Kuna Jambo linanikwaza hapa: Naomba kufahamu tabia za mwanamke anayefanya umalaya kwa siri

Kuna Jambo linanikwaza hapa: Naomba kufahamu tabia za mwanamke anayefanya umalaya kwa siri

Niseme tu wewe mkuu ni "bwege nazi" una macho matatu ila huoni , hivi mpaka hapo unasubiri ushauri ili ufanye maamuzi? (excuse my language)
 
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Hakuna miujiza.
Wanawake huwa hawadanganyi. Wanaonyesha red flags since day one, we ukachagua kuignore.

Eidha uendelee kupigwa au usanuke.
 
Niseme tu wewe mkuu ni "bwege nazi" una macho matatu ila huoni , hivi mpaka hapo unasubiri ushauri ili ufanye maamuzi? (excuse my language)
mimi si mjuvi wala mbobevu wa mahusiano mkuu nafikiri hili nalo linachangia kwakweli.. kuna ile unampenda kabinti ila chenyewe ni mazonge kanakuja kupigwa na wahuni kabaki kenyewe na vitoto juu
 
USIMPE MWANAMKE ATTENTION

Naweza sema brqza kata hio connection kati ya ubongo wako ma moyo wako.

Wanaume mabwege huwa Kuna connection Fulani kati ya moto na ubongo zao.

Connection pekee inayotakiwa ni kati ya UBONGO na MDOMO WAKO.
 
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Tafuta hela mwanamke hutamuweza
 
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
Mkuu achana naye, atakuambukiza miwaya.
 
mimi si mjuvi wala mbobevu wa mahusiano mkuu nafikiri hili nalo linachangia kwakweli.. kuna ile unampenda kabinti ila chenyewe ni mazonge kanakuja kupigwa na wahuni kabaki kenyewe na vitoto juu
kuna haja ya kuwa makini sana na hivi vibinti vidogo mkuu, siku hizi ndio vinaongoza kwa kugawa 'tigo', vinagawa utamu kama vimechanjiwa, alafu huku mtaani hawatumii nguvu kuvila, mabwana zao ni hawa waimba singeli, yani ukisokota virasta tu na kuvaa suruale makalioni basi vitakugombania hatari, ila wakija kwako ndio wanakulia pesa zako. Wenyewe wanawaita 'mubaba' sikuhizi. Chunga sana comrade.
 
Kwahyo mtu asipumzike kidogo, amekwambia alihitaji kuwa peke yake
Shida ipo wapi hapo....vicoba vina stress hujui tu...usigombane kwa vitu vidogo hivyo kuwa muelewa
 
Kuna mwanamke ninaye yaani kila nikitafakari naona napigwa akinitafuta ujue anaomba hela, nikishamtumia hata kushukuru hawezi ukimwomba mapenzi ananizungusha zungusha mpaka tugombane ndio atanipa sasa kivumbi jana usiku nimerudi zangu job nimekaa sebuleni kucheki movie nikaingia whatsapp kupitia ya hapa na pale ghafla nikaenda kucheki status za watu sasa kwenye status yake nimeona kaweka picha ambayo inaonesha yupo mahali gesti au lodge sasa leo asubuhi namuuliza ananiambia jana alienda kupumzika kuna watu wamemvuruga kwenye vicoba vyao vya wanawake nikamuuliza umeshindwa kunitext au kunipigia uje kulala geto akanijibu kuwa alihitaji kuwa alone, sasa tumepigiana simu tumetupiana maneno makali ila naona huyu mwanamke ni mchafugoke au niendelee tu kusubiri miujiza ya wana wa israeli.. wajuzi wa haya mambo njooni mniseme.
#endelea kusubiri muujiza wa wana wa Israel.. anakupenda sana huyo ana kujaribu tu aone msimamo wako
 
Back
Top Bottom