Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo yote alosema ni kaskia na sio kuwa kashuhudia,kwenye pombe gomba na ganja hapo sawa ila hzo sijui ushoga hamnaga hzoUmesoma comment za wadau? Unaficha nini ambacho hakiko wazi?
Hiyo Arusha ya nchi gani?Ndugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.
Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.
Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.
Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.
Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.
Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali (mirathi) wapate hela za starehe.
Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.
Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.
Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.
Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.
Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.
Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyeji wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
Mkuu hili siyo Arusha tu. Hata Dar lipo. Tena Dar ndiyo zaidi.Ndugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.
Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.
Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.
Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.
Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.
Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali (mirathi) wapate hela za starehe.
Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.
Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.
Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.
Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.
Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.
Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyeji wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
Kwa hiyo limeshaenea sanaMkuu hili siyo Arusha tu. Hata Dar lipo. Tena Dar ndiyo zaidi.
Ni tatizo lililotengenezwa na CCM na bado linaendelea kuzalisha wengi. Kwa mfano hizi pikipiki za Samia ni moja ya channels za kuingiza watu wa aina hii mtaani. Boda zinaanza kuzidi idadi ya wateja, tutegemee zaidi ya haya.Kwa hiyo limeshaenea sana
HahahaKiukweli kaskazini inahitaji msaada wa halaka Sana vijana wa huko Wana halibika kwa Kasi kubwa Sana
Kidogo ambao wapo salama Ni wale walio toka makwao nakuja kutafuta maisha mikoa mingine
Madawa,pombe,bangi,sigara,milungi,petrol,
madogo wanakuambia mpaka sumu ya panya nistim nzuli sana
Matumizi ya bhangi ni aina ya vileviUmetumwa kutuchafua, watu wa Arusha ulevi sio pigo zetu bablai
Unawakamua mashoga au wadada?Chuga ukiwa na Ile app unawakamua mpaka uchoke
Pengine ni matokeo ya malezi.Ndugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.
Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.
Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.
Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.
Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.
Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali (mirathi) wapate hela za starehe.
Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.
Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.
Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.
Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.
Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.
Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyeji wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
Unani quote unanifahamu chief?
Nimeku mention sijaku quoteUnani quote unanifahamu chief?
Kama ni mashoga nenda ukapewe ujauzito alafu uje ufute uzi wako na kuwaomba msamaha.Ndugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.
Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.
Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.
Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.
Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.
Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali (mirathi) wapate hela za starehe.
Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.
Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.
Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.
Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.
Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.
Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyeji wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
Muhimu sanaPengine ni matokeo ya malezi.
Malezi ya baba ni muhimu kwenye zama hizi.
Otherwise, tutakuwa na wanaume wa jinsia ya kike
Sawa sawaSuala la kufanya kazi ni la mtu binafsi mimi nafanya kazi kukidhi mahitaji yangu kama sifanyi kazi hakuna mtu anahusika na mimi kutofanya kazi
Maneno yako hayasaidii jamii yako. Take action broKama ni mashoga nenda ukapewe ujauzito alafu uje ufute uzi wako na kuwaomba msamaha.
Maana ufunguo wa gheto unao weweWaacheni watoto wadogo waje kwangu ...