Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa

Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa

Duuuh
Ndugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.

Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.

Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.

Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.

Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali( mirathi) wapate hela za starehe.

Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.

Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.

Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.

Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.

Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.

Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyeji wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
 
Ulivyo una akili Huwezi elewi, vitabu vyote vya dini vina Amini:

1. Ukiongelea kazi, unaongelea wanaume, wanawake are considered Kama walezi!

2. Wanawake hawajehasahiwa kwenye kazi za uzalishaji Mali……

Huu upumbavu wenu ndo mnafanya mnachapiwa wake zenu kila siku kwa Sababu mmewafanya kama wazalishaji Mali kama nyinyi kinyume na mpango wa Mungu wa asili!

1. Eti Dume kabisa anafanya Mia budget mshahara wa mke, wanaweka hela Mezani.

Nguvu ya mwanaume iko maintained pale ambapo anaonekana provider na kwenye nafasi yake!

Tukisema Arusha kuna wanaume, haina maana Hakuna wanawake, haya maua yetu yapo……

Ila uzalishaji ni kwa Madume, yake madume yenu pale kinondoni yana maana gani?
Correct
 
Hapo ktk niliyotaja ni lipi halipo hapo Arachuga, Ungalimited na Tengeru?
Mh unaijua ngalimi au galeloo na hyo tengeru au umeadsiwa kwa wiz hapo sawa n asili ya hzo mitaa unakuta mtu chali n fund magar au anacho karakana lakn ukiwa mshamba lazima akuibie na anayo pesa kwa uwizi n ipo kweny damu lakn ushoga dah watake radhi mkuu
 
Baadhi ya vijana wa Arusha:

Wanapenda kulelewa na wanawake watu wazima au wadada wenye uwezo.

Wanapenda favour, zawadi, surprise na kulipuwa bills. Kwa mara ya kwanza mwanaume ananikumbusha mwezi ule atakuwa na birthday nimpe zawadi alikuwa wa Arusha.

Ni watelekezaji wa familia. Kuacha mke na watoto wawili wachanga akaja Dar akabadili mawasiliano jambo la kawaida kwao.

Wanapenda kutegemea ukweni. "Yule si nilizaa nae ila kwao wanajiweza, mtoto anasomeshwa na mamamkwe"

Wanapenda kujipendekeza na kutegemea ndugu wenye uwezo kubebwa bila jitihada zao binafsi. Ile "nina bro wangu atamaliza we usiwaze"

Depal my friend kwa hawa kaka zako kazi unayo
 
Ndugu zangu Hapa Arusha kuna shida kubwa sana kwa upande wa watoto wa kiume hasa vijana ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Vijana wa kiume hapa Arusha hawapendi kufanya kazi na kujiingizia kipato.

Vijana wa kiume wa Arusha wamekumbwa na Kampeni ya kuolewa na wanawake wenye umri mkubwa maarufu kama mashangazi ila sasa wamevuka mipaka mpaka kwa bibi zao.

Vijana wa kiume wa Arusha wamejiingiza kwenye ulevi wa kupindukia, pombe halali na haramu kwa pamoja.

Vijana wa kiume wa Arusha kwa vitendo vya uharifu, wizi na utapeli wamekubuhu.

Vijana wa kiume wa Arusha wana kampeni maalum, wazazi wao wakifariki wanafurahi ili wauze mali( mirathi) wapate hela za starehe.

Vijana wa kiume wa Arusha hawataki kuoa.

Vijana wa kiume wa Arusha akipata demu anataka alishwe, alipiwe kodi, vocha na hela za bando, ni Marioo wa kutupwa.

Hii inanikumbusha kwanini DogoJanja alifanya vile.

Vijana wa kiume Arusha wamevuka mipaka, wanakodishwa kuwa mabaasha ili wawaingilie mashoga kwa kulipwa.

Serikali, taasisi za dini, taasisi za kiraia na watu mmoja mmoja wenye mapenzi mema tulivalie njuga hili jambo kama halijawa ugonjwa wa kuambukiza kwenda mikoa mingine.

Hapa Arusha hali ni mbaya mno. Wenyejit wameshazoea na wana ona ni kawaida tu. Au wameshakata tamaa na hawana cha kufanya.
Robert Heriel Mtibeli umetolewa kabisa na bqngo
 
Baadhi ya vijana wa Arusha:

Wanapenda kulelewa na wanawake watu wazima au wadada wenye uwezo.

Wanapenda favour, zawadi, surprise na kulipuwa bills. Kwa mara ya kwanza mwanaume ananikumbusha mwezi ule atakuwa na birthday nimpe zawadi alikuwa wa Arusha.

Ni watelekezaji wa familia. Kuacha mke na watoto wawili wachanga akaja Dar akabadili mawasiliano jambo la kawaida kwao.

Wanapenda kutegemea ukweni. "Yule si nilizaa nae ila kwao wanajiweza, mtoto anasomeshwa na mamamkwe"

Wanapenda kujipendekeza na kutegemea ndugu wenye uwezo kubebwa bila jitihada zao binafsi. Ile "nina bro wangu atamaliza we usiwaze"

Depal my friend kwa hawa kaka zako kazi unayo
Kazi ipo
 
Sehemu zote duniani ambayo utalii ndiyo njia kuu ya uchumi, maadili hua hakuna 100%!

Uchumi huondoka kwenye uzalishaji na kuwa huduma!
Sasa fikiria huduma gani utauza kwenye soko hili? Bidhaa namba Moja ni matundu ya mwili!

Chukulia mfano wa Zanzibar, Thailand, Bali, Miami..

Inasikitisha lakini ukweli ndio huo!
 
Back
Top Bottom