Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Yani leo shukuru Sina mood ya kuharibu Uzi wa mtu.Hayo ni magenge ya vijana wahuni, wanaopatikana kwenye baadhi ya sehemu huko Arusha.
Sio wote, usitujumuishe.
Lafudhi yao ndo imewapa umaarufu mnawaona wao tu wakati vijana wa namna hiyo wanapatikana kila mahali.
Ningekuvuruga Umbwa wewe😁