Kuna jamaa yangu alikua USAID akawa ananifungia vioo, leo kanitumia ujumbe kama nina mchongo wowote nimpasishie

Kuna jamaa yangu alikua USAID akawa ananifungia vioo, leo kanitumia ujumbe kama nina mchongo wowote nimpasishie

Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
Hajajibu kitu mpaka sasa?
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
Nashangaa Kuna watu kibao wamelike Kwa emeji na vicheko na nzuri sijajua Nini kinafurahisha
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
hii mbona ni kama chai.
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
Hiyo ni kawaida kwa wabongo.
Kuna sehemu nilikuwa na eneo langu lilipakana na jamaa alikuwa akifanyia Bandari, yeye kipindi hicho ilionekana majirani zake wote waliomzunguka sio level yake, Salamu hakuna.
Siku wapompiga chini ndio tulipojua kuwa hata yeye anaweza kuongea na kusalimia!
 
Hiyo ni kawaida kwa wabongo.
Kuna sehemu nilikuwa na eneo langu lilipakana na jamaa alikuwa akifanyia Bandari, yeye kipindi hicho ilionekana majirani zake wote waliomzunguka sio level yake, Salamu hakuna.
Siku wapompiga chini ndio tulipojua kuwa hata yeye anaweza kuongea na kusalimia!
Ni mzaifu sana huyo, alitakiwa aendelee na hali zake na shida zake.
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
Mtumie message mwambie "kmamayo zako ,kale nyodo zako mbwa wewe "
 
Ngoja nikusapoti kwa visa hivi viwili vya kweli kabisa na kimoja ni cha miaka ya KARIBU Sana Sana

1. Miaka kadhaa nasoma A'level nilikua kama boya Tu, sikua na influence kihivyo na maisha hayakua mazuri sana japo hayakua mabaya Sana, alikuja Jamaa Mmoja, aiseee jamaa hajawahi hata kunisalimia, of course alikua Sahihi maana sikua wa "type" yake. Tulipokua chuo, huko Dar - UDSM nilishangaa napigiwa simu, tena miaka ile Ninamiliki Motorola C25, Jamaa alijitambulisha Sana Kwangu kuwa tulikua wote Darasa moja ila kwa kweli sikumkumbuka, nikakubali tuonane. Anyway, kwa kifupi Jamaa niliishi nae room moja Kwa gharama zangu kwa kipindi chote cha maisha ya UDSM.

Sikuwahi kumkumbusha Lolote la A"level Baya, Chuo nilimlisha Mimi tangu day one Hadi mwaka wa tatu nadhani alipopata Mkopo baada ya Serikali kusema kuwa mikopo ni ya wanafunzi wote, bado baada ya hapo alipomaliza Chuo hakuwahi kunitafuta na yeye alitangulia kupata KAZI Serikalini tena position nzuri Tu.
Huyu Jamaa Hadi ninavyoandika hapa, atanitafuta akiwa na Shida Tu ila wewe ukiwa na Shida ukamcheki aiseee trust me, huwezi ambulia hata elfu kumi. Ni maisha, nafurahi YANGU yanaenda na yake pia.

Kisa kingine, NAOMBA nisitaje mwaka, niliwahi kufanya KAZI kwenye NGO hizi kubwa Tu hapa nchini, tukapata Mradi Mkubwa sana na Sisi tukawa ndio PR (Prime recipient), kwahio kibunda nilikuepo, kama staffs WA ule Mradi tulikua na group letu la WhatsApp la kwetu Tu ukiacha lile la shirika, kwa bahati mbaya Sana, Mradi ule ulikatishwa mwaka wake wa tatu wa implementation, sasa wenzangu (baadhi) walihamishiwa kwenye miradi mingine na mashirika mengine, kwa bahati mbaya, akina Mimi tukaishia hapo.

Kwa kawaida Ile group iliendelea ku-exist na socialization za hapa na pale, sasa buana, kipindi tuko pale kuna mshkaji Sijui alikua na issue Gani ila mara nyingi sana alikua anaishiwa pesa kabla ya Muda wa salary, Nikawa nampiga tafu Sana na anarejesha bila Shaka.

The day nimekaa bench na yeye alikua miongoni mwa waliopata KAZI kwa NGO nyingine, maana ilikua kama Ile project zinafanana Tu, basi huwezi amini kuna siku nimebanwa na Niko kitaa, nikamrukia hewani jamaa, huwezi kuelewa but Jamaa alinitosa kama sio Mimi vile niliyekua msaada kwake, nikajaribu tena siku nyingine, nikadunda, basi sikuwahi kumcheki tena ila tupo wote kwa group na mara moja moja tunasalimiana japo wengine walivyofanikiwa Tu vipindi kile cha mpito na Kwa group wakajitoa.

Funzo, ishi maisha yako, usitarajie kutenda mema ili ulipwe mema! Mafanikio ya mwenzako got nothing to do with you!
Huyo wa 2 Sina shida nae, ila huyo wa 1 sitaki mazoea nae.

sio Kwa ubaya,ila napenda kufurahia maisha.
Sio kuhifadhi chuki around negative people.
 
Kwa hiyo jamaa ameshindwa kusurvive hata mwezi mmoja kuna kitu hakiko sawa kwenye huu uzi
Waajiriwa wengi ni hohehae hata mwezi hawatoboi bila mshahara , hata wanaopokea pesa nyingi wengi trend ni hiyo hiyo , mishahara inadumaza akili zao wengi ,so unakuta wamekopa kupitiliza na kufanya expenditure za kipuuzi muda mrefu ,ikitokea kazi ikaisha ni kilio na kusaga meno
 
Trump na Musk ni nyoko , wanapunguza mpaka wafanyakazi wa serikali kuu ya Marekani .
Mwezi huu wa pili retreachment zimeanza , anakwambia hamna haja ya ofisi kuwa na wahasibu watatu ,wakati mifumo iko automated na mhasibu mmoja anaweza fanya kazi kwa ufanisi na kuwajibika fully hivyo kusave pesa ya serikali
 
Great! 👍
nakupa mfano Jamaa yangu 1 wa toka udogoni, nyumba yetu hapa kwao pale.
.
hustle ali anza mapema, aka pata vi nafasi, still haku ni beba, na Wala siku mind kwani simdai.

alivyo anguka nikawa mimi ndio balance ya mzani, aka rudi juu kumbe haja badilika nika mvumilia tu.
Mwaka unao fata ukawa wa mageuzi kwangu.
still nili muona Jamaa.

2023 ndio ushikaji wetu ume kufa, ali pata tender ya kusambaza vifaa fulani.
Nika tafuta cheap market tuka kusanya pesa ya maana, mida ya kurudi nika muambia oya nime sahau kadi ya benki hotelini.

naomba 20k hapo nichukue kitu fulani, tuki fika nakurudishia. Si aka goma!.
na zile hela aka sema ana mpango nazo, nili ondoka siku hiyo na mpaka Leo hazi ivi.
 
Kuna watu sijui ni ulimbukeni au ushamba.
Huyu jamaa yangu yeye alibahatika kupata kazi tu after graduation kwenye hizi NGO zilizokua chini ya USAID,kwa kipindi kile kijana mdogo kulipwa 3m per month ilikua ni pesa nyingi mno,jamaa akaanza maringo na akawa anatuona akina sisi ambao by that time tulikua majobless sio wa standard zake.imepita miaka kadhaa hatimae Trump kafanya yake huko.jamaa leo kanitumia ujumbe eti nikisikia au kama nina mchongo wowote nimpasishie.
Nimemjibu me niko nalima kijijini kwetu kama unaweza njoo tupige jembe,huo ndio mchongo nilionao kwa sasa.jamaa hajajibu kitu.
UMEFURAHIII:CarltonPls:
 
Back
Top Bottom