Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa

Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa

Sehemu zote duniani ambayo utalii ndiyo njia kuu ya uchumi, maadili hua hakuna 100%!

Uchumi huondoka kwenye uzalishaji na kuwa huduma!
Sasa fikiria huduma gani utauza kwenye soko hili? Bidhaa namba Moja ni matundu ya mwili!

Chukulia mfano wa Zanzibar, Thailand, Bali, Miami..

Inasikitisha lakini ukweli ndio huo!
Duuh hii kali
 
Ulivyo una akili Huwezi elewi, vitabu vyote vya dini vina Amini:

1. Ukiongelea kazi, unaongelea wanaume, wanawake are considered Kama walezi!

2. Wanawake hawajehasahiwa kwenye kazi za uzalishaji Mali……

Huu upumbavu wenu ndo mnafanya mnachapiwa wake zenu kila siku kwa Sababu mmewafanya kama wazalishaji Mali kama nyinyi kinyume na mpango wa Mungu wa asili!

1. Eti Dume kabisa anafanya Mia budget mshahara wa mke, wanaweka hela Mezani.

Nguvu ya mwanaume iko maintained pale ambapo anaonekana provider na kwenye nafasi yake!

Tukisema Arusha kuna wanaume, haina maana Hakuna wanawake, haya maua yetu yapo……

Ila uzalishaji ni kwa Madume, yake madume yenu pale kinondoni yana maana gani?
BY the way mimi siishi Dar ila huko Kinondoni ulipopataja wamejaa sana ndugu zetu wa Moshi na Arusha na panasifika kwa sifa mbovu za umalaya, upunga na upunda.
 
Ndugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.

Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.

Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.

Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.

Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali (mirathi) wapate hela za starehe.

Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.

Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.

Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.

Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.

Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.

Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyeji wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
Acha Umbea Mtoto wa kike, au wewe wamekukataa na mpk sasa hujaolewa?
 
Ingekua hii taarifa nimesoma sehemu nyingine ningeshtuka ila nimeisoma jf Wala hainipi shida
 
Kwamimi ninachojua kaskazini hatokagi fala, Niko napambana zangu uku mkoani adi raia wanasema watoto wa Arusha mnapambana,

sio vijana wa Arusha tu wanapenda hayo makodokodo uliyoyaorodhesha apo juu zungukia na mikoa mingine

Anyway ujana maji ya moto
 
Ndugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.

Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.

Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.

Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.

Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali (mirathi) wapate hela za starehe.

Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.

Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.

Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.

Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.

Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.

Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyeji wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
Waache ni maisha yao ilimradi hawavunji Sheria za nchi
 
Ndugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.

Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.

Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.

Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.

Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali (mirathi) wapate hela za starehe.

Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.

Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.

Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.

Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.

Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.

Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyeji wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
Arusha ipi unaizungumzia?Vijana wachapa kazi ndio majority lakini kama miji yote mikubwa wapo watu wa dili,Marios,madalali ,waongoza watalii na vibaka.
Sio tabia exclusive kwa vijana wa Arusha.
 
Back
Top Bottom