Kuna kila dalili CHADEMA na Sukuma Gang wameunda umoja wa siri dhidi ya Serikali. Umoja wenu uwe na hoja za msingi zenye mashiko

Kuna kila dalili CHADEMA na Sukuma Gang wameunda umoja wa siri dhidi ya Serikali. Umoja wenu uwe na hoja za msingi zenye mashiko

Sukuma gang ni akina nani?Maana msukuma mwenyewe yupo timu walamba asali
 
Mwarabu siyo mara ya kwanza na Wala Tz siyo nchi ya kwanza kuweka uwekezeji katika masuala hayo ya bandari,tatizo lenu ni nin??

Au mkitaka apewe muisrael Taifa teule??Hana pesa sasa kama anayo aje apewe ili mfurahi

Tatizo mwenye nchi hana maamuzi ya mwisho kwenye mkataba ukiwemo ww!
 
Pengine mtoa mada kwao anaitwa MSOMI...hii nchi ina vijana wajinga wengi Sana sidhani kama CCM inaweza kuondoka madarakani Kwa style hii
 
Chadema siku zote wanatumika na Pengo.... Pengo akisema Dr Slaa muunge mkono Magufuli....anafanya hivyo mara moja...na sasa Pengo kasema "zuia Samia 2025"...
Chadema nao hasa Dr Slaa ambae bado ana influence...wameingia kazini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwaa vibayaa sanaaa. Unatia huruma maskini. uwiiiiih
 
Hakuna bandari inayouzwa, usikubali kuburuzwa kiboya
Usiende kwenye sweeping statements. Jibu hoja:

1) kwenye mkataba, bandari za Zanzibar, zipo au hazipo?

2) Bandari ni suala la Muungano au siyo suala la Mwungano?

3) Ni halali DP kujichagulia ardhi yoyote wanayoitaka, halafu Serikali kulazimika kuwahamisha watu au taasisi na kuwalipa fidia?

4) IGA ndiyo mkataba mkuu utakaoelekeza mikataba mingine yote midogo itakayofuata. IGA ambayo ndiyo mkataba kiongozi, una ukomo au hauna ukomo?

5) DP kutuzuia kuwa na uhuru wa kumkubalia mwekezaji mwingine yeyote kuwekeza kwenye bandari nyingine zozote, kwa nchi inayojiita ni huru, ni halali?

6) DP kuchukua 100% ya faida yote itakayopatikana katika biashara wakati na sisi tumewekeza kwenye bandari hizo hizo matrilioni ya pesa, ni haki?

7) Wizara ya ujenzi na uchukuzi ni wizara ya Muungano au siyo ya Muungano?

8) Kama Wizara ya ujenzi na uchukuzi siyo ya Muungano, kwa nini watu ambao siyo wa watu wa Tanzania bara wawekwe kwenye wizara ambayo siyo ya Muungano?

9) Uliwahi kusikia siku za huko nyuma au hata sasa hivi, mtu yeyote ambaye siyo mzanzibari ni waziri kwenye serikali ya mapinduzi Zanzibar? Unadhani ni kwa nini?

10) Kwa vyovyote vile, hata kwa mtu wa akili ya kawaida, akiambiwa masharti yaliyo kwenye huo mkataba, atasema ni mkataba wa kishenzi na ni mkataba wa hovyo kabisa. Wewe unadhani hawa viongozi walioysaini huo mkataba, walikuwa hawana uelewa au walisukumwa na agenda zilizofichika?

11) Unapendekeza tuwafanye nini hawa watu walioisaliti nchi yetu na kuitumbukiza kwenye mkataba wa kishenzi kama huu?
 
Ndiyo mtoe maoni sasa,pale kwenye kasoro parekebishwe na kwenye kuboresha parekebishwe,

Milango iko wazi na ndiyo maana mkawekwa wazi Kwa mkataba ule kupelekwa Kwa wawakilishi wenu bungeni.
Tatizo huko bungeni wamejaa waovu. Hakuna wawakilishi wa kweli wa wananchi.
 
Mwarabu siyo mara ya kwanza na Wala Tanzania siyo nchi ya kwanza kuweka uwekezeji katika masuala hayo ya bandari,tatizo lenu ni nini?

Au mkitaka apewe muisrael Taifa teule? Hana pesa sasa kama anayo aje apewe ili mfurahi
Wewe ndiyo hujitambui kabisa. Watu wanahoji contents za mkataba, wewe unaongelea uarabu!

Loh! Get back to your senses. Yaani unashindwa kujua hata msingi wa hoja, sasa utatoa mchango wewe?
 
Shida yenu mnachanganya mambo sana,

Hao DP world wako nchi nyingi huko dunian hata Kwa Malkia Elizabeth wanafanya kaz zao za uwekezaji,ni ufinyu wa fikra kuwaza eti DP world anakuja kwako kueneza dini au Serikali inajihusha nayo Kwa kuwa ni waarabu,kwani Samia ni muarabu??

Mbowe anajua anachokifanya usiburuzwe tuh
Uko kwa malkia wamesaini mkataba wa milele kwa bandari zote?
 
UUmoja
Friends and Enemies,

Ngoma ambayo mwenyekiti wa kudumu wa chadema Freeman Mbowe aliianzisha wiki kadhaa zilizopita ndiyo kiini hasa Cha taharuki ya tunachokiona kinaendelea Kwa sasa.

Either nichukue nafas yangu kumpongeza Waziri Mkuu Majaliwa kwa kufanya clarifications za kina kuwa hakuna bandari yoyote ndan ya nchi hii itayouzwa na hakuna suala la Wala ajenda ya ukanda,udini na upigaji kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia,

Majaliwa kama mtendaji Mkuu wa serikali amesisitiza kuwa mwananchi ana Haki ya kutoa maoni, ana Haki ya kuwa na hofu, ana Haki ya kushauri na kutoa mapendekezo wapi paboreshwe, lakin siyo sawa kuja na kashfa na kauli za kejeli na uzushi Kwa serikali na Hususan Kwa Rais kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia kuwa Kuna uzanzibar na ukanda.

Nasema SUKUMA GANG na Chadema wameungana katika hili kwani ulifuatilia waziwazi mijadala inayoendelea hivi sasa mitandaoni na vijiweni inaonesha wazi wazi kuwa hawa watu walikuwa wanatafuta ajenda ya kuwaunganisha pamoja na sasa wameipata hii ya bandari.

Kitu tunachotaka kuwaeleza ni kwamba pale bandarini wezi na vibaka wameweka Mizizi mirefu sana na wamekuwa kama corona Kila wakitafutiwa dawa Wana mutate na kuwa virus wapya na kuendelea kuiba na kulitia hasara Taifa hili.

Kuja kwa mwekezaji mpya wa kumreplace TICTS ni njia Bora ya kusambaratisha Moja Kwa Moja vimelea hivyo vya Rushwa,wizi na utendaji hafifu wa bandari.

Chadema na SUKUMA GANG hata mkiungana basi tafuteni hoja za msingi na zenye mashiko, acheni kupotosha wananchi na kutengeneza taharuki,kumbukeni maendeleo hata huyo JPM mnaemkumbuka hivi sasa alishaambiwa kuwa hayana chama.

Friends and Enemies,

Ngoma ambayo mwenyekiti wa kudumu wa chadema Freeman Mbowe aliianzisha wiki kadhaa zilizopita ndiyo kiini hasa Cha taharuki ya tunachokiona kinaendelea Kwa sasa.

Either nichukue nafas yangu kumpongeza Waziri Mkuu Majaliwa kwa kufanya clarifications za kina kuwa hakuna bandari yoyote ndan ya nchi hii itayouzwa na hakuna suala la Wala ajenda ya ukanda,udini na upigaji kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia,

Majaliwa kama mtendaji Mkuu wa serikali amesisitiza kuwa mwananchi ana Haki ya kutoa maoni, ana Haki ya kuwa na hofu, ana Haki ya kushauri na kutoa mapendekezo wapi paboreshwe, lakin siyo sawa kuja na kashfa na kauli za kejeli na uzushi Kwa serikali na Hususan Kwa Rais kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia kuwa Kuna uzanzibar na ukanda.

Nasema SUKUMA GANG na Chadema wameungana katika hili kwani ulifuatilia waziwazi mijadala inayoendelea hivi sasa mitandaoni na vijiweni inaonesha wazi wazi kuwa hawa watu walikuwa wanatafuta ajenda ya kuwaunganisha pamoja na sasa wameipata hii ya bandari.

Kitu tunachotaka kuwaeleza ni kwamba pale bandarini wezi na vibaka wameweka Mizizi mirefu sana na wamekuwa kama corona Kila wakitafutiwa dawa Wana mutate na kuwa virus wapya na kuendelea kuiba na kulitia hasara Taifa hili.

Kuja kwa mwekezaji mpya wa kumreplace TICTS ni njia Bora ya kusambaratisha Moja Kwa Moja vimelea hivyo vya Rushwa,wizi na utendaji hafifu wa bandari.

Chadema na SUKUMA GANG hata mkiungana basi tafuteni hoja za msingi na zenye mashiko, acheni kupotosha wananchi na kutengeneza taharuki,kumbukeni maendeleo hata huyo JPM mnaemkumbuka hivi sasa alishaambiwa kuwa hayana chama.
Umojaparty ni ya wanakijani walioamua kiasi, Chadema haiwezi ungana na majizi au wanaojitenga kinara na majuzi 😀
 
Friends and Enemies,

Ngoma ambayo mwenyekiti wa kudumu wa chadema Freeman Mbowe aliianzisha wiki kadhaa zilizopita ndiyo kiini hasa Cha taharuki ya tunachokiona kinaendelea Kwa sasa.

Either nichukue nafas yangu kumpongeza Waziri Mkuu Majaliwa kwa kufanya clarifications za kina kuwa hakuna bandari yoyote ndan ya nchi hii itayouzwa na hakuna suala la Wala ajenda ya ukanda,udini na upigaji kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia,

Majaliwa kama mtendaji Mkuu wa serikali amesisitiza kuwa mwananchi ana Haki ya kutoa maoni, ana Haki ya kuwa na hofu, ana Haki ya kushauri na kutoa mapendekezo wapi paboreshwe, lakin siyo sawa kuja na kashfa na kauli za kejeli na uzushi Kwa serikali na Hususan Kwa Rais kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia kuwa Kuna uzanzibar na ukanda.

Nasema SUKUMA GANG na Chadema wameungana katika hili kwani ulifuatilia waziwazi mijadala inayoendelea hivi sasa mitandaoni na vijiweni inaonesha wazi wazi kuwa hawa watu walikuwa wanatafuta ajenda ya kuwaunganisha pamoja na sasa wameipata hii ya bandari.

Kitu tunachotaka kuwaeleza ni kwamba pale bandarini wezi na vibaka wameweka Mizizi mirefu sana na wamekuwa kama corona Kila wakitafutiwa dawa Wana mutate na kuwa virus wapya na kuendelea kuiba na kulitia hasara Taifa hili.

Kuja kwa mwekezaji mpya wa kumreplace TICTS ni njia Bora ya kusambaratisha Moja Kwa Moja vimelea hivyo vya Rushwa,wizi na utendaji hafifu wa bandari.

Chadema na SUKUMA GANG hata mkiungana basi tafuteni hoja za msingi na zenye mashiko, acheni kupotosha wananchi na kutengeneza taharuki,kumbukeni maendeleo hata huyo JPM mnaemkumbuka hivi sasa alishaambiwa kuwa hayana chama.
Hao mkuu hawaaaminiki., tuliambiwa mwenda zake anaendelea na majukum yake kumbe tayari alishakata kamba.
 
Nan kakuongopea Hilo??

Kwamba memorandum ndiyo msingi wa mkataba wenyew??
Wewe ndiyo hopeless, mtupu kabisa. MoU umeiona wewe?

MoU ilisainiwa na mkurugenzi wa TPA mwezi February 2022.

Mkataba ulusainiwa na Raus Samia mwezi October 2022. Kilichopelekwa bungeni ni mkataba (IGA), siyo memorandum. MoU hata wabunge hawakupewa na wala hawakuijadili.

Mtu ambaye hujui chochote kuhusiana na jambo lenyewe, unaona una uwezo hata wa kujadili.

Au ndiyo mnapewa tu vihela mje JF bila hata kupewa details za yale yaliyokwishafanyika? Wabunge walikuwa wanajadili mkataba ambao tayari ulikwishasainiwa na Rais mwakajana.
 
CCM ndo dude linalomutate kila rushwa ikipatiwa ufumbuzi linajomutatisha form yofauti
 
Back
Top Bottom