Unajua we fala sana. Mecheka kama mwehu ujue... dahMbona sio mapemaπππ
Nikilala zaidi ya hapa si utaamka na njaa ukose hata breafast jamani! Au unatafuta kisingizio cha kwenda kunywa supu barπππ
Wanataka kuiba shea ya D.Tena atume na kwanguπ€π€π€
Unajua we fala sana. Mecheka kama mwehu ujue... dah
Safari ya Makuti bar imekufa rasmi....
Wanataka kuiba shea ya D.
Kuwa makini
Wivu sio dawa lakini mama D wanguππππ tena ife kabisaaa
Aaaa wapi.....Wataweza basiπππ
Ili bro aendelee kumegewa kimasihara?Kucheat siyo poa ila na kwenda kusema siyo poa considering wana miaka 4 na kwamba bro hata hajahisi?
Muombe connection bro upate kazi uhame hapo.
Wivu sio dawa lakini mama D wangu
Wewe ni mwanaume hayo mambo yaache.... Acha ale yeyote... Hawa wanawake ni vichaa Duniani... Unamzuia asiliwe ukiwepo chaajabu hata ukiwa haupo siku moja masaa ataliwa tu....Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu.
Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
Ni wajibu. Nimekuelewa. Basi acha niende kumwagilia maua. Maana naona hamna namna tena....Lakini kukuandalia breakfast ili tule pamoja sio wivu jamaniπββοΈπββοΈπββοΈ
Mi naamini Bro kashahisi au kashakuta na kusamehe. Huyu jamaa ili asigombane na watu apambanie connection apate kazi aondokeIli bro aendelee kumegewa kimasihara?
Mnywee pombe braza wako kisha mchaneπ kama umri unaruhusu lakini! Mueleze tu ukweli hata kama atamaindi ila ushamwambia kuliko kuendelea kuteseka.Kuna jamaa mmoja anamla Shemeji yangu.
Nimeshamshuhudia mara Mbili. Afu jamaa ni mtu wa karibu na bro Ile mbaya. Kwa tetesi ni kwamba, huu ni mwaka wa nne sasa tangu wagundulike. Nashindwa kumwambia bro maana sijui atalichukuliaje.
Nimfanyeje ili waache nami niwe na furaha?
Maana najisikia vibaya nikizingatia bro alivyonihangaikia mimi kusoma.
Eeh kwa hiyo nimekuwa mwizi[emoji849]Wanataka kuiba shea ya D.
Kuwa makini
Hahahahah kwahio dogo akaushe tuπUnaweza kuta hata Bro wako anajua, ila kaamua kupiga kimya, anasubiri mda sahihi na mahala sahihi
Awe makini akimwambia shem wake kuwa analiwa awe imara maana shem atataka kymziba mdomo kwa kumtega ili aliwe kuzima keleleMfuate jamaa mwambie nimejua unamla shemeji yangu. Baadae mfuate shemela mwambie ninajua unaliwa na fulani.
Wakiendelea basi jua blaza hana mke... unamwambia live aachane na huyo malaya
Tatizo cyo sura brooo [emoji23] tatizo utamu kunogile ,,,[emoji21]Lile dude lina sura mbaya ajabu, Lakini midume tunahangaika nalo mpaka wengine wanauana..
Amini usiamini atakuwa hajastuka. Hakuna mwanaume anayejua mke wake analiwa na mtu akakaa asifanye kitu.Mi naamini Bro kashahisi au kashakuta na kusamehe. Huyu jamaa ili asigombane na watu apambanie connection apate kazi aondoke
Dah hiyo vita itakuwa si ya karne hii. Huyo atakuwa Delila aliyepitiliza.Awe makini akimwambia shem wake kuwa analiwa awe imara maana shem atataka kymziba mdomo kwa kumtega ili aliwe kuzima kelele