Happy new year kipenzi
Mkuu unafaidi sana Bro Asprin
Na jinsi Ulivyo...Ni Mwanamke Mpumbavu tuu ndio anaweza asitake kuwa na wewe[emoji41]
Naamini Huyu Demi hawezi chezea bahati hii[emoji6]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Happy new year kipenzi
Ndugu yangu ikigijoMkuu unafaidi sana Bro Asprin
Na jinsi Ulivyo...Ni Mwanamke Mpumbavu tuu ndio anaweza asitake kuwa na wewe[emoji41]
Naamini Huyu Demi hawezi chezea bahati hii[emoji6]
nimekuuliza kaka ako akila mbususu nyingine unamwambia shemeji ako?????Hatari sana. Shemeji anauma wewe acha tu.
basi mwambie shemeji ako atumie tu kinga kisha uendelee na maisha yakoBro nitamwambia atembee salama..atumie Kinga au aongeze mke wa pili.
Mambo mengine ni siri yetu kipenzi...Waeleze waeleze baby
tangu miaka minne iliyopita, nawe ni shahidi 😂😂Tangu lini mke akawa na mme zaidi ya mmoja?
wewe achana na maisha ya watu, fanya mambo yako....ukiwa mkubwa utaelewa kwanini mambo yapo hivo.Huyu jamaa nampango wa kumtafutia wafiraji tu basim
Sahihi ila mimi naona awachane wakiwa wote wawili, shemeji na huyo jamaa anayemgonga. Kama utakaa kimya jua wewe pia ni mnafiki Sana na mshirika wa huo uozo. Kumbuka brother wako hajui chochote lakini wewe umebahatika kufahamu. Ukiendelea kuogopa eti ndoa itavunjika unapaswa ujue kwamba hapo hakuna ndoa tena na unaweza kukuta hata watoto, kama wapo, siyo wa Kaka yako,jambo ambalo ni baya zaidi.Mfuate jamaa mwambie nimejua unamla shemeji yangu. Baadae mfuate shemela mwambie ninajua unaliwa na fulani.
Wakiendelea basi jua blaza hana mke... unamwambia live aachane na huyo malaya
Poor argument [emoji107]Haya mambo magumu sana, unawezakukuta braza wako ndio sababu ya shemeji yako kufikia hayo maamuzi.
Kwa hiyo mwamba ingekua braza hajakuhangaikia isingekuuma hata kidogo?
Inabidi utulie sana, unaweza kumwambia braza wakakwaruzana na wakaendelea kuwa wote, utajificha wapi?
Hapo inategemea ukaribu wako na huyo shem, ni mtu pekee unaeweza kumwambia ila utakavyofikisha ujumbe ni wewe kuona mazingira yenu yalivyo.
Ila kutembea na mke wa rafiki unaemfaham ni kiwango kizuri cha ugaidi.
Acha upumbavu aiseeJe kama wamekubaliana na Brother wako? Si utaumbuka???
Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu.
Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tangu miaka minne iliyopita, nawe ni shahidi [emoji23][emoji23]