Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

Ile Tanzanite Bridge [emoji563] ilitakiwa iwe pale kigamboni feri then ndio waendelee na hiyo Tanzanite org ya salenda au mnasemaje waungwana? [emoji848]
Pale ni mlango bahari inatakiwa ngoma inayo achama na kufunga kuruhusu Meli...Daraja kama crane hivi.

Nadhani ndio maana hilo lililopo hawakuweza kulijengea hapo.
 
Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida wakati navuka kati ya Feri na Kigamboni.

Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.

Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.

Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.

Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.

Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.

Nawasilisha

Sijajua physics yake ila kama chombo kikijaa kinazama au kupinduka sio kushindwa kwenda hata kuzunguka kingezunguka.. Injini haina mafuta
 
Poleni wasafiri Kwa changamoto ndogo ndogo, Kivuko kimoja kipo kwenye marekebisho makubwa.

Kwenye speech ya tarehe 31/03/2022 Waziri Mbarawa alipoenda kukagua marekebisho alisema Mh. Raisi alihaidi mwaka huu kutoa pesa za Ujenzi wa kivuko kikubwa Cha Kubeba Abiria 3000.

Tatizo anayepewa tenda ni mmoja hata akitengeneza kukiwa na mapungufu Bado anachukua tenda za marekebisho. Kampuni zinazoweza kujenga vivuko zote za wazawa zipo 3
(1.Songoro Marine Technology ya waholanzi
2. Spabiton Marine Boatyard-Technology ya Israel, Germany na Norway
3.Dar es Salaam Merchant Group -Technology kutoka Korea )
Kila Moja Ina kitu Cha ziada kuzidi mwingine.

Kama tenda ikitangazwa mtu akashinda apewe, na kwenye marekebisho asipewe Tena mjenzi Ili mkandarasi mwingine afanye na kuweka sawa mapungufu.
Mkuu unasema Songoro marine ni ya uholanzi? 😂😂😂 Chai hiii
 
Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida wakati navuka kati ya Feri na Kigamboni.

Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.

Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.

Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.

Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.

Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.

Nawasilisha

Madai yako haya yotr yatafanyiwa Kazi pale tu tukipinduka nayo, tukizama na Kufa.
 
amkeni amkeni hapo kuna kamchezo ka kupiga pesa ndefu baina ya songoro marine na wahusika. meli inaweza kuwa nzima wakaifanya mbovu ikapelekwa huko songoro jamaa wakapiga zao. kama vile umeme tunazimiwa tunaambiwa kuna matengenezo eti eti jpm alikuwa hazifanyii service kumbe upigaji
 
Yalaaaa ni kweli pale haiwezekani coz ya meli zinazo ingizia patokubwa taifa kuliko wana kigamboni wote, kwa vyovyote hawa wezi kujengewa daraja pale labda bandari ihamishwe kitu ambacho ni fikirishi sana [emoji23] so hapo cha kufanya wanakigamboni cha kufanya wa boreshewe vivuko vyao pia waongezewe hata vi wili au kimoja ita wasaidia ila sio daraja, case closed [emoji1]

watanzania acheni ushamba. dubai wamejenga daraja na meli zinapita tena meli kila mara zinapita daraja linafunguka na kupisha meli na kujifunga. tena sio moja zipo mbili ya tatu daraja chini ya maji na meli zinapita juu
 
Pale kuna vile viboti vya wavuvi ...ni jero tu...ila kupanda bila life jacket ni uongo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom