Tetesi: Kuna jambo baya linaendelea Mtwara...

Kama watawapata wafanye hivyo.Ila ujue vita havina macho.
Katika kusaga unaweza kujikuta nawe unasagwa pia.

Kwanza ni muhimu kujua nia yao ni nini?
Maana wao huwa wanasema wazi wanafanya hivi kwa sababu gani.
Katika hili tusiwe lelemama eti tutalaumiwa na umoja wa mataifa - saga hao watu kabisa, yaani wasagwe kiasi kwamba wakisikia neno Tanzania wanajificha -wasituzoee kabisa
 
Sasa ndugu mbona wanaoumia ni RAIA wasio na hatia?Unaposema dawa ya mjinga ni kuumia,je unadhani hao wanaotakiwa kuchukua hatua wanaumia kweli?

Mungu awanususuru wanyonge maana yeye pekee ndiye mtetezi wao
 
Mungu atalilinda jeshi letu na dogo atarudi salama
 
weka hyo vdeo tuione
 
Acha uongo ww
 
Duuh huu uzi umerejeshwa last week kila ukitupiwa humu ulikuwa unaondolewa haraka.
Tuna Imani na jeshi letu watafanya kazi kutokana na weledi waliofunzwa
Ila hawa magaidi Wana kiswahili kizuri Kama wabongo.​
 
Uko sahihi mkuu, yule chatu anayemeza watoto wa jirani kule Msumbiji ameanza kumeza wa huku kwetu, juhudi za kikanda zinahitajika kushughulikia hili maana nchi moja pekee haitaweza kutatua hili tatizo kwani ugaidi hauna mipaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…