Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna miujiza.Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
mimi si mjuvi wala mbobevu wa mahusiano mkuu nafikiri hili nalo linachangia kwakweli.. kuna ile unampenda kabinti ila chenyewe ni mazonge kanakuja kupigwa na wahuni kabaki kenyewe na vitoto juuNiseme tu wewe mkuu ni "bwege nazi" una macho matatu ila huoni , hivi mpaka hapo unasubiri ushauri ili ufanye maamuzi? (excuse my language)
Tafuta hela mwanamke hutamuwezaKuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Mkuu achana naye, atakuambukiza miwaya.Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
kuna haja ya kuwa makini sana na hivi vibinti vidogo mkuu, siku hizi ndio vinaongoza kwa kugawa 'tigo', vinagawa utamu kama vimechanjiwa, alafu huku mtaani hawatumii nguvu kuvila, mabwana zao ni hawa waimba singeli, yani ukisokota virasta tu na kuvaa suruale makalioni basi vitakugombania hatari, ila wakija kwako ndio wanakulia pesa zako. Wenyewe wanawaita 'mubaba' sikuhizi. Chunga sana comrade.mimi si mjuvi wala mbobevu wa mahusiano mkuu nafikiri hili nalo linachangia kwakweli.. kuna ile unampenda kabinti ila chenyewe ni mazonge kanakuja kupigwa na wahuni kabaki kenyewe na vitoto juu
Na sio gunia la misumari 😂😂😂Hilo ni robota la kokokoto
Sasa picha iko wapi?Unamzungumzia huyu mwenye saluni ya kuzugiaView attachment 2764972
Mshaurini skapime kabla hajampiga chiniUsisubiri uletewe maUTI sugu na maKaswende
Kimbia hapo haraka
#endelea kusubiri muujiza wa wana wa Israel.. anakupenda sana huyo ana kujaribu tu aone msimamo wakoKuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Of course hili ni muhimu kufanyika, wanasema "Mdharau mwimba mguu huota tende"Mshaurini skapime kabla hajampiga chini