Kuna jambo zito linawakabili vijana wa kiume wa Arusha. Msaada wa haraka unatakiwa

Hiyo Arusha ya nchi gani?
Mbona huu ni uzushi?
 
Mkuu hili siyo Arusha tu. Hata Dar lipo. Tena Dar ndiyo zaidi.
 
Kwa hiyo limeshaenea sana
Ni tatizo lililotengenezwa na CCM na bado linaendelea kuzalisha wengi. Kwa mfano hizi pikipiki za Samia ni moja ya channels za kuingiza watu wa aina hii mtaani. Boda zinaanza kuzidi idadi ya wateja, tutegemee zaidi ya haya.
 
Kiukweli kaskazini inahitaji msaada wa halaka Sana vijana wa huko Wana halibika kwa Kasi kubwa Sana

Kidogo ambao wapo salama Ni wale walio toka makwao nakuja kutafuta maisha mikoa mingine

Madawa,pombe,bangi,sigara,milungi,petrol,

madogo wanakuambia mpaka sumu ya panya nistim nzuli sana
 
Hahaha
 
Suala la kufanya kazi ni la mtu binafsi mimi nafanya kazi kukidhi mahitaji yangu kama sifanyi kazi hakuna mtu anahusika na mimi kutofanya kazi
 
Pengine ni matokeo ya malezi.
Malezi ya baba ni muhimu kwenye zama hizi.
Otherwise, tutakuwa na wanaume wa jinsia ya kike
 
Kama ni mashoga nenda ukapewe ujauzito alafu uje ufute uzi wako na kuwaomba msamaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…