mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kazi iendelee
Miaka mitano tena kwa mama
Watake wasitake
Tundu yuko njiani😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi iendelee
Miaka mitano tena kwa mama
Watake wasitake
Aaah we bwanae... aje asije maisha lazima yasonge. Kwani yeye ni nani sasa mpaka D asipate mkate?Tundu yuko njiani😅😅😅
😂😂😂😂Halafu unaweza kuta hata huyo kaka yako anajua ila hajakuambia tuu🤣🤣🤣🤣
Haya mambo yaskie
asipoelewa na hapa basi tena....Kijana wangu, tafuta shughuli za kufanya maana naona uko idle. Achana na mapenzi ya watu. Hayakuhusu. Ni mambo yao, sio yako. Tafuta na wewe wa kwako upambane naye!!
Aaah we bwanae... aje asije maisha lazima yasonge. Kwani yeye ni nani sasa mpaka D asipate mkate?
Aisee umenikumbusha mbali sana. Natamani nikukumbuke... umebadili ID?Brother nimekuelewa mnoo...Nalijua hilo
Ndio Maana nikasema Demi atafaidi sanaa kila Eneo.
Brother hapa Mjini Uko vema mnoo!
1.Handsome
2.Pochi uko Vema Mnoo
3.Mcheshi Hupendi Makuu
4.Huwa Unapenda Kufurahi....Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2014 nadhani Tuliwahi Kukutana Sehemu Na Kina Mpembuzi,Madame B,Paloma pale Maananyamala nadhani,Ukiwa Umepaki Gari yako Kali Pick up ford New Model...
Daa nikasema Mkuu ningekuwa na Dada ningekupa bure kaka!
Pale Mezani kila Mtu alikuwa anakusifia tuu Kaka!
Ndio Maana Nassma Huyu Demi atakula mema ya Nchi sanaa kama akijisalimisha 100Kwako. Na Tuisheni umpe[emoji12]
Kaka Sioni wakushindana na wewe hapa Mjini Dar es salaam.Nasema HAKUNA.
Cc: Warembo wa JF
Kwanini unapenda kunifanyia fitna lakini?Khaa hizi sifa zote za huyo babu? Utakuwa ulimuona mtu mwingine wewe
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kaone kwanzaKizee kistaafu cha miaka 70 huko kimetoa wapi hizo sifa?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kipenzi likizo imeisha?Yeye anakuja kwa raha zake binafsi 🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Hehehe kumbe bado unazo...si unajifanyaga umemuvu on una habari na mimiKaone kwanza
Leo nadelete namba zako hahahaa
Nimekustahi tu kwakuwa tumetoka mbaliHehehe kumbe bado unazo...si unajifanyaga umemuvu on una habari na mimi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nifanyie basi muamala nipate namba yako babu[emoji12]Nimekustahi tu kwakuwa tumetoka mbali
Kipenzi likizo imeisha?
Sasa nini kimekudamsha mapema, wakati nataka upumzike afya ikae sawa?Bado kidogo
Kaone kwanzaNifanyie basi muamala nipate namba yako babu[emoji12]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sasa nini kimekudamsha mapema, wakati nataka upumzike afya ikae sawa?
Nifanyie basi muamala nipate namba yako babu[emoji12]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app