Kuna jamaa yangu alikua USAID akawa ananifungia vioo, leo kanitumia ujumbe kama nina mchongo wowote nimpasishie

Kwa kweli kama Mungu alikuinua na wewe ukawa kwenye nafasi ya kuwainua wenzako kwa makusudi kabisa ukaamua kuwaacha wazame kwenye dhiki huku wewe ukifurahia raha inaumiza sana hasa ikiwa ni mtu wako wa karibu.......

Ni kweli msaada sio haki yako lakini na wewe kama ulisaidiwa kwa namna moja au nyingine kufikia hapo ulipo basi ni vyema na wewe ukawatazama wenzako kwa jicho la kibinadamu kwa kile utakachojaaliwa........

Kuwatumia watu kuvuka madaraja ya mafanikio na kisha kuwatelekeza huo ni USHETANI....na sio katika matendo ya kibinadamu......

Watu wema hukumbuka fadhila bali wale wabaya na waovu hujitia upofu......

Unapowakataa watu nyakati za DHIKI zao ukiwa kwenye mafanikio yako basi waache moja kwa moja.....kurudi tena kutaka msaada kwa watu walioukufadhili alafu ukawakimbia hizo ni dharau.....na kebehi......

Maisha ni safari ndefu sana kuna leo lakini hakuna ajuaye kesho yake.......kwani kesho ni fumbo.......

Kumuacha mtu wako karibu kwenye hali NGUMU na wewe Una nafasi ya kumsaidia huo ni USHETANI......

Hata muumba anatufanyia mema na yeye anapenda tumlipe mema kwa kumuabudu lakini tukimfanyia uovu anatuandikia dhambi........
 
- Hivi kwa nini baadhi ya watu wakifanikiwa wana watenga wenzao?
Watu wanatenga Hadi Wazazi wao sembuse mtu back?

Kuna Mzee alikuwa analalamika kusomesha mtoto wake ambae anafanya kazi Wizara ya viwanda huko anadai ameacha kwenda kwake,akirudi halali kijijini huko nk

Sasa anasema hamtaki ila akija atamoa vyakula lakini hampi urithi wowote wa mang'ombe kama buku hivi atampa ambae gajasoma.na Yuko nae huko Kijijjini.
 
Unajua maana ya urithi wewe?
 
Ok
 
Wewe una akili za kimaskini sana. Ulitaka uwe mnufaika wa mshahara wake?
 
Mleta uzi ataingia motoni kwa dhambi ya kipuuzi sana inayoitwa usengenyaji.
 
Hakika Amekwisha, aanze kuuza hata maandazi kama hawezi kulima
 
Kumbe unakopesha na sijui!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…