Mtu mwongo amemwaminisha mtu mjinga. Na yeye akakurupuka kuja JF bila ya kutambua JF wajinga ni wachache sana.kama wewe ambavyo huyo muongo wa taifa anayeitwa majaliwa alivyokuaminisha ujinga na wewe ukamwamini labda mpaka aje akiri mwenyewe na nanjua hatakiri maana hata kipindi magufuli alikuwa amekufa alijitokeza kuudanganya umma kuwa magufuli anapiga kazi na akawa anauliza tunataka tumuone kariakoo au magomeni, kifupi wapumbavu na wajinga ndio waliwao.
Wewe kweli nimeamini ni mtu mwenye upeo mdogo sana.Shida yenu mnachanganya mambo sana,
Hao DP world wako nchi nyingi huko dunian hata Kwa Malkia Elizabeth wanafanya kaz zao za uwekezaji,ni ufinyu wa fikra kuwaza eti DP world anakuja kwako kueneza dini au Serikali inajihusha nayo Kwa kuwa ni waarabu,kwani Samia ni muarabu??
Mbowe anajua anachokifanya usiburuzwe tuh
Huyu BIG SHOW bila shaka ni mtupu sana kichwani. Hakuna anachoelewa. Haelewi maana wala tofauti kati ya MoU, IGA na HGA.Memorandum of understanding(MOU) tiyari, Intergovernmental agreement(IGA) tiyari, Home government agreement(HGA) haijawekwa wazi.
Kwako wewe mkataba ni HGA tu au!?
DP world wafukuzwe, Walioingia mkataba wanyongwe.
Hakuna tena kuwachagua Wazanzibari Nchi hii
Chadema siku zote wanatumika na Pengo.... Pengo akisema Dr Slaa muunge mkono Magufuli....anafanya hivyo mara moja...na sasa Pengo kasema "zuia Samia 2025"...
Chadema nao hasa Dr Slaa ambae bado ana influence...wameingia kazini
Saa 100 avae malapa arudi kwao Zenji
Full stop!
Hebu tueleze mkataba unaisha lini na kama muwekezaji asipotimiza malengo ya mkataba mkataba unavunjwaje Bwana Mkubwa mwenye hekima nyingi?Hakuna bandari inayouzwa, usikubali kuburuzwa kiboya
Labda SUKUMA GANG PARTY.Chadema ni upinzani kibogoyo wakiitwa ikulu wanaunga juhudi mkono
inabidi kiundwe chama kipya cha upinzan ila kwa chadema miaka million 10 ccm ataendelea kung'ang'ania madaraka
Nahisi hauna akili timamu wewe tabla lasa, Bunge la marekani lilipopiga Kura kuikataa DP world lilikuwa Lina kataa mkataba au kampuni, Dubai ni nchi kwa akili yako!?Acha kushikiwa akili na wanasiasa uchwara wewe. Ni aibu kuona kijana kama wewe umezaliwa ili utumiwe na wanasiasa uchwara ambao wao watoto wao wako ulaya na marekani wakitengeneza maisha yao na ya wazazi wao ( hao wanaokutumia)
Nchi moja kuingia mkataba na nchi nyingine haimaanishi kwamba serikali imeshindwa, bali ni katika uboreshaji wa mbinu za kiuchumi.
Hii dp world ndio inayoendesha bandari za Marekani, Uingereza na nchi nyingine kubwa ambazo wenye akili na wafuatiliaji wa mambo ya dunia wanazifahamu.
So wewe unafikiri raisi wa Marekani au Queen Elizabeth wa Uingereza hawakuwa na uwezo wa kuendeleza bandari zao hadi kuwakabidhi hao jamaa?
Je wao hawana jeshi, fbi, cia nk?
Hawana matajiri wa kuziendesha bandari zao?
Akili za kuambiwa changanya na zako, usiwe kama bata anaerushiwa tunge la ugali na kukimbilia kulimeza bila kufikiri labda sometimes anaweza kuwekewa jiwe katikati ya tonge ili baadae lije kumdhuru.
Shtuka kijana, acha kutumiwa na wapiga deal, wakwepa kodi bandarini na wapitisha madawa ya kulevya.
Wenzio wanapiga kelele ili kupambania kitumbua chao pale bandarini afu wewe unaishia kutumia bando lako, pumzi yao na nguvu zako kupigania ulaji wao.
Choko babaakontaunda nae nikiwa nimempakata atahama tu choqo wewe
furahia maumivu ya matusi uliyoanzisha mwenyewe mbvva weweChoko babaako
Kama wanatetea maslahi ya nchi hakuna shidaMkataba unasemaje?
We jamaa mdini sana, Sukuma gang haijawahi kuwepo, kama vuguvugu la kumuunga mkono Magufuli ndio Sukuma gang basi wananchi waliowengi ndio Sukuma gang.
Uzi umejaa uvccm nataka hadi kutapika
Acha kutujazia Mimavi Yako Uku.Acha kushikiwa akili na wanasiasa uchwara wewe. Ni aibu kuona kijana kama wewe umezaliwa ili utumiwe na wanasiasa uchwara ambao wao watoto wao wako ulaya na marekani wakitengeneza maisha yao na ya wazazi wao ( hao wanaokutumia)
Nchi moja kuingia mkataba na nchi nyingine haimaanishi kwamba serikali imeshindwa, bali ni katika uboreshaji wa mbinu za kiuchumi.
Hii dp world ndio inayoendesha bandari za Marekani, Uingereza na nchi nyingine kubwa ambazo wenye akili na wafuatiliaji wa mambo ya dunia wanazifahamu.
So wewe unafikiri raisi wa Marekani au Queen Elizabeth wa Uingereza hawakuwa na uwezo wa kuendeleza bandari zao hadi kuwakabidhi hao jamaa?
Je wao hawana jeshi, fbi, cia nk?
Hawana matajiri wa kuziendesha bandari zao?
Akili za kuambiwa changanya na zako, usiwe kama bata anaerushiwa tunge la ugali na kukimbilia kulimeza bila kufikiri labda sometimes anaweza kuwekewa jiwe katikati ya tonge ili baadae lije kumdhuru.
Shtuka kijana, acha kutumiwa na wapiga deal, wakwepa kodi bandarini na wapitisha madawa ya kulevya.
Wenzio wanapiga kelele ili kupambania kitumbua chao pale bandarini afu wewe unaishia kutumia bando lako, pumzi yao na nguvu zako kupigania ulaji wao.