtukia issue
Sasa undugu unamaanagani kama hawezi kusitiri na aibu ndugu yakeKusomeshwa na na bro wako kunahusiana vipi na wewe kumwambia bro wako juu ya mkewe kuliwa?
Ndio umesema utahamishia kijojoleo changu usoni.Afu kwenye chuo changu usije tena au?
Hana jicho LA tatuAtajuaje bila taalifa sio kila mchepukaji anajiachia.
Watu wanakulana sana tu kwa siri
Sasa undugu unamaanagani kama hawezi kusitiri na aibu ndugu yake
Pokea sim mwali, nishachukua room namba 666...[emoji4][emoji6]Nimejisikia vibaya kweli. Kwani palikuwa na ulazima gani kuja kututangaza humu?
Njoo tuendeleze hamna kurudi nyuma .
Mbavu zangu mieeeeeeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Kwahiyo umeamua kuja kuniandika hapa eeehhh...
Sasa ngoja nikamkule tena sasahivi...
Jicho la tatu ndo linalo funikwa tuishi vizuri na majirani zetu kwa msaada zaidi.Hana jicho LA tatu