Kuna Jambo linanikwaza hapa: Naomba kufahamu tabia za mwanamke anayefanya umalaya kwa siri

Kuna Jambo linanikwaza hapa: Naomba kufahamu tabia za mwanamke anayefanya umalaya kwa siri

Kwahyo mtu asipumzike kidogo, amekwambia alihitaji kuwa peke yake
Shida ipo wapi hapo....vicoba vina stress hujui tu...usigombane kwa vitu vidogo hivyo kuwa muelewa
Nashangaa wanamshambulia dada wa watu wakati kishasema alihitaji kua alone, vicoba vinampa stress [emoji23][emoji23][emoji23] japo wanajaribu kumjaza ila mwamba amekolea hachomoki hapo
 
Nashangaa wanamshambulia dada wa watu wakati kishasema alihitaji kua alone, vicoba vinampa stress [emoji23][emoji23][emoji23] japo wanajaribu kumjaza ila mwamba amekolea hachomoki hapo
Wanamjua kijumbe vizuri kweli hawa 🤣🤣🤣🤣 unaamua kujificha zako mtu anahisi unacheat mxiiu
 
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Alaaaaaa!unakwama wapi kaka 🤷? huyo ni wakuacha immediately atakuja kukusumbua zaidi uzeeni kama ukikaa naye.
Yaani Dah! hadi ile kitu anakataza wanini sasa humo ndani kama sio kufuga problems.
 
Kwahyo mtu asipumzike kidogo, amekwambia alihitaji kuwa peke yake
Shida ipo wapi hapo....vicoba vina stress hujui tu...usigombane kwa vitu vidogo hivyo kuwa muelewa
Dada yangu Miss Gf, Kuwa alone ndio aamue kwenda lodge kulala? ikiwa anajua mahali napoishi na naishi alone huyu ananipiga
 
Dada yangu Miss Gf, Kuwa alone ndio aamue kwenda lodge kulala? ikiwa anajua mahali napoishi na naishi alone huyu ananipiga
Inategemea stress alitaka kuzimalizia wapi....utajuaje labda watu wa vicoba wamebeba kila kitu kwake..jifunze communication kwenye relationship itakusaidia...huenda labda we mwenyewe ni kero kwake ndyo maana akaamua akapumzike lodge
 
Back
Top Bottom