uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
- Thread starter
- #121
Sijajua kwa Usiku huu.Updates
Nimepita Darajani
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua kwa Usiku huu.Updates
[emoji3][emoji3]USHAURI WA BURE: Panda Kivuko na boya lako...hii ni hatari sana, yaani overload hata layman anaiona kwa jicho lisilo la kitaalamu...kuhatarisha usalama wa raia kama hivi sio poa.
Pale ni mlango bahari inatakiwa ngoma inayo achama na kufunga kuruhusu Meli...Daraja kama crane hivi.Ile Tanzanite Bridge [emoji563] ilitakiwa iwe pale kigamboni feri then ndio waendelee na hiyo Tanzanite org ya salenda au mnasemaje waungwana? [emoji848]
Nawaonea huruma wanaolazimika kuvuka kila siku iendayo kwa Mungu.Mtihani wa kuishi kigamboni
Sioni haja ya kuongeza Kivuko pale kuwa vinne maana itakuwa ni vurugu tu....umbali mfupi sana kwa Midubwana minne kupishana.Raisi amehaidi atatoa pesa Kwa ajili ya ujenzi wa kivuko Cha 4, ondoeni wasiwasi.
Au sioMkuu wa Mikoani mambo mengi hayawahusu. Mpambane wenyewe huko.
Sijajua physics yake ila kama chombo kikijaa kinazama au kupinduka sio kushindwa kwenda hata kuzunguka kingezunguka.. Injini haina mafutaWakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida wakati navuka kati ya Feri na Kigamboni.
Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.
Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.
Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.
Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.
Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.
Nawasilisha
Mkuu unasema Songoro marine ni ya uholanzi? 😂😂😂 Chai hiiiPoleni wasafiri Kwa changamoto ndogo ndogo, Kivuko kimoja kipo kwenye marekebisho makubwa.
Kwenye speech ya tarehe 31/03/2022 Waziri Mbarawa alipoenda kukagua marekebisho alisema Mh. Raisi alihaidi mwaka huu kutoa pesa za Ujenzi wa kivuko kikubwa Cha Kubeba Abiria 3000.
Tatizo anayepewa tenda ni mmoja hata akitengeneza kukiwa na mapungufu Bado anachukua tenda za marekebisho. Kampuni zinazoweza kujenga vivuko zote za wazawa zipo 3
(1.Songoro Marine Technology ya waholanzi
2. Spabiton Marine Boatyard-Technology ya Israel, Germany na Norway
3.Dar es Salaam Merchant Group -Technology kutoka Korea )
Kila Moja Ina kitu Cha ziada kuzidi mwingine.
Kama tenda ikitangazwa mtu akashinda apewe, na kwenye marekebisho asipewe Tena mjenzi Ili mkandarasi mwingine afanye na kuweka sawa mapungufu.
Madai yako haya yotr yatafanyiwa Kazi pale tu tukipinduka nayo, tukizama na Kufa.Wakuu, jana na leo! Nimeshuhudia kitu kisicho cha kawaida wakati navuka kati ya Feri na Kigamboni.
Sijui kivuko ni kibovu ama vipi.
Tumepanda kikagoma kabisa kwenda, nafikiri tulikuwa wengi kupita kiasi.
Tukapunguzwa at least kikatembea kwa shida.
Yaani kwa sasa Feri ni shida kweli kweli.
Wasipochukua hatua kwa siku hizi ambapo vivuko ni viwili tu, lolote linaweza kutokea hasa nyakati za Asubuhi na Jioni.
Nawasilisha
Kuvuka maji tu ni sababu tosha sijawahi penda kigamboniNawaonea huruma wanaolazimika kuvuka kila siku iendayo kwa Mungu.
Kwamba hujui kama kiliua awamu yake?
Yalaaaa ni kweli pale haiwezekani coz ya meli zinazo ingizia patokubwa taifa kuliko wana kigamboni wote, kwa vyovyote hawa wezi kujengewa daraja pale labda bandari ihamishwe kitu ambacho ni fikirishi sana [emoji23] so hapo cha kufanya wanakigamboni cha kufanya wa boreshewe vivuko vyao pia waongezewe hata vi wili au kimoja ita wasaidia ila sio daraja, case closed [emoji1]
Kimoja au kitatolewa, vita rotate vivuko 3Sioni haja ya kuongeza Kivuko pale kuwa vinne maana itakuwa ni vurugu tu....umbali mfupi sana kwa Midubwana minne kupishana.
Soma vizuri uelewe, Songoro Marine ni Kampuni ya mtanzania. Miaka ya nyuma amejenga vivuko Kwa kushirikiana na hao waholanzi au kutumia technology Yao.Mkuu unasema Songoro marine ni ya uholanzi? 😂😂😂 Chai hiii
Changamoto!!Pale kuna vile viboti vya wavuvi ...ni jero tu...ila kupanda bila life jacket ni uongo [emoji23][emoji23][emoji23]