Tetesi: Kuna kila dalili hii nchi tunarudi kwenye IPTL nyingine

Tetesi: Kuna kila dalili hii nchi tunarudi kwenye IPTL nyingine

Ukubwa wa nchi ya Congo ni Mara mbili na nusu ya Tanzania na kitu ambacho hujui ni kuwa Congo nzima ni majimbo mawili tu ndio kuna vurugu ...ndani ya drc kuna majimbo watu hawajui kabisa vita inafananaje na hawajawai hata kusikia mlio wa risasi

Kinshasa ni salama kuliko makele kigoma
Bora umemjibu maana nilimwona punguani tangu mwanzo nikaachana nae.
 
Hiyo ilionekana siku nyingi. Mikataba kama ya IPTL ndiyo yenye ulaji wa uhakika kuliko njia nyingine za kifsadi. Kumbuka swala la Rugemalira na mamilioni yaliyogawanywa. Hta kama bwawa la Nyerere lingeisha bado ingejengwa hoja kuwa kuna haja ya kuwa na mwekezaji atusaidie kuliendesha ili mradi pesa ipigwe. Au tumekuwa shamba la bibi?
Tanzania hakujatokea ukame wa kusema tunaanza mgao. Hawa fisi ni wa kuwamaliza tu.
 
Nchi yetu sasa hivi inapendeza, miaka 6 ya shida sasa inakuja miaka 10 ya neema na kushangilia. Yule Mshamba hayupo sasa hivi ni kubadilika mazima na kujipigia nchi, aaaaaha Tanzania raha sana.

Na ikitokea mshamba mwingine anataka kuingia madarakani hatutakiwi kumuunga mkono kabisa.


Huu ndio wakati wa kujipigia tuu, tusiwe na malalamiko kama tumetokwa na fahamu, wacha nchi iwe huru kwa kila kitu.
 
Be the first to know... hii ndo imekua kanuni kuu ya JF.

Nimepenyezewa taarifa kuwa soon nchi itarudi kwenye mikataba ya umeme wa mafuta mazito.

Kwa sasa scarcity ya umeme inatengenezwa ili kujaladia hoja ya kuirudisha nchi kwenye saga za IPTL.

Fisi kaachiwa bucha, mbwa mwitu wanakanyagana.
Ukishangaa ya Mussa kuna ya firauni
1665142051191.png
 
Matusi yanini? Makasiriko yanini? Kwani mi ndo nilimtwaa Magufuli? Haya hayupo we unatakaje? Hoja yangu ni kwamba kuna hasara kutegemea kaliba za watu binafsi.

Huyo hakuwatia adabu kina Ruge bali alitaka chochote kitu toka kwao. Si yeye alianzisha plea bargaining?
Wewe suluhisho lako katika hili ni lipi? Tumfufue Magufuli?
Suluhisho langu ni Seth arudishe Iptl yake
 
Be the first to know... hii ndo imekua kanuni kuu ya JF.

Nimepenyezewa taarifa kuwa soon nchi itarudi kwenye mikataba ya umeme wa mafuta mazito.

Kwa sasa scarcity ya umeme inatengenezwa ili kujaladia hoja ya kuirudisha nchi kwenye saga za IPTL.

Fisi kaachiwa bucha, mbwa mwitu wanakanyagana.
IPTL si ilichukuliwa na serikali baada ya kushindwa kufunga mfumo wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia kadri ya mkataba.? Tueleweshane
 
..TISS ni jumuiya ya Ccm, sawa na Uwt, Wazazi, etc.

..wako kwa ajili ya kulinda maslahi ya Ccm na watawala.

..utetezi wa maslahi yetu ungeweza kutoka bungeni, lakini huko nako Ccm wako asilimia 93%.
Asilimia 99.99999999999999999999999999999 ni ccm
 
Back
Top Bottom