Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Poleni kwa hatari na hofu isiyoisha. Inasikitisha kuona roho za watu kuhatarishwa kila siku.
 
Endeleeni kitioa updates wakuu.. Inaweza ikasaidia viongozi wafanyie kazi maana wamekifumbia macho hiko kivuko.
 
Poleni wasafiri Kwa changamoto ndogo ndogo, Kivuko kimoja kipo kwenye marekebisho makubwa.

Kwenye speech ya tarehe 31/03/2022 Waziri Mbarawa alipoenda kukagua marekebisho alisema Mh. Raisi alihaidi mwaka huu kutoa pesa za Ujenzi wa kivuko kikubwa Cha Kubeba Abiria 3000.

Tatizo anayepewa tenda ni mmoja hata akitengeneza kukiwa na mapungufu Bado anachukua tenda za marekebisho. Kampuni zinazoweza kujenga vivuko zote za wazawa zipo 3
(1.Songoro Marine Technology ya waholanzi
2. Spabiton Marine Boatyard-Technology ya Israel, Germany na Norway
3.Dar es Salaam Merchant Group -Technology kutoka Korea )
Kila Moja Ina kitu Cha ziada kuzidi mwingine.

Kama tenda ikitangazwa mtu akashinda apewe, na kwenye marekebisho asipewe Tena mjenzi Ili mkandarasi mwingine afanye na kuweka sawa mapungufu.
 
Poleni wasafiri Kwa changamoto ndogo ndogo, Kivuko kimoja kipo kwenye marekebisho makubwa.

Kwenye speech ya tarehe 31/03/2022 Waziri Mbarawa alipoenda kukagua marekebisho alisema Mh. Raisi alihaidi mwaka huu kutoa pesa za Ujenzi wa kivuko kikubwa Cha Kubeba Abiria 3000.

Tatizo anayepewa tenda ni mmoja hata akitengeneza kukiwa na mapungufu Bado anachukua tenda za marekebisho. Kampuni zinazoweza kujenga vivuko zote za wazawa zipo 3
(1.Songoro Marine Technology ya waholanzi
2. Spabiton Marine Boatyard-Technology ya Israel, Germany na Norway
3.Dar es Salaam Merchant Group -Technology kutoka Korea )
Kila Moja Ina kitu Cha ziada kuzidi mwingine.

Kama tenda ikitangazwa mtu akashinda apewe, na kwenye marekebisho asipewe Tena mjenzi Ili mkandarasi mwingine afanye na kuweka sawa mapungufu.
Leo 31/03?

Au kuna mahali umeicopy??

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
USHAURI WA BURE: Panda Kivuko na boya lako...hii ni hatari sana, yaani overload hata layman anaiona kwa jicho lisilo la kitaalamu...kuhatarisha usalama wa raia kama hivi sio poa.
 
Back
Top Bottom