Kuna Jambo linanikwaza hapa: Naomba kufahamu tabia za mwanamke anayefanya umalaya kwa siri

Kuna Jambo linanikwaza hapa: Naomba kufahamu tabia za mwanamke anayefanya umalaya kwa siri

Hyrax

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2023
Posts
964
Reaction score
2,675
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
 
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Kiufupi hupendwi unaforce na unajua Kwamba hupendwi
 
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Unamzungumzia huyu mwenye saluni ya kuzugia
Screenshot_20230928-133427.jpg
 
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Uzuri kwenye mahusiano, picha unakuwa unaliona na ukweli unauona wazi wazi lakini unaukataaa
 
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Bado hujasema😅😅
 
Mwanamke wa namna hiyo ambae umeonyesha kwake kuwa wewe ni dhaifu kiasi hicho ni vipi ataacha kukudharau?

Hataacha kukudharau kwakua unamuonyesha yeye ni muhimu sana kwako licha ya kukuonyesha viashiria vyote kuwa hauko peke yako.
 
Back
Top Bottom